Prondo na donluchese vyuma vimekaza? Mbona sisikii tena story za magar

Ha ha ha ha mji mkubwa huo unaweza kukaa miaka 50 kuna sehemu kibao hujawahi hata kuzisikia
yap ni kweli mkuu ndo maana mimi nimekutajia mitaa ya st peter ambayo hata huijui lakin ipo london huku huku mkuu
 
kwa mvulana 20+yrs alie na mademu 32 hawezi na haitatokea kumudu wake wanne in his early 30's -40 yrs
Mkuu hawo ndo nawapenda kwa moyo wangu wote hivyo nitadumu nao
 
Jibu swal ni sa ngap hapo london ?! Na kuna hali gani ya hewa hapo londo sasa hivi , huo mtaa wa st peters unapakana na nini ....ndo mnadangayia wadada kwamba mko london
Mkuu nipo karibu na ruminus univesity kwa sasa huku ni asubuh
 
Kuna sehem inaitwa paco domingway unaifahamu?!
Hapana siifahamu mkuu London ni kubwa sana mkuu

Ni sawa na wewe nikuulize kuwa unapajua tanzania sehemu panaitwa nyampande
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…