Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Asante sana mkuu .. Mbinguni itaenda roho iliyopondeka na si mali za kiduniaMkuu umeandika kikubwa sana.
Nimeliweka moyoni neno lako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana mkuu .. Mbinguni itaenda roho iliyopondeka na si mali za kiduniaMkuu umeandika kikubwa sana.
Nimeliweka moyoni neno lako
Nimeandika katika ujumla wakeUnaweza kutuwekea hapa huo mfumo na ni kwavipi Kimaro alitaka kuuzidi?
Safi sana Kimaro!
Kwapiga kwenye mshono! Yani mlitaka aondoke pale usharikani kimyakimya bila kusema?
Vuongozi wengi sana siku hizi pamoja na waumini wao wanaangalia zaidi ya kimwili kama miradi na uwekezaji na kusahau kujijenga na kukua kirohoMkuu unaongea kwa-code sana.Funguka kidogo.
Tujikumbushe, projects kadhaa ambazo Mchungaji Dkt. Kimaro amezifanya akiwa Mchungaji Kiongozi, KKKT Usharika wa Kijitonyama,
1. School of Healing (Morning & Evening Glory) -Youtube Channel (mwanzoni ikiwa Eliona Kimaro TV baadae KKKT Usharika wa Kijtonyama) inayowafikia watu wote Duniani.
2. TAMASHA LA MBINGU KUJAA SIFA (kila mwaka)
3. Jengo jipya la Sunday School (lililogharimu yapata takribani 200m TZS)
4. Ununuzi wa Kiwanja pembezoni mwa kanisa yapata 300m TZS
5. Kusomesha yatima yapata 100
6. World Pray Online (WPO), Call Centre ya maombi masaa 24, siku 7 za wiki.
NB: Ikumbukwe waliokuwa wanasali hizo Morning & Evening Glory wengi hawakuwa waumini wa KKKT bali wa madhehebu mengine na Waislam kuondoka kwake Dkt Kimaro tutarajie mabadiliko kiasi.
***Mchungaji Kiongozi (Mpya) Anna apewe ushirikiano kuendeleza alipoishia Dkt Kimaro.
Wanasahau kuwa kanisa sio jengo au hivyo vyama(madhehebu) ambavyo vinapewa usajili kama kama vingine tu.Mimi sio Mlutheri lakini nimeabudu pale mara nyingi mno sababu ya moto tu uliopo kiroho.Ttatizo watu wamekazana kujenga falme za dini na madhehebu yao badala ya kujenga KANISA LA KRISTO ambalo haliangalii dhehebu ila kumuamini Yesu kama Bwana na Mwokozi.Mwisho uko karib sana
Sasa kama kweli ni wezi angepaswa asemeje?
Kwenye ufiraji kunahusiana nini na Kanisa? ufiraji ni tabia ya mtu binafsi usichanganye mambo mawili kwa pamoja.Hakuna alichokosea?. Kuwaita KKKT kanisa la madalali na Katoliki kanisa la kweli?. Ukweli ndio Nini? Kesi za ufiraji zipo kanisa gani? Tuache kutetea mambo kisa kasema Fulani. Huyo alitakiwa kufukuzwa kabisa aende huko Katoliki.
Simfahamu,sijawahi kumuona zaidi ya kumsoma hapa.... Nachangia tu kama wengine humu......Safi sana Kimaro!
Kwapiga kwenye mshono! Yani mlitaka aondoke pale usharikani kimyakimya bila kusema?
Tumsubiri huyo Mchungaji Msaidizi kama ataweza kuendesha hizo projects (maana nina uhakika pesa ilikua inatoka kwa waumini ambao wamestuka kwa Dkt Kimaro kupewa likizo na kuhamishwa Kijitonyama.
Usharika hautakufa asilani. Ila hauwezi kuendelea kama sasa. Leo EVENING GLORY haikurushwa Youtube kulikoni?
Mbona sharika nyingine hawana hizo projects? Hawana mabaraza ya wazee?
Nasisi Mungu asipo tujibu vile tunavyo taka tuendelee na shetani.Huwezi kuleta taratibu zako ndani ya kanisa nankulazimisha zifutwe. Tuwe wa kweli. Kimaro akafungue kanisa lake Basi.
Labda wakubwa walishindwa kufanya aliyofanya Kimaro
Acha kufundisha watu unafiki ww. Mnapenda mtu anaye sugur-coat uovu ili iweje.Aondoke tu akafungue kanisa lake. Kwanza Kimaro sio mchungaji per se ni motivational speaker. Mjungaji huwezi kusema vijana wa dini Fulani sio waaminifu. Umefanya research wapi? Mchungaji alitakiwa awaite vijana awafundishe uaminifu.
Kabisa mwaya! [emoji848][emoji848]
Tulishapasahau miaka mingi tangu enzi za ile kwaya ya wakongo ya wimbo hakuna Mungu kama wewe Kijitonyama ilikuwa kama haipo,
Usharika huo umekuja kujulikana baada ya Pastor Kimaro kuja huo ndio ukweli.
Hivi huyo Anna anazani ataweza kutembelea nyota ya Kimaro kweli ?
Mchungaji Anna aombe msaidizi ule muziki pale mzito
Minor? Seriously???!!! Kiongoziii gani aliitwa tapeli? Umeifuatilia ibada ya siku aliyotoa hiyo kauli??
Mnanishangaza sana.
Hata Yesu aliwasifu mafarisayo kwa kuwatolea mfano wanafunzi wake kuwa;
" Haki yenu isipozidi haki ya mafarisayo kamwe hamtauona ufalme wa Mungu"
Hapo kuwasifia waislanu katika eneo wanalofanya vizuri kuna tatizo?
Nimegundua Wakristo wengi ni zero katika ufahamu wa neno la Mungu.
Chukizo gani, kuna ubaya gani akipelekwa mahali pengine kusambaza neema kama hizo. Yeye ni mchungaji anayeweza kufanya kazi popote pale. Acheni umbeya.ukitenda mazuri kwa wanadamu chukizo kwa
wanadamu tena