Projects za Mchungaji Kimaro akiwa KKKT Kijitonyama

Projects za Mchungaji Kimaro akiwa KKKT Kijitonyama

Tena chuki kubwa mnoo hapo wameshatafuta namna ya kumwangusha na hatokaa apate upenyo wa kuyafanya yale aliyoyafanya kijitonyama....labda aanzishe mwendo kivyake na si chini ya taasisi tena

Kauli yake imemponza.
 
Hizi project Ni minor Sana ukilinganisha na anachofanya mastai pale kimara korogwe Kuna shule na hospital na mall na hzo zote za evening na morning Glory

Alichonikera Ni sifa alizo wapa wakatoliki waswasi Tena mbele ya kwaya kwa kuwaita viongozi wetu kuwa Ni matapeli sijapenda hilo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Unaambiwa na huyo mchungaji wako mastai watamla kichwa siku si nyingi..maana yupo kwenye kundi la wachungaji wajuaji wenye kibri Cha mafanikio
 
Kwenye hili swala kila mtu kaelewa alivyo elewa.....kila mtu ana mtazamo wake....... Kkkt ni taasisi kubwa... jambo kama hili lingeishia ndani huko sio kuleta huku kwa watu tofauti.....

Huyo mchungaji kazua taaruki kwa waumini wake kwa kuwapa taarifa hizo...na huko ofisini pia wamezua taaruki kwa mchungaji....... Hizi ni taratibu zao za kazi tuwaache tuone.....

Ila tunacho ubiriwa sio kila wanacho tuonyesha kama mfano....wao ndo wa kwanza kwa mifano mibaya.

Leo humu kimaro kafunguliwa nyuzi ngapi?
Safi sana Kimaro!

Kwapiga kwenye mshono! Yani mlitaka aondoke pale usharikani kimyakimya bila kusema?
 
Kila usharika KKKT una baraza la wazee, sharika ngapi zimefanya hayo yote? Nenda Usharika wa Sinza, hiyo Youtube Chalinze ikiwa live viewers wakizidi sana 15 na bado wanapambana na Deni mpaka kesho, Mwenge hali kadhalika.
NB: Kimaro hata apelekwe GEZAULOLE ataonyesha maajabu, jiulize kabla ya Kimaro-Knyama hapo Kinyama mbona kulikua jiiiii

Jii kisa You Tube?. Kwa hivyo ili kanisa likuwe lazima litangazwe you tube?. Kimaro kaikuta kijitonyama na ataondoka na kuiacha kijitonyama kama ilivyo.
 
Hizi taasisi zina mambo ya ajabu sana hwataki mch kama yule afanye makubwa ya kuonekana na akakubalika sana kuliko jina la taasisi yenyewe

Punguza uongo. Kimaro anafahamika kuliko KKKT?. Unafahamu KKKT au unaongea tu. Mbona Mwakasege ni maarufu lakini akifika KKKT ni mshirika wa kawaida anakaa back bech.
 
Nimekufuatilia sana nikagundua wewe mfia kkkt na haukubaliani ma mabadiliko ya kiroho.
Bado unaipenda kkkt iliyodumaa kiroho na hukupendezwa na huduma za uamsho za Kimaro.
Nimekugundua kuwa umhafidhina na sio imani sahihi ya Kikristo.

Kkkt ni dude kubwa ambalo halina msaada katika jamii bado lipo kuwanyonya wa kkkt kimapato ilhali mrejesho katika jamii ni hafifu sio kiriho wala kimwili.

1. Shule za kkkt ziko kipigaji ma ziko taabani
2. Hotel ya corodor spring wakunwa walipiga zaidi ya 3B waumini wamechangishwa karibu wafe na wakakimbia walio wengi.

3. Selian hospital nahitaji kusema zaidi?

Bora Kimaro mara 1000 kuliko hao wachungaji na maaskofu vihiyo.

Tokeni na Kimaro wenu. Unaongea kwa hisia utadhani unajua lolote. Nyie Kama mnamuona kimaro Bora ondokeni naye. KKKT mmeikuta na mtaiacha. Uhamsho hauletwi na mtu bali na Mungu.

Halafu kamuulize I huyo Kimaro kwanini kasimamishwa. Maana mnaongea tu, mkiambiwa sababu mtakubali au mtakataa.
 
Nimekufuatilia sana nikagundua wewe mfia kkkt na haukubaliani ma mabadiliko ya kiroho.
Bado unaipenda kkkt iliyodumaa kiroho na hukupendezwa na huduma za uamsho za Kimaro.
Nimekugundua kuwa umhafidhina na sio imani sahihi ya Kikristo.

Kkkt ni dude kubwa ambalo halina msaada katika jamii bado lipo kuwanyonya wa kkkt kimapato ilhali mrejesho katika jamii ni hafifu sio kiriho wala kimwili.

1. Shule za kkkt ziko kipigaji ma ziko taabani
2. Hotel ya corodor spring wakunwa walipiga zaidi ya 3B waumini wamechangishwa karibu wafe na wakakimbia walio wengi.

3. Selian hospital nahitaji kusema zaidi?

Bora Kimaro mara 1000 kuliko hao wachungaji na maaskofu vihiyo.

Mnaitukana KKKT na mnadai ameleta uhamsho, uhamsho wa matusi. Unafahamu uhamsho?. Uhamsho mnaandama mmevaa visuruari vya kubana?. Tena kanisani?. Be serious
 
Unaweza kutuwekea hapa huo mfumo na ni kwavipi Kimaro alitaka kuuzidi?

Kimaro Hana ubavu wa kuuzifi mfumo wa KKKT tuache kumpa mtunsifa za kijinga. Angekuwa na nguvu asingekubali kusimamishwa na kuripoti makao makuu ili apangiwe kazi nyingine.
 
Tujikumbushe, projects kadhaa ambazo Mchungaji Dkt. Kimaro amezifanya akiwa Mchungaji Kiongozi, KKKT Usharika wa Kijitonyama,
1. School of Healing (Morning & Evening Glory) -Youtube Channel (mwanzoni ikiwa Eliona Kimaro TV baadae KKKT Usharika wa Kijtonyama) inayowafikia watu wote Duniani.
2. TAMASHA LA MBINGU KUJAA SIFA (kila mwaka)
3. Jengo jipya la Sunday School (lililogharimu yapata takribani 200m TZS)
4. Ununuzi wa Kiwanja pembezoni mwa kanisa yapata 300m TZS
5. Kusomesha yatima yapata 100
6. World Pray Online (WPO), Call Centre ya maombi masaa 24, siku 7 za wiki.

NB: Ikumbukwe waliokuwa wanasali hizo Morning & Evening Glory wengi hawakuwa waumini wa KKKT bali wa madhehebu mengine na Waislam kuondoka kwake Dkt Kimaro tutarajie mabadiliko kiasi.

***Mchungaji Kiongozi (Mpya) Anna apewe ushirikiano kuendeleza alipoishia Dkt Kimaro.


KKKT ni kubwa na ina sharika na mitaa mingi tu ambayo imechoka wala haiwezi kujiendesha ni wakati sasa wa Eliona kwenda kutumika mahali pengine
 
Hii dhana ya ukubwa kuliko taasisi kwani kanisa ni mali ya mtu,au genge la watu?. Kanisa sio jengo, ni mwili wa Kristo ambapo watu wenye imani juu Kristo wanaamua ku team up na kumtafuta Mungu hata kwa kupapasa wakamwone sasa kuwa na kiongozi mwenye kuonyesha njia imekuwa nogwa?. Mwenye kanisa ni Mungu, mwenye roho za watu ni Mungu.
Wanasahau kuwa kanisa sio jengo au hivyo vyama(madhehebu) ambavyo vinapewa usajili kama kama vingine tu.Mimi sio Mlutheri lakini nimeabudu pale mara nyingi mno sababu ya moto tu uliopo kiroho.Ttatizo watu wamekazana kujenga falme za dini na madhehebu yao badala ya kujenga KANISA LA KRISTO ambalo haliangalii dhehebu ila kumuamini Yesu kama Bwana na Mwokozi.Mwisho uko karib sana
 
Inawezekana amesema ukweli ila kama ulivyosema Tanzania, japo nadhani ni duniani kote, huwezi kuwa ndani ya Taasisi fulani halafu ukaanza kuipaka matope, kuwaita unaowaongoza (vijana wa Kikristo) kwamba ni wezi, hutaki hata kuwaajiri kwenye kazi zako, mzee unafanya nini kwenye hiyo Taasisi yenye wezi na matapeli? tena unakula mishahara yao na mafungu ya kumi kutoka kwa watu unaowaita wezi?
Sasa kama kweli ni wezi angepaswa asemeje?
 
Panapostahili sifa pasifiwe tu hakuna alichokosea hapo.

Hakuna alichokosea?. Kuwaita KKKT kanisa la madalali na Katoliki kanisa la kweli?. Ukweli ndio Nini? Kesi za ufiraji zipo kanisa gani? Tuache kutetea mambo kisa kasema Fulani. Huyo alitakiwa kufukuzwa kabisa aende huko Katoliki.
 
Kila usharika KKKT una baraza la wazee, sharika ngapi zimefanya hayo yote? Nenda Usharika wa Sinza, hiyo Youtube Chalinze ikiwa live viewers wakizidi sana 15 na bado wanapambana na Deni mpaka kesho, Mwenge hali kadhalika.
NB: Kimaro hata apelekwe GEZAULOLE ataonyesha maajabu, jiulize kabla ya Kimaro-Knyama hapo Kinyama mbona kulikua jiiiii
Ndio apeleke huo uamusho kwingine na uhamisho kwa wachungaji mbona ni kawaida sana
 
Back
Top Bottom