Projects za Mchungaji Kimaro akiwa KKKT Kijitonyama

Projects za Mchungaji Kimaro akiwa KKKT Kijitonyama

Kabisa mwaya! [emoji848][emoji848]

Tulishapasahau miaka mingi tangu enzi za ile kwaya ya wakongo ya wimbo hakuna Mungu kama wewe Kijitonyama ilikuwa kama haipo,

Usharika huo umekuja kujulikana baada ya Pastor Kimaro kuja huo ndio ukweli.

Hivi huyo Anna anazani ataweza kutembelea nyota ya Kimaro kweli ?
Sharika zinakua kwasababu ya mambo mengi, sio mchungaji pekee anaweza kufanya usharika ukue na nasisitiza kama Baraza ni bovu ama Bora liende usharika hauwezi kukua, labda tukumbushane wachungaji wengi was miaka ya 60-90, wengi hawakuwa na maarifa mengi ya utawala,hata elimu Yao haikuwa kubwa hivyo, pia kumbuka hata waumini NAO upeo wao ulikuwa mdogo,kipato Chao kidogo,hata waliosoma wengi na wenye kipato hawakuwa viongozi wa kanisa hivyo miradi haikuwezekana,Sasa ni tofauti.
 
KKKT

wao wanapungua nn? Mbona jamaa alikua mnyenyekevu? Ukristo wa kusoma liturjia mwanzo-mwisho uliwagharimu Roman ndo maana sasa hivi wameanzisha JUMUIYA full kutishana ili waumini zaid wasitoroke kwenda kutafuta kwingine



Hii ni kweli kabisa!

Yani hao Viongozi wanataka waumini wasipate badiliko la kimwenendo,

Wanataka waumini wabaki na Ukristo wa jina badala ya mwenendo na tabia?!

Wanajiita Wakristo lakini wachawi, ndugu na ndugu hawaongei miaka nenda , washirikina kama wasio amini

Sasa yanakuja mafundisho mnaleta mikingamo?!

Aibu yenu!

Siku 60 ?

Tunasubiri taarifa ya uchunguzi.
 
Mseme, msiseme. Kila taasisi duniani ina taratibu na miongozo yake. Huyu mchungaji hakuondolewa kwa bahati mbaya. Kuna maneno amehubiri yasiyofaa kwa utaratibu wa kanisa lake.
Ni muhimu tujue kuwa mahubiri ya mihemiko wakati mwingine huwa hayatakiwi na kanisa kulingana na sera na taratibu zao.
Ile ni taasisi. KKKT. Ndio kaondoka. Anayetakanaondoke nae.

Kanisa Katoliki yanawakumba. Askofu Milingo wa Zambia wa Katoliki alianza hivyo akaondokewa akaishia kuanzisha kanisa lake.

Kila taasisi ina siri, mbinu, majukumu na kila kitu. Ukikengeuka unaondolewa tu.

Nani alijua Zito angetoka CHADEMA.
 
Ni unabii umetimia.. Kila litokalo mdomoni ni zao la rohoni... Amejitambulisha uhalisia wake
Unashadadia sana hili tatizo..

Ninakuhakikishia kuwa hili jaribu la Kimaro litapita na awamu ijayo atakuwa na nguvu mpya na utaona haya kwa michango hii.

Wakristo sisi ni vituko wakati mwingine...unafurahiaje tatizo la mwenzio?

Lini waislam wanafurahiaga shida za wenzio badala ya kuwatetea?
Wakrsito tutajielewa lini?
 
Sahihi Sana Hilo ,alijisahau Sana Hadi kuanza kuwasifu wakatoliki na waisalmu hadharani eti ,roma Catholic wako vzr so wat aende uko sasa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kuna askofu mstaafu mmoja wa KKKT nilimsikia Redioni akisema huwa anasali nusu ya Sala ya Salamu Maria. Hii ilimtokea wakati anafanya PhD yake, profesa wake alimpa afanye review maandishi ya Martin Luther na Papa Benedict XVI kuhusu Maria. Alivyomaliza hiyo kazi akijua kumbe huko kote alikosoma alifundishwa vitu tofauti tu, hatimaye akaanza kusali hiyo salamu Maria.
 
Hii ni kweli kabisa!

Yani hao Viongozi waumini wasipate badiliko la kimwenendo,

Wanataka waumini wabaki na Ukristo wa jina badala ya mwenendo na tabia?!

Wajiita Wakristo lakini wachawi, ndugu na ndugu hawaongei miaka nenda ,

Sasa yanakuja mafundisho mnaleta mikingamo?!

Aibu yenu!

Siku 60 ?

Tunasubiri taarifa ya uchunguzi.
Wanachohoji waumini ni nini sababu ya kusimamishwa kwake?
 
Mnanishangaza sana.
Hata Yesu aliwasifu mafarisayo kwa kuwatolea mfano wanafunzi wake kuwa;
" Haki yenu isipozidi haki ya mafarisayo kamwe hamtauona ufalme wa Mungu"

Hapo kuwasifia waislanu katika eneo wanalofanya vizuri kuna tatizo?


Kweli mfano wako ni sahihi kabisa!

Relevant example [emoji108][emoji108]

Mungu akupe mema!
 
Kila usharika KKKT una baraza la wazee, sharika ngapi zimefanya hayo yote? Nenda Usharika wq Sinza bado wanapambana na Deni mpaka kesho, Mwenge hali kadhalika.
NB: Kimaro hata apelekwe GEZAULOLE ataonyesha maajabu, jiulize kabla ya Kimaro-Knyama hapo Kinyama mbona kulikua jiiiii
Well said [emoji120] [emoji120]
 
Hii dhana ya ukubwa kuliko taasisi kwani kanisa ni mali ya mtu,au genge la watu?. Kanisa sio jengo, ni mwili wa Kristo ambapo watu wenye imani juu Kristo wanaamua ku team up na kumtafuta Mungu hata kwa kupapasa wakamwone sasa kuwa na kiongozi mwenye kuonyesha njia imekuwa nogwa?. Mwenye kanisa ni Mungu, mwenye roho za watu ni Mungu.
acha siasa. mchungaji wako alishajisahau sana kwa mambo ya kimwili
 
Back
Top Bottom