Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens


Mkuu naomba unipe ufafanuzi zaidi wa hii post yk [emoji121]🏽️[emoji1432][emoji1432]
 
Hapo uliposema kwamba 'hawana nia njema na sisi'
siku zote wanajaribu kuficha ukweli how creatures hasa binadamu alivyoevolve na jinsi nature inavyomcontrol..

Kumekuwa na paradoxy nyingi sana zinazopindisha ukweli wa mambo jinsi mwanadamu alivyokuja hapa duniani..

Mpaka inafikia mahali nchi za africa zinalishwa matango kuwa mwanadamu wa kwanza ulimwwngyni aliishi Tanzania ..

Lengo ni kuendelea kuficha ukweli na kumfanya mwafrica asijue alitoka wapi..

Ukishaambiwa aliishi tanzania huwezi anza kujiuliza kuwa alitokea wapi.

Only few will understand how things go and work..
 
🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eti this is too fucking big but worry not we can reach above it some day by our fates and believes
 
Naomba muangalie movie inaitwa attraction nafikiri utapata kujua zaid about ellian japo wanasema kuwa movie its all about acting but kuna story wanatufundisha hawa wazungu between us and allien
 
Thats is pathophysiology of hair as a tissu lived without blood supply while other tissue gone

As we all know dat brain is the last organ to die after death occured but it differ from hair since that hair doesn't metabolize by aurobic bacteria
 

Mkuu unazid kunifikirisha baadhi ya mambo
Sisi waAfrika tumekua wazito sn ktk kuhoji
 
Ukiangalia maendeleo ya teknolojia yalivyo utagundua kuwa kuna nguvu ambayo iko mahali (siri ) inayoratibu mpango mzima. Kwanini? Chukua mfano rahisi kabisa ujio wa simu za mkononi angalia mtiririko wa jinsi teknolojia yake inavyobadilika ktk ubora wake kati ya toleo moja na jingine,utagundua kuna uratibu wa hali ya juu ambao si akili ya kawaida ya kibinadamu.
 
According to your info, duniani palionekana ni mahali sahihi ambapo effects za cosmic radiations zisingeweza kuafect viumbe vilivyopo ndani yake.. Sasa kwa nini waprogram binadamu kwa codes ili binadamu hao waishi duniani while wao wasiishi sehemu hiyohiyo waliyoiona ni salama??
By the way somo zuri sana and ni vizuri kuchakata bongo zetu zifikirie mambo mengine mengi tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…