Projects za Mchungaji Kimaro akiwa KKKT Kijitonyama

Projects za Mchungaji Kimaro akiwa KKKT Kijitonyama

Tujikumbushe, projects kadhaa ambazo Mchungaji Dkt. Kimaro amezifanya akiwa Mchungaji Kiongozi, KKKT Usharika wa Kijitonyama,
1. School of Healing (Morning & Evening Glory) -Youtube Channel (mwanzoni ikiwa Eliona Kimaro TV baadae KKKT Usharika wa Kijtonyama) inayowafikia watu wote Duniani.
2. TAMASHA LA MBINGU KUJAA SIFA (kila mwaka)
3. Jengo jipya la Sunday School (lililogharimu yapata takribani 200m TZS)
4. Ununuzi wa Kiwanja pembezoni mwa kanisa yapata 300m TZS
5. Kusomesha yatima yapata 100
6. World Pray Online (WPO), Call Centre ya maombi masaa 24, siku 7 za wiki.

NB: Ikumbukwe waliokuwa wanasali hizo Morning & Evening Glory wengi hawakuwa waumini wa KKKT bali wa madhehebu mengine na Waislam kuondoka kwake Dkt Kimaro tutarajie mabadiliko kiasi.

***Mchungaji Kiongozi (Mpya) Anna apewe ushirikiano kuendeleza alipoishia Dkt Kimaro.


Dk Shoo ameshanusa hivyo viwanja, anavitaka pamoja na dalali mwenzie askofu wa Dar es salaam

Walienda kuunza hotel mbeya Mwaikali akawagomea, wakaanzisha vita.

Wakakodi wapiga debe wa stendi, wakawaita wajumbe wa mkutano mkuu wa kumfukuza Mwaikali
 
Nimekufuatilia sana nikagundua wewe mfia kkkt na haukubaliani ma mabadiliko ya kiroho.
Bado unaipenda kkkt iliyodumaa kiroho na hukupendezwa na huduma za uamsho za Kimaro.
Nimekugundua kuwa umhafidhina na sio imani sahihi ya Kikristo.

Kkkt ni dude kubwa ambalo halina msaada katika jamii bado lipo kuwanyonya wa kkkt kimapato ilhali mrejesho katika jamii ni hafifu sio kiriho wala kimwili.

1. Shule za kkkt ziko kipigaji ma ziko taabani
2. Hotel ya corodor spring wakunwa walipiga zaidi ya 3B waumini wamechangishwa karibu wafe na wakakimbia walio wengi.

3. Selian hospital nahitaji kusema zaidi?

Bora Kimaro mara 1000 kuliko hao wachungaji na maaskofu vihiyo.

Note: mimi sio mkkkt lakini naijua jadi gizani
Kuna Ile hoteli mbeya waliweka dhamana wakope bilioni kadhaa ili wajenge chuo kikuu. Shoo na wenzake baada ya kukopa, Hela haijulikani iko wapi

Baadae wanaenda mbeya na mteja wa kununua hotel, Mwaikali akawagomea, wakamuanzishia fujo na wakamfukuza
 
Dk Shoo ameshanusa hivyo viwanja, anavitaka pamoja na dalali mwenzie askofu wa Dar es salaam

Walienda kuunza hotel mbeya Mwaikali akawagomea, wakaanzisha vita.

Wakakodi wapiga debe wa stendi, wakawaita wajumbe wa mkutano mkuu wa kumfukuza Mwaikali
Mnaropoka msiyoyajua!
 
Mseme, msiseme. Kila taasisi duniani ina taratibu na miongozo yake. Huyu mchungaji hakuondolewa kwa bahati mbaya. Kuna maneno amehubiri yasiyofaa kwa utaratibu wa kanisa lake.
Ni muhimu tujue kuwa mahubiri ya mihemiko wakati mwingine huwa hayatakiwi na kanisa kulingana na sera na taratibu zao.
Ile ni taasisi. KKKT. Ndio kaondoka. Anayetakanaondoke nae.

Kanisa Katoliki yanawakumba. Askofu Milingo wa Zambia wa Katoliki alianza hivyo akaondokewa akaishia kuanzisha kanisa lake.

Kila taasisi ina siri, mbinu, majukumu na kila kitu. Ukikengeuka unaondolewa tu.

Nani alijua Zito angetoka CHADEMA.
Wewe ongelea KKKT, kanisa Katoliki hatutingishwi na watu kuhama..ujue tu kuhama na kuondoka RC ndo kulisababisha hata hiyo KKKT ikawepo.RC tunamsemo wetu.."Mungu apiganie kanisa lake...ajipiganie mwenyewe' Sio waamini wampiganie Mungu ama Kanisa...wameishaondoka wengi lkn kwanza mdo huwa hata hatujali chochote na hatuumii kwa chochote sababu hakuna anajifeel kumiliki kanisa personally....

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Tujikumbushe, projects kadhaa ambazo Mchungaji Dkt. Kimaro amezifanya akiwa Mchungaji Kiongozi, KKKT Usharika wa Kijitonyama,
1. School of Healing (Morning & Evening Glory) -Youtube Channel (mwanzoni ikiwa Eliona Kimaro TV baadae KKKT Usharika wa Kijtonyama) inayowafikia watu wote Duniani.
2. TAMASHA LA MBINGU KUJAA SIFA (kila mwaka)
3. Jengo jipya la Sunday School (lililogharimu yapata takribani 200m TZS)
4. Ununuzi wa Kiwanja pembezoni mwa kanisa yapata 300m TZS
5. Kusomesha yatima yapata 100
6. World Pray Online (WPO), Call Centre ya maombi masaa 24, siku 7 za wiki.

NB: Ikumbukwe waliokuwa wanasali hizo Morning & Evening Glory wengi hawakuwa waumini wa KKKT bali wa madhehebu mengine na Waislam kuondoka kwake Dkt Kimaro tutarajie mabadiliko kiasi.

***Mchungaji Kiongozi (Mpya) Anna apewe ushirikiano kuendeleza alipoishia Dkt Kimaro.


Asijikweze kuwa juu zaidi ya taasisi..
 
Daah! Roman Catholic will remain the best Church ever in every thing eg. Leadership structure, Ethics, Faith and all what you know. Hivi kweli hata wewe mleta Uzi na usomi wako( nahisi kidogo umefanikiwa kubukua) unaweza ukaeleza kuwa hayo unayoita mafanikio ya Kimaro ni yeye ndio kayaleta na sio Mungu, kanisa na Waumini? Hao yatima amewasomesha kutoka pesa ya mfukoni mwake, ? Hicho kiwanja Cha mil 300 ni fedha zake binafsi au sadaka. Kanisa sio Mali ya mchungaji,Wala askofu. KKKT wanapaswa kusimama kwelikweli na ikiwezekana wakajifunze Kwa mlezi wao Catholic. La sivyo taasis itavurugwa sana na watu wasio tambua maadili na misingi ya kulinda taasisi Yao ya kidini. Ngoja niishie hapo,anayetaka kubishana NAMI aje saiz
Fuata utaratibu au quit,ukikaidi unatolewa baru,whatever alivyo ni Mali ya taasisi ya KKKT na Ina Mamlaka ya kuamua Juu yake,full stop

binafsi baada ya kuona siwesi fuata utaratibu nilishajitia kwenye makanisa yenu.
 
Taja hiyo misingi ya kanisa? Kimaro kama ni unyenyekevu kazidisha. Angekua mwingine angeshatoka kuanzia akiwa KARIAKOO maan nako haikua rahisi.
Lazima utii mamla iliyo Juu,full stop.
Uambiwe wewe kama nani? RC kule hakuna anayeweza hoji chochote ni amri tuu kutoka Juu,kama jeshini.
 
Tumsubiri huyo Mchungaji Msaidizi kama ataweza kuendesha hizo projects (maana nina uhakika pesa ilikua inatoka kwa waumini ambao wamestuka kwa Dkt Kimaro kupewa likizo na kuhamishwa Kijitonyama.
Projects zitadorara vyovyote vile, simjui sana kimaro ila the guy seems to be smart
 
Kimaro mwenyewe ashasema yupo tayari kwenda kufanya kazi kokote ambako atapangiwa aende.
Hii ndiyo maana ya Mchungaji.

Na kama wamemuhamisha kwa lengo la kumshusha,hawataweza.
Mungu akishamuinua mtu,hakuna mjinga yeyote atamshusha.
Na hili tukio litazidi kumpaisha jamaa .

KKKT uongozini kuna mambo ya hovyo sana.
 
Waigeni Wakatoliki. Wakatoliki Padre akifanya vizur huwa anahamishiwa sehemu ngumu ili akalete mabadiliko na kwa utii anaenda. Sasa KKKT hadi maandamano ndio nini sasa. KKKT ni taasisi.
 
Watu mnasali kwasababu ya Kimaro mnagoma mpk kwenda morning glory’s kisa kimaro hayupo

Kwl bora nianze kuabudu mizimu
 
Back
Top Bottom