Projects za Mchungaji Kimaro akiwa KKKT Kijitonyama

Projects za Mchungaji Kimaro akiwa KKKT Kijitonyama

Hizi project Ni minor Sana ukilinganisha na anachofanya mastai pale kimara korogwe Kuna shule na hospital na mall na hzo zote za evening na morning Glory

Alichonikera Ni sifa alizo wapa wakatoliki waswasi Tena mbele ya kwaya kwa kuwaita viongozi wetu kuwa Ni matapeli sijapenda hilo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo ulitaka nyeusi aiite nyekundu siyo? [emoji12] The truth must be said..
 
Kanisa sio siasa!ama mtu kutafuta umaarufu

Kwahiyo unataka kusema bila yeye usharika huo,unakufa na hauwezi kuendelea?sio kweli Huwa inafika wakati sharika kukua na hapa nasisitiza bila Baraza la wazee kuamua,kuwa na Nia Moja hakika ni ngumu kuendelea
Ungejibu hoja yake kwamba mbona kuna sharika nyingi lakini hazijafanya kitu?
 
Amepiga simu polisi kuomba usaidizi ili aweze kuanzisha ibada ya masifu ya asubuhi kesho asubuhi, anapiga piga simu ovyo kusumbua wazee wa watu kuulizia hali ilivyo baada ya kufanikiwa kutoroka kanisani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Unashadadia sana hili tatizo..

Ninakuhakikishia kuwa hili jaribu la Kimaro litapita na awamu ijayo atakuwa na nguvu mpya na utaona haya kwa michango hii.

Wakristo sisi ni vituko wakati mwingine...unafurahiaje tatizo la mwenzio?

Lini waislam wanafurahiaga shida za wenzio badala ya kuwatetea?
Wakrsito tutajielewa lini?
Kwenye hili swala kila mtu kaelewa alivyo elewa.....kila mtu ana mtazamo wake....... Kkkt ni taasisi kubwa... jambo kama hili lingeishia ndani huko sio kuleta huku kwa watu tofauti.....

Huyo mchungaji kazua taaruki kwa waumini wake kwa kuwapa taarifa hizo...na huko ofisini pia wamezua taaruki kwa mchungaji....... Hizi ni taratibu zao za kazi tuwaache tuone.....

Ila tunacho ubiriwa sio kila wanacho tuonyesha kama mfano....wao ndo wa kwanza kwa mifano mibaya.

Leo humu kimaro kafunguliwa nyuzi ngapi?
 
Hili sakata la Kimaro nimeamua kuwaachia makada wa CHADEMA walisemee. Kupitia hii comment napenda kuwashukuru sana KKKT kwa kumiliki hosteli pale Same mjini... ile hostel ni nzuri na huduma nzuri. Usafi wa hali ya juu mno pia bei iko sawa. Kilichonigusa zaidi ni kuajiri "VISU".. nilijipatia toto moja zuri sana lilikuwa linafanya kazi pale.
 
Hili sakata la Kimaro nimeamua kuwaachia makada wa CHADEMA walisemee. Kupitia hii comment napenda kuwashukuru sana KKKT kwa kumiliki hosteli pale Same mjini... ile hostel ni nzuri na huduma nzuri. Usafi wa hali ya juu mno pia bei iko sawa. Kilichonigusa zaidi ni kuajiri "VISU".. nilijipatia toto moja zuri sana lilikuwa linafanya kazi pale.
Chadema tena!!!?
 
Unashadadia sana hili tatizo..

Ninakuhakikishia kuwa hili jaribu la Kimaro litapita na awamu ijayo atakuwa na nguvu mpya na utaona haya kwa michango hii.

Wakristo sisi ni vituko wakati mwingine...unafurahiaje tatizo la mwenzio?

Lini waislam wanafurahiaga shida za wenzio badala ya kuwatetea?
Wakrsito tutajielewa lini?
Na wewe mbona unanifuatilia sana!! Kuna nini kwani?
 
Tujikumbushe, projects kadhaa ambazo Mchungaji Dkt. Kimaro amezifanya akiwa Mchungaji Kiongozi, KKKT Usharika wa Kijitonyama,
1. School of Healing (Morning & Evening Glory) -Youtube Channel (mwanzoni ikiwa Eliona Kimaro TV baadae KKKT Usharika wa Kijtonyama) inayowafikia watu wote Duniani.
2. Jengo jipya la Sunday School (lililogharimu yapata takribani 200m TZS)
3. Ununuzi wa Kiwanja pembezoni mwa kanisa yapata 300m TZS
4. Kusomesha yatima yapata 100
5. World Pray Online (WPO), Call Centre ya maombi masaa 24, siku 7 za wiki.
NB: Ikumbukwe waliokuwa wanasali hizo Morning & Evening Glory wengi hawakuwa waumini wa KKKT bali wa madhehebu mengine na Waislam kuondoka kwake Dkt Kimaro tutarajie mabadiliko kiasi. Hope Mchungaji Kiongozi (Mpya) Anna amejipanga vilivyo kuendeleza alipoishia Dkt Kimaro.
Nguvu kubwa inayotumika kumtuhumu kuwa ni mpotofu imelenga kufunika hizi projects ambazo kimsingi ni za Kanisa.

Ninasoma posts nyingi mitandaoni ni kama watu wamepangwa kumsagia kunguni.

Lakini aliye wa Mungu hulindwa na Mungu.

Niwape angalizo dogo tu. Kama alikuwa anatoa huduma ya uinjilisho kisha wakamkatisha na kumlazimisha asipeleke ujumbe wa Yesu kwa watu basi wameingilia kazi ya Roho Mtakatifu na wameinuka kupambana na aliyempeleka.

Wanaodhani mambo ya Mungu yana protokali za kibinadamu waendelee kuamini hivyo maana thawabu haiko mbali.

Mwanakondoo Ameshinda TUMFUATE
 
Na wewe mbona unanifuatilia sana!! Kuna nini kwani?
Mkuu
Hii issue ya mchungaji Kimaro kaa nayo kimachale sana kwa sababu sisi tusioyajua maazimio ya ajenda za vikao vyao wasituingize kwenye changamoto zao.

Maaskofu wanapaswa kutoa kauli ya mwongozo na siyo kuacha hoja ifikie kumkufuru Mungu. Kadiri hili suala linavyojadiliwa bila muongozo wa mantiki ya maamuzi yale inaelekea kumfaidisha shetani zaidi ya Mungu.

Kumtoa mtumishi katikati ya huduma ya madhabahu (semina) maana yake ni kwamba wanadamu wana amri na mamalaka kuliko Roho Mtakatifu ambaye ni Mungu anayetendakazi nasi kila siku
 
Back
Top Bottom