Projects Initiated by President John P Magufuli in Tanzania

Hata Ethiopia na Nigeria ziko uchumi wa kati ila watu wanakimbia Nchi zao Kwa umaskini.

Sera hizo hizo za kishenzi ndio alikuwa anafanya.

Saizi Nchi Ina Madeni sababu ya mamiradi ya kisengerema kama Sgr ambao ni project ya kupigia picha

Madeni alikopa nani?mana jpm alikopa hela za miradi zilikuwepo sasa imekuaje deni kuongezeka?
 
Bora kuliko huu upotolo wa sasa.
Ukisema utopolo utakuwa una matatizo achilia mbali chuki.

Nilikuuliza wewe kuna sekta unasikia.ina struggle Kwa Sasa? Kuanzia Kilimo Hadi hizo hizo Sgr za kupigia picha?

Nikikutajia miradi mipya Kwa mda wa Miaka hii 2 na nusu utanieleza huo utopolo?

Tofauti ya Samia na Magufuli ni akili.Mmja alikuwa anakurupuka kutafuta sifa na mwingine anatekeleza mambo yenye Tija.

Na Kwa taarifa Yako kama Sgr ingekuwa Imeishia Moro tuu, Serikali isingeendelea na huu mradi at least Kwa Sasa Kwa sababu unaleta hasara na hauna faida.

Unajenga Sgr kwenda Mwanza na Kigoma kufanya nini?
 
Angekuwepo treni za umeme zingekua zinafanya kazi sasa, tungekua tunauza umeme nje, kwa huu mgao hata hizo treni zikija kumalizika sijui zitatumia generators,,,Mungu ibariki Africa [emoji1431]
Nendeni mkamfufue aje azilete treni hizo za umeme.
 
Madeni alikopa nani?mana jpm alikopa hela za miradi zilikuwepo sasa imekuaje deni kuongezeka?
Mwendazake hela alitoa wapi mtu aliyefukuza wafanyabiashara wawekezaji na ugomvi na Kila jirani?

Kwanza mama ndio alisema miradi yote ni mikopo Sasa wewe unabisha nini hasa?

Kadanganyeni wajinga eti.Tena alikopa kwenye Mabenki ya biashara Kwa sababu imf na WB alishagombana nao ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Where is Busisi Bridge?
 
Angekuwepo treni za umeme zingekua zinafanya kazi sasa, tungekua tunauza umeme nje, kwa huu mgao hata hizo treni zikija kumalizika sijui zitatumia generators,,,Mungu ibariki Africa [emoji1431]
Kama Sgr ya Dar Moro ilimshinda ndio treni ifanye kazi? Kwanza angekuwepo Nchi ingeshaanguka kiuchumi zamani sana.

Imagine wenzie wanachukua chanjo Ili biashara zifunguke wewe hutaki Sasa uta interact na nani umuambukize?

Nyie wenye akili ndogo ndio mnawaza hivyo,Nchi ingekuwa kama Ethiopia inaongoza Kwa idadi ya maskini ila Ina madaraja ya kupigia picha Ili kujitutumua kama unafanya kazi.
 
Kiufupi alikuwa Rais wa hovyo kuwahi tokea Toka enzi za baada ya Mwl ambae nae alifaulu kujenga utaifa tuu ila uchumi ni zero sawa na Mwendazake aliyeharibu kuanzia diplomasia Hadi uchumi
 
Kwani tanzania inabarabara ngapi!???
Hivi barabara hizo mia ngapi sijui alizojenga zipo taifa gani!?
Tutengeneze uongo unaoendana na kweli mjue[emoji848]
Mkapa alijenga barabara ngapi, Kikwete ambaye ndiye mjenzi mkuu wa barabara ktk hawamu yeke ameacha barabara ngapi zimejengwa!??
Tuache kuchanganyana basii
Kila siku mnatuletea mikeka ya taarifa za kupikwa kumsifia marehemu mmoja humu
Wakati tunamahayati wengi na wengine bado wako hai lkn wamefanya mambo makuu sana kwa taifa letu wala hajautaka utukufu wa Mungu wabaki nao.
Lkn bado
MAMA WA TAIFA ANAFANYA MAMBO MENGI MAKUU ZAIDI YA BWANA YULE

MSITUCHOSHE
MAMA ANATOSHA๐Ÿช“[emoji375]
 
How many Lost Lives, left Handcaped and Others Homeless?
orphans?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ