Kwa hiyo ulitaka nyeusi aiite nyekundu siyo? [emoji12] The truth must be said..Hizi project Ni minor Sana ukilinganisha na anachofanya mastai pale kimara korogwe Kuna shule na hospital na mall na hzo zote za evening na morning Glory
Alichonikera Ni sifa alizo wapa wakatoliki waswasi Tena mbele ya kwaya kwa kuwaita viongozi wetu kuwa Ni matapeli sijapenda hilo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ungejibu hoja yake kwamba mbona kuna sharika nyingi lakini hazijafanya kitu?Kanisa sio siasa!ama mtu kutafuta umaarufu
Kwahiyo unataka kusema bila yeye usharika huo,unakufa na hauwezi kuendelea?sio kweli Huwa inafika wakati sharika kukua na hapa nasisitiza bila Baraza la wazee kuamua,kuwa na Nia Moja hakika ni ngumu kuendelea
Kabisa!Kwenye kila baraka kuna laana
Kila penye mafanikio pana mapungufu
Kufanya mambo fulani hakukufanyi kuwa mkubwa kuliko taasisi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Amepiga simu polisi kuomba usaidizi ili aweze kuanzisha ibada ya masifu ya asubuhi kesho asubuhi, anapiga piga simu ovyo kusumbua wazee wa watu kuulizia hali ilivyo baada ya kufanikiwa kutoroka kanisani
Kwenye hili swala kila mtu kaelewa alivyo elewa.....kila mtu ana mtazamo wake....... Kkkt ni taasisi kubwa... jambo kama hili lingeishia ndani huko sio kuleta huku kwa watu tofauti.....Unashadadia sana hili tatizo..
Ninakuhakikishia kuwa hili jaribu la Kimaro litapita na awamu ijayo atakuwa na nguvu mpya na utaona haya kwa michango hii.
Wakristo sisi ni vituko wakati mwingine...unafurahiaje tatizo la mwenzio?
Lini waislam wanafurahiaga shida za wenzio badala ya kuwatetea?
Wakrsito tutajielewa lini?
Chadema tena!!!?Hili sakata la Kimaro nimeamua kuwaachia makada wa CHADEMA walisemee. Kupitia hii comment napenda kuwashukuru sana KKKT kwa kumiliki hosteli pale Same mjini... ile hostel ni nzuri na huduma nzuri. Usafi wa hali ya juu mno pia bei iko sawa. Kilichonigusa zaidi ni kuajiri "VISU".. nilijipatia toto moja zuri sana lilikuwa linafanya kazi pale.
Hujasoma posts za makada wa CHADEMA na hashtag za #bringbackkimaro?Chadema tena!!!?
Uchama wa nini... focus kwenye mada.Hujasoma posts za makada wa CHADEMA na hashtag za #bringbackkimaro?
I second that[emoji109]Kwako KKKT ni majengo na miradi kwangu mimi ni KANISA la Kristo chini ya taasisi iitwayo KKKT
Yule mama ni SUMU venom ikasome..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Na wewe mbona unanifuatilia sana!! Kuna nini kwani?Unashadadia sana hili tatizo..
Ninakuhakikishia kuwa hili jaribu la Kimaro litapita na awamu ijayo atakuwa na nguvu mpya na utaona haya kwa michango hii.
Wakristo sisi ni vituko wakati mwingine...unafurahiaje tatizo la mwenzio?
Lini waislam wanafurahiaga shida za wenzio badala ya kuwatetea?
Wakrsito tutajielewa lini?
Nguvu kubwa inayotumika kumtuhumu kuwa ni mpotofu imelenga kufunika hizi projects ambazo kimsingi ni za Kanisa.Tujikumbushe, projects kadhaa ambazo Mchungaji Dkt. Kimaro amezifanya akiwa Mchungaji Kiongozi, KKKT Usharika wa Kijitonyama,
1. School of Healing (Morning & Evening Glory) -Youtube Channel (mwanzoni ikiwa Eliona Kimaro TV baadae KKKT Usharika wa Kijtonyama) inayowafikia watu wote Duniani.
2. Jengo jipya la Sunday School (lililogharimu yapata takribani 200m TZS)
3. Ununuzi wa Kiwanja pembezoni mwa kanisa yapata 300m TZS
4. Kusomesha yatima yapata 100
5. World Pray Online (WPO), Call Centre ya maombi masaa 24, siku 7 za wiki.
NB: Ikumbukwe waliokuwa wanasali hizo Morning & Evening Glory wengi hawakuwa waumini wa KKKT bali wa madhehebu mengine na Waislam kuondoka kwake Dkt Kimaro tutarajie mabadiliko kiasi. Hope Mchungaji Kiongozi (Mpya) Anna amejipanga vilivyo kuendeleza alipoishia Dkt Kimaro.
MkuuNa wewe mbona unanifuatilia sana!! Kuna nini kwani?