Tujikumbushe, projects kadhaa ambazo Mchungaji Dkt. Kimaro amezifanya akiwa Mchungaji Kiongozi, KKKT Usharika wa Kijitonyama,
1. School of Healing (Morning & Evening Glory) -Youtube Channel (mwanzoni ikiwa Eliona Kimaro TV baadae KKKT Usharika wa Kijtonyama) inayowafikia watu wote Duniani.
2. Jengo jipya la Sunday School (lililogharimu yapata takribani 200m TZS)
3. Ununuzi wa Kiwanja pembezoni mwa kanisa yapata 300m TZS
4. Kusomesha yatima yapata 100
5. World Pray Online (WPO), Call Centre ya maombi masaa 24, siku 7 za wiki.
NB: Ikumbukwe waliokuwa wanasali hizo Morning & Evening Glory wengi hawakuwa waumini wa KKKT bali wa madhehebu mengine na Waislam kuondoka kwake Dkt Kimaro tutarajie mabadiliko kiasi. Hope Mchungaji Kiongozi (Mpya) Anna amejipanga vilivyo kuendeleza alipoishia Dkt Kimaro.