Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

Mkuu nimekuinulia mikono,unajua sana! nawaza na ww utakuwa na vipande vya AAG make sio kwa nondo hizi
πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€πŸ€[emoji19]🀫
 
[emoji123] [emoji123] [emoji123] [emoji123]
 
Umeutendea haki ubongo wako. umefikiri kimantiki kabisaaa
 

Mfumo wa hii Kazi hauwezi kumuacha mfanyaji Kazi Salama kwa Sababu yoyote ile ,ukisha jiingiza katika Kazi hii uwe ume kubaliana na kila kitu na kadiri unavyo zidi kufahamu Siri nyingi ndivyo unavyokuwa katika Hatari kubwa zaidi.Anae kataa labda atuambie ni Serikali ipi huwa inajianika Hadharani ktk Mambo yake ya Ndani...
 
natambua uwepo wako mkuu.
 

Hii inaweza kuwa ni Sahihi kama kweli Maelezo yako yatakuwa ni sahihi .
 
Hii inaweza kuwa ni Sahihi kama kweli Maelezo yako yatakuwa ni sahihi .
karibu mkuu...Swali ni wapi tunapata technolojia linakosa majibu kwa watu ambao wanapuuzs uwepo wa hawa viumbe
 
natambua uwepo wako mkuu.

Sawa Mkuu ,ila niwaombe wanaopita humu na kuchangia wawe na Fikra huru walau 50 kwa 50 pengine wanaweza kuunganisha na kugundua jambo.Tatizo la wafia Dini wanaipenda na kuiamini Asilimia mia moja na hili ni Kosa kwa Binadamu anae fikiri sawasawa ,hata Kibwetere alitua chance hii hii kuwachoma Waumini wake.Tunaambiwa tusipende sana kupitiliza na tusikichukie kitu sana kupitiliza,kama tunataka kuelewa tujiweke ktk Mizani iliyo sawa.
 
kabisa mkuu..
 
karibu mkuu...Swali ni wapi tunapata technolojia linakosa majibu kwa watu ambao wanapuuzs uwepo wa hawa viumbe

Kwa Bara letu hili la Afrika sidhani ,sisi tumekuwa kama Dampo au Kasuku kwa kulishwa na kuamini kila kitu kiasi ule uwezo wetu wa Kufikiri zaidi tumeuwekea kikomo ktk Jambo flani hasa hizi Imani zetu.

Wenzetu wata endelea sana kutu swaga kama Wanyama wa kufugwa.Siatarajii hilo kutokea kwetu..
 
Yani sehemu walipo ni mbali sana ...hii mijadala ya humu wenzetu wameelimishana miaka ya nyuma sana huko...ila tatizo sisi tunasahau kuwa dini ni kitu kilicholetwa kwa mwafrica ili asihoji asili yake vizuri...
 
 
Mkuu hapa wewe tu ndo unaamini kua una sura nzuri kuliko wao,ila mbuzi angeongea huenda angekucheka sana kua una sura mbaya kuliko yeye
Bonge la point daaah ivi unajua kila kiumbe kinajiona kizur kuzid jamii ya kiumbe kingine?!
 


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…