Projections 2075: Bado USA itakuwa na uchumi mkubwa

Projections 2075: Bado USA itakuwa na uchumi mkubwa

Kuwawezesha kwanza kabisa ndio kuwapa ujuzi badala ya kuwakaririsha wafaulu mitihani ya multiple choice na kuwapa maGPA ya uongo, kama mtu hajapata ujuzi kumkopesha ni kupoteza pesa kwa uhakika kabisa, kijana aliyeiva wala hahitaji kuelekezwa wapi atapata mtaji, yani ana maarifa na anaona resources zote! Huyu wa kuomba elfu 2 mkuu, ukimpa milioni 2 huo mtaji si ataenda kubet? Mikopo ina taratibu zake za kulinda value ya pesa na kuifanya iwe na tija, hamna serikali duniani inatoa tu ila inaweza kuweka pesa mahali (iwe bank au taasisi nyingine) then wenye ujuzi, nia na attitude sahihi wanatangaziwa wakaombe mikopo wenyewe, so kila anayejitambua anakwenda na inakuwa ni mkataba kati yake na hiyo taasisi kwa niaba ya serikali!
Umesema sahihi Mkuu, hata hivyo bado tunasafari ndefu sana kama Nchi
 
Ni kweli kabisa mpaka tutakapopata viongozi wenye maono na wasiojifikiria wao tu na familia zao tu
Hakika Mkuu, Vijana wakiweza wajiongeze Kwa kwenda kuchukua mapori huko Vijijini ili waanze kuwekeza hata Kwa Kilimo cha nyuki

Najua baadhi Wana smartphones, wanaweza kugoogle ili kupata maarifa Kwa kuanzia
 
Hakika Mkuu, Vijana wakiweza wajiongeze Kwa kwenda kuchukua mapori huko Vijijini ili waanze kuwekeza hata Kwa Kilimo cha nyuki

Najua baadhi Wana smartphones, wanaweza kugoogle ili kupata maarifa Kwa kuanzia
Hii sasa ni matokeo ya kuwezeshwa maarifa, kama hawajafundishwa kutumia smartphones kupata maarifa haya, hawataweza kujua wala kuwa na nia au attitude au mtazamo kama wako, matokeo yake watatumia waliyojifunza km kuchat, kupost insta, kurekodi video za utupu, etc. Kitu cha kwanza kabisa serikali zote zinafanya ni kuwapa vijana ujuzi na maarifa ya kutawala mazingira yao then then wanapewa mazingira wezeshi sasa ya kuutumia, lakini kwetu tunawanyima elimu wezeshi ambayo ndio hatua ya kwanza kabisa! Na ukiwanyima watu elimu then unawatawala kiurahisi ila bahati mbaya sana huwa ni kwa muda tu maana wakishtuka huwa hawashikiki wala hawasikii la mtu tena na wanakua hawana cha kupoteza
 
Hii sasa ni matokeo ya kuwezeshwa maarifa, kama hawajafundishwa kutumia smartphones kupata maarifa haya, hawataweza kujua wala kuwa na nia au attitude au mtazamo kama wako, matokeo yake watatumia waliyojifunza km kuchat, kupost insta, kurekodi video za utupu, etc. Kitu cha kwanza kabisa serikali zote zinafanya ni kuwapa vijana ujuzi na maarifa ya kutawala mazingira yao then then wanapewa mazingira wezeshi sasa ya kuutumia, lakini kwetu tunawanyima elimu wezeshi ambayo ndio hatua ya kwanza kabisa! Na ukiwanyima watu elimu then unawatawala kiurahisi ila bahati mbaya sana huwa ni kwa muda tu maana wakishtuka huwa hawashikiki wala hawasikii la mtu tena na wanakua hawana cha kupoteza
Hakika Mkuu

Bado wale maadui watatu aliotuachia Mzee Nyerere bado tunahangaika nao tu 🙌

Ujinga
Maradhi
Umasikini

Na hayo ndiyo vyama vya Siasa huwahaidi wapiga kura wao kupambana nayo
 
Back
Top Bottom