Sweet16
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 5,314
- 9,215
Naomba sjapata connectionMhimili Usioonekana Tayari Umeingia Hapo Ile Video Umeiona Na Kuisikia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba sjapata connectionMhimili Usioonekana Tayari Umeingia Hapo Ile Video Umeiona Na Kuisikia
wao wanapungua nn? Mbona jamaa alikua mnyenyekevu? Ukristo wa kusoma liturjia mwanzo-mwisho uliwagharimu Roman ndo maana sasa hivi wameanzisha JUMUIYA full kutishana ili waumini zaid wasitoroke kwenda kutafuta kwingineHizi taasisi zina mambo ya ajabu sana hwataki mch kama yule afanye makubwa ya kuonekana na akakubalika sana kuliko jina la taasisi yenyewe
Video Alipompa Nafasi Mbowe Akaongea Ndiyo Jambo Likazua MamboNaomba sjapata connection
Hizi project Ni minor Sana ukilinganisha na anachofanya mastai pale kimara korogwe Kuna shule na hospital na mall na hzo zote za evening na morning GloryTujikumbushe, projects kadhaa ambazo Mchungaji Dkt. Kimaro amezifanya akiwa Mchungaji Kiongozi, KKKT Usharika wa Kijitonyama,
1. School of Healing (Morning & Evening Glory) -Youtube Channel (mwanzoni ikiwa Eliona Kimaro TV baadae KKKT Usharika wa Kijtonyama) inayowafikia watu wote Duniani.
2. Jengo jipya la Sunday School (lililogharimu yapata takribani 200m TZS)
3. Ununuzi wa Kiwanja pembezoni mwa kanisa yapata 300m TZS
4. Kusomesha yatima yapata 100
5. World Pray Online (WPO), Call Centre ya maombi masaa 24, siku 7 za wiki.
Kwahiyo unataka kusema bila yeye usharika huo,unakufa na hauwezi kuendelea?sio kweli Huwa inafika wakati sharika kukua na hapa nasisitiza bila Baraza la wazee kuamua,kuwa na Nia Moja hakika ni ngumu kuendeleaKila usharika KKKT una baraza la wazee, sharika ngapi zimefanya hayo yote? Nenda Usharika wq Sinza bado wanapambana na Deni mpaka kesho, Mwenge hali kadhalika.
NB: Kimaro hata apelekwe GEZAULOLE ataonyesha maajabu, jiulize kabla ya Kimaro-Knyama hapo Kinyama mbona kulikua jiiiii
Taasisi pia sio jengo wala watu bali taasisi ni mifumo, watu ni watendaji tuuHii dhana ya ukubwa kuliko taasisi kwani kanisa ni mali ya mtu,au genge la watu?. Kanisa sio jengo, ni mwili wa Kristo ambapo watu wenye imani juu Kristo wanaamua ku team up na kumtafuta Mungu hata kwa kupapasa wakamwone sasa kuwa na kiongozi mwenye kuonyesha njia imekuwa nogwa?. Mwenye kanisa ni Mungu, mwenye roho za watu ni Mungu.
Kanisa sio mchungaji TU,je akifa?huduma imefika mwisho?Tumsubiri huyo Mchungaji Msaidizi kama ataweza kuendesha hizo projects (maana nina uhakika pesa ilikua inatoka kwa waumini ambao wamestuka kwa Dkt Kimaro kupewa likizo na kuhamishwa Kijitonyama.
Usharika hautakufa asilani. Ila hauwezi kuendelea kama sasa. Leo EVENING GLORY haikurushwa Youtube kulikoni?Kanisa sio siasa!ama mtu kutafuta umaarufu
Kwahiyo unataka kusema bila yeye usharika huo,unakufa na hauwezi kuendelea?sio kweli Huwa inafika wakati sharika kukua na hapa nasisitiza bila Baraza la wazee kuamua,kuwa na Nia Moja hakika ni ngumu kuendelea
Kwako KKKT ni majengo na miradi kwangu mimi ni KANISA la Kristo chini ya taasisi iitwayo KKKTNimekufuatilia sana nikagundua wewe mfia kkkt na haukubaliani ma mabadiliko ya kiroho.
Bado unaipenda kkkt iliyodumaa kiroho na hukupendezwa na huduma za uamsho za Kimaro.
Tumwkugundua kuwa umhafidhina.
Kkkt ni dude kubwa ambalo halina msaada katika jamii bado lipo kuwanyonya wa kkkt kimapato ilhali mrejesho katika jamii ni hafifu sio kiriho wala kimwili.
1. Shule za kkkt ziko kipigaji ma ziko taabani
2. Hotel ya corodor spring wakunwa walipiga zaidi ya 3B waumini wamechangishwa karibu wafe na wakakimbia walio wengi.
3. Selian hospital nahitaji kusema zaidi?
Bora Kimaro mara 1000 kuliko hao wachungaji na maaskofu vihiyo.
Note: mimi sio mkkkt lakini naijua jadi gizani
Sio kweli,ni wazee pamoja na washarika kuamua kufanya hayo wanayokubaliana-na hii Kuna wakati wachungaji hutengeneza kikundi Chao Chao kuwalinda,mchungaji was usharika hawezi kuwa juu ya Jimbo au dayosisiUsharika hautakufa asilani. Ila hauwezi kuendelea kama sasa. Leo EVENING GLORY haikurushwa Youtube kulikoni?
Mbona sharika nyingine hawana hizo projects? Hawana mabaraza ya wazee?Sio kweli,ni wazee pamoja na washarika kuamua kufanya hayo wanayokubaliana-na hii Kuna wakati wachungaji hutengeneza kikundi Chao Chao kuwalinda,mchungaji was usharika hawezi kuwa juu ya Jimbo au dayosisi
Muulize mchungaji aliyeko ofisini usitengeneze majibu Yako,shida baadi ya waumini kumwaini mtu kuliko kuamini neno halo ndipo tatizo hata wewe unaloUsharika hautakufa asilani. Ila hauwezi kuendelea kama sasa. Leo EVENING GLORY haikurushwa Youtube kulikoni?
Kila usharika KKKT una baraza la wazee, sharika ngapi zimefanya hayo yote? Nenda Usharika wq Sinza bado wanapambana na Deni mpaka kesho, Mwenge hali kadhalika.
NB: Kimaro hata apelekwe GEZAULOLE ataonyesha maajabu, jiulize kabla ya Kimaro-Knyama hapo Kinyama mbona kulikua jiiiii
Tunawaombea, walimalize salama.Muulize mchungaji aliyeko ofisini usitengeneze majibu Yako,shida baadi ya waumini kumwaini mtu kuliko kuamini neno halo ndipo tatizo hata wewe unalo
Hizi taasisi zina mambo ya ajabu sana hwataki mch kama yule afanye makubwa ya kuonekana na akakubalika sana kuliko jina la taasisi yenyewe
Mchungaji Anna aombe msaidizi ule muziki pale mzitoKabisa mwaya! [emoji848][emoji848]
Tulishapasahau miaka mingi tangu enzi za ile kwaya ya wakongo ya wimbo hakuna Mungu kama wewe Kijitonyama ilikuwa kama haipo,
Usharika huo umekuja kujulikana baada ya Pastor Kimaro kuja huo ndio ukweli.
Hivi huyo Anna anazani ataweza kutembelea nyota ya Kimaro kweli ?
Minor? Seriously???!!! Kiongoziii gani aliitwa tapeli? Umeifuatilia ibada ya siku aliyotoa hiyo kauli??Hizi project Ni minor Sana ukilinganisha na anachofanya mastai pale kimara korogwe Kuna shule na hospital na mall na hzo zote za evening na morning Glory
Alichonikera Ni sifa alizo wapa wakatoliki waswasi Tena mbele ya kwaya kwa kuwaita viongozi wetu kuwa Ni matapeli sijapenda hilo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mnanishangaza sana.Sahihi Sana Hilo ,alijisahau Sana Hadi kuanza kuwasifu wakatoliki na waisalmu hadharani eti ,roma Catholic wako vzr so wat aende uko sasa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app