Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi binafsi napenda Kimaro. Ni Mtumishi anayeipenda kazi yake. Hakuwahi kulala kwenye Huduma ya Kichungaji. Hizi morning na evening Glory ni ubunifu wake Kazini. Wengine hawana kwenye Sharika zao. Seminar za kujifunza Neno na stadi za Maisha ni Ubunifu wake zimewainua Wengi Kiroho, Kimwili na Kiakili.. Amejenga Mahusiano na Watu, Sharika, nje, dini, madhehebu mengineyo Kwa Amani na Furaha kabisa. Leo hii umamsimamisha Kazi Kihuni watakubali Wafuasi watoa Sadaka zinazolipa Mishahara Yao? Wanadahau % wanazopokea huko juu zinakotoka. Ngoja Waumini wasuse ndio Watajua hekima inatakiwa kwenye Maamuzi.Tujikumbushe, projects kadhaa ambazo Mchungaji Dkt. Kimaro amezifanya akiwa Mchungaji Kiongozi, KKKT Usharika wa Kijitonyama,
1. School of Healing (Morning & Evening Glory) -Youtube Channel (mwanzoni ikiwa Eliona Kimaro TV baadae KKKT Usharika wa Kijtonyama) inayowafikia watu wote Duniani.
2. Jengo jipya la Sunday School (lililogharimu yapata takribani 200m TZS)
3. Ununuzi wa Kiwanja pembezoni mwa kanisa yapata 300m TZS
4. Kusomesha yatima yapata 100
5. World Pray Online (WPO), Call Centre ya maombi masaa 24, siku 7 za wiki.
NB: Ikumbukwe waliokuwa wanasali hizo Morning & Evening Glory wengi hawakuwa waumini wa KKKT bali wa madhehebu mengine na Waislam kuondoka kwake Dkt Kimaro tutarajie mabadiliko kiasi. Hope Mchungaji Kiongozi (Mpya) Anna amejipanga vilivyo kuendeleza alipoishia Dkt Kimaro.
Waumini ndiyo waliounda KKKT na kuifanya Taasisi. Usiwachokoze. Moto utalipuka. Mapungufu yapi Mapya ambayo hayafantwa hapa Duniani? Kabaka Mtu? Kaoa Mwanaume mwenzie? Kafungisha Ndoa Mashoga? Kajitangazia Uaskofu? Watieni moyo wanaotunza Roho za Watu siyo kuwadhusha Morali zao.KKKT ni taasisi na sio Mali ya mtu binafsi
Anawajibika Kwa taasisi ambayo ndiyo mwajiri wake
Taasisi ndiyo inajua kwanini imempa likizo ya siku 60
Umaarufu wake hauondoi mapungufu yake
Hizi project Ni minor Sana ukilinganisha na anachofanya mastai pale kimara korogwe Kuna shule na hospital na mall na hzo zote za evening na morning Glory
Alichonikera Ni sifa alizo wapa wakatoliki waswasi Tena mbele ya kwaya kwa kuwaita viongozi wetu kuwa Ni matapeli sijapenda hilo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
AmenWaumini ndiyo waliounda KKKT na kuifanya Taasisi. Usiwachokoze. Moto utalipuka. Mapungufu yapi Mapya ambayo hayafantwa hapa Duniani? Kabaka Mtu? Kaoa Mwanaume mwenzie? Kafungisha Ndoa Mashoga? Kajitangazia Uaskofu? Watieni moyo wanaotunza Roho za Watu siyo kuwadhusha Morali zao.
Natabiri 22/1/2023 patachimbikaMimi binafsi napenda Kimaro. Ni Mtumishi anayeipenda kazi yake. Hakuwahi kulala kwenye Huduma ya Kichungaji. Hizi morning na evening Glory ni ubunifu wake Kazini. Wengine hawana kwenye Sharika zao. Seminar za kujifunza Neno na stadi za Maisha ni Ubunifu wake zimewainua Wengi Kiroho, Kimwili na Kiakili.. Amejenga Mahusiano na Watu, Sharika, nje, dini, madhehebu mengineyo Kwa Amani na Furaha kabisa. Leo hii umamsimamisha Kazi Kihuni watakubali Wafuasi watoa Sadaka zinazolipa Mishahara Yao? Wanadahau % wanazopokea huko juu zinakotoka. Ngoja Waumini wasuse ndio Watajua hekima inatakiwa kwenye Maamuzi.
Usharika wa K-nyama ni mkubwa sanaa chief usiuchukulie poa poa unafahamika tangu enzi kwa makubwa yakeKila usharika KKKT una baraza la wazee, sharika ngapi zimefanya hayo yote? Nenda Usharika wq Sinza bado wanapambana na Deni mpaka kesho, Mwenge hali kadhalika.
NB: Kimaro hata apelekwe GEZAULOLE ataonyesha maajabu, jiulize kabla ya Kimaro-Knyama hapo Kinyama mbona kulikua jiiiii
😂😂😂😂Mchungaji wa mchongo anakula spana za hatar... Nasemaje wahuni hamna kumwachia huyu 😁😁
Jumuiya za RC zipo kabla haujazaliwaKKKT
wao wanapungua nn? Mbona jamaa alikua mnyenyekevu? Ukristo wa kusoma liturjia mwanzo-mwisho uliwagharimu Roman ndo maana sasa hivi wameanzisha JUMUIYA full kutishana ili waumini zaid wasitoroke kwenda kutafuta kwingine
Kuna tuhuma haheshimu wakubwa anafanya anavyotaka ...hafuati misingi ya kanisa ...Kwenye kila baraka kuna laana
Kila penye mafanikio pana mapungufu
Kufanya mambo fulani hakukufanyi kuwa mkubwa kuliko taasisi
Makanisa yote yenye mfumo wa taasisi usipokubaliana na wakubwa hata kama wako wrong kisa ukajidai kusema biblia inasema hvi lazima wakule kichwa 😁, Yesu mwenyewe mafarisayo walimla kichwa Kwa sababu hzi hzi , wao waliona ndo wakubwa Ila yeye mara nyingi akawa anatofautiana nao hadharani ....Kuna tuhuma haheshimu wakubwa anafanya anavyotaka ...hafuati misingi ya kanisa ...
Kkkt kinyama imekuwa kubwa kabla ya kimaroKwenye kila baraka kuna laana
Kila penye mafanikio pana mapungufu
Kufanya mambo fulani hakukufanyi kuwa mkubwa kuliko taasisi
Ngoja aende namtumbo akapige injiliKila usharika KKKT una baraza la wazee, sharika ngapi zimefanya hayo yote? Nenda Usharika wq Sinza bado wanapambana na Deni mpaka kesho, Mwenge hali kadhalika.
NB: Kimaro hata apelekwe GEZAULOLE ataonyesha maajabu, jiulize kabla ya Kimaro-Knyama hapo Kinyama mbona kulikua jiiiii
Pilipili ya shamba inakuwashia nini?Nimekufuatilia sana nikagundua wewe mfia kkkt na haukubaliani ma mabadiliko ya kiroho.
Bado unaipenda kkkt iliyodumaa kiroho na hukupendezwa na huduma za uamsho za Kimaro.
Nimekugundua kuwa umhafidhina na sio imani sahihi ya Kikristo.
Kkkt ni dude kubwa ambalo halina msaada katika jamii bado lipo kuwanyonya wa kkkt kimapato ilhali mrejesho katika jamii ni hafifu sio kiriho wala kimwili.
1. Shule za kkkt ziko kipigaji ma ziko taabani
2. Hotel ya corodor spring wakunwa walipiga zaidi ya 3B waumini wamechangishwa karibu wafe na wakakimbia walio wengi.
3. Selian hospital nahitaji kusema zaidi?
Bora Kimaro mara 1000 kuliko hao wachungaji na maaskofu vihiyo.
Note: mimi sio mkkkt lakini naijua jadi gizani
Huu umbea sasa mbowe kaenda jana au juzi apo hadi hatua achukuliwe leo?Video Alipompa Nafasi Mbowe Akaongea Ndiyo Jambo Likazua Mambo
Hekima haikutumika kwenye hiliMimi binafsi napenda Kimaro. Ni Mtumishi anayeipenda kazi yake. Hakuwahi kulala kwenye Huduma ya Kichungaji. Hizi morning na evening Glory ni ubunifu wake Kazini. Wengine hawana kwenye Sharika zao. Seminar za kujifunza Neno na stadi za Maisha ni Ubunifu wake zimewainua Wengi Kiroho, Kimwili na Kiakili.. Amejenga Mahusiano na Watu, Sharika, nje, dini, madhehebu mengineyo Kwa Amani na Furaha kabisa. Leo hii umamsimamisha Kazi Kihuni watakubali Wafuasi watoa Sadaka zinazolipa Mishahara Yao? Wanadahau % wanazopokea huko juu zinakotoka. Ngoja Waumini wasuse ndio Watajua hekima inatakiwa kwenye Maamuzi.
Kanisani unafuata nyota ya mchungajii au kumuomba Mungu wako?Kabisa mwaya! [emoji848][emoji848]
Tulishapasahau miaka mingi tangu enzi za ile kwaya ya wakongo ya wimbo hakuna Mungu kama wewe Kijitonyama ilikuwa kama haipo,
Usharika huo umekuja kujulikana baada ya Pastor Kimaro kuja huo ndio ukweli.
Hivi huyo Anna anazani ataweza kutembelea nyota ya Kimaro kweli ?