Project maalumu kuinua uchumi wa watanzania,Weka wazo lako la mradi hapa na ueleze umekwama wapi utafutiwe co-investor

mm nina blog yangu nataka kuindeleza na nataka nipate followers wengi na namna ya kupata hela kupitia blog hiyo yaani unafanyaje kuwa adsence sijui hilo
 

nina mradi wa Asali ninafanya shughuli hiyo kwa muda sasa nimeuza hapahapa nchini sasa nataka soko la nje la kuuza asali hii nisaidie kwa hili mkuu

halafu je nawezaje kupata vibali vya kuexport biashara hii uko nje na wapi wanatoa vibali hivyo?

halafu ninauza mbogamboga kama giligilani, naitaji soko pia niunganishe mkuu
 
Nina mradi wa maparachichi nmefanikiwa kuuza katika soko la ndani nahitaji msaada zaidi wa kujifunza na kupata izoefu wa masoko ya nje
 
Nina mradi wa usafirishaji abiria hapa jijini Dar, zaidi ya miaka 5; wazo langu ni kutanua wigo kwa kuanzia safari za nje ya Dar. Hivyo nahitaji mtaji mkubwa wa kununua magari ya abiria
 
Mimi ninao mpango wakuimport zana za kilimo cha kisasa kama vifaa vya umwagiliaji wa matone, material ya greenhouses na vingine ambavyo kwa hapa tanzania sio vyakutosha na nigharama kubwa ukilinganisha na ilivyo kwa nchi kama china
 
Kuna baadhi ya maeneo Bagamoyo yalikuwa ni mashamba, sasa serikali ya kijiji imeamuru wamiliki wa mashamba hayo ya zamani yagawiwe na kuwa viwanja vya makazi ( Makazi ya Watu).
Ninacho fikiri;

1. Ni kupata mtaji wa kununua mashamba hayo toka kwa wamiliki.
2. Kuyapima mashamba hayo na kutoa viwanja vya makazi.
3. Kuvitangaza viwanja hivyo na.
 
Mimi night duka la jumla nataka liwe supermarket.
 
Mimi nina plan ya kuanzisha project ya kulinda maliasili zinazopatikana kwenye vyanzo vya maji hasa ukanda Lake victoria hebu niunganishe na hao wachina.
 
Nina mradi wa usafirishaji abiria hapa jijini Dar, zaidi ya miaka 5; wazo langu ni kutanua wigo kwa kuanzia safari za nje ya Dar. Hivyo nahitaji mtaji mkubwa wa kununua magari ya abiria
Ccm si ndio huwa inatangaza kuinuwa wajasiriamali? Ni kwa nini usiende Lumumba? Au huwa mnadanganya watu.
 
 
Mkuu Habari, naomba tuwasiliane nina hizo projects na zinahitaji hao investors +255677027084, gkalussanga@gmail.com
 
Interesting... Ngoja nione Luna mawili uniume sikio.

All in all asante sana kwa jitihada.
 
Tufanye real agriculture...tu embrace science and technology kwenye agriculture....tutafute masoko nje tuuze...tuwe more of exporters than importers
 
Tusisahau value addition kwenye agricultural produce and products
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…