ward41
JF-Expert Member
- Apr 3, 2022
- 749
- 2,533
Kwa wale wenye ndoto kwamba Uchumi wa MAREKANI utaanguka watasubiri Sana
Projection bado Zinatabiri Bado USA itakuwa na Uchumi mkubwa duniani. Uchumi wa marekani mwaka 2075 utakuwa 56 trillion USD GDP, China litakuwa taifa la pili na GDP Yao itakuwa 44 trillion USD GDP na projection zinasema population ya China itakuwa 700 million
India atakuwa nafasi ya tatu na GDP ya 38 trillion USD GDP.
Russia atakuwa na GDP ya 6 trillion USD GDP.
Kwa hiyo USA bado tunaye. Hashuki Leo wala kesho. Marekani Bado sana
Projection bado Zinatabiri Bado USA itakuwa na Uchumi mkubwa duniani. Uchumi wa marekani mwaka 2075 utakuwa 56 trillion USD GDP, China litakuwa taifa la pili na GDP Yao itakuwa 44 trillion USD GDP na projection zinasema population ya China itakuwa 700 million
India atakuwa nafasi ya tatu na GDP ya 38 trillion USD GDP.
Russia atakuwa na GDP ya 6 trillion USD GDP.
Kwa hiyo USA bado tunaye. Hashuki Leo wala kesho. Marekani Bado sana