Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

Piramids zimetumiwa na makuhani wa kimisri kuwasiliana na Miungu..!?[emoji33]

Mlima sinai _Musa katokewa na kiumbe...! Kikampa Amri..!?[emoji33]

Yesu kaenda kusali mlimani katokewa na kiumbe kikamtia nguvu..? Tena kila wakati yeye anaenda milimani Tu..!?[emoji13]

Jabal hira_Mtume katokewa na kiumbe..!? Kampa wahyi[emoji33]

Yaani milima tuna na viumbe wa ajabu kutoka kusikojulikana...Hawastuki tu.! [emoji3][emoji16][emoji16]

Me nadhani Space ship zitakuwa zinafichika vizuri milimani [emoji1][emoji1][emoji1]

Nawaza tu ila kwa sauti
 

sasa mkuuu hapa ulipogusa watu wengi hawatakuamini kabisa ila ni fact na ndio ukweli wenyewe

katika pitapita zangu hiyo issue nimeiona hongera kijana

nina nyuzi zangu siku nikipata nafasi nitazileta nazan zitawaaminisha zaidi
 
Umenifanya nitulie nirudie tena kusoma ulichopost Mkuu ,km nimekuelewa vile
 

Hapo katika Numerology nimekuelewa
 
sasa mkuuu hapa ulipogusa watu wengi hawatakuamini kabisa ila ni fact na ndio ukweli wenyewe

katika pitapita zangu hiyo issue nimeiona hongera kijana

nina nyuzi zangu siku nikipata nafasi nitazileta nazan zitawaaminisha zaidi
karibu mkuu..
 
sasa mkuuu hapa ulipogusa watu wengi hawatakuamini kabisa ila ni fact na ndio ukweli wenyewe

katika pitapita zangu hiyo issue nimeiona hongera kijana

nina nyuzi zangu siku nikipata nafasi nitazileta nazan zitawaaminisha zaidi
mkuu ukianza kushusha vitu nitagi iki tuje tujazie mambo ili watu wapate kuelewa....
 
sasa mkuuu hapa ulipogusa watu wengi hawatakuamini kabisa ila ni fact na ndio ukweli wenyewe

katika pitapita zangu hiyo issue nimeiona hongera kijana

nina nyuzi zangu siku nikipata nafasi nitazileta nazan zitawaaminisha zaidi
mkuu ukianza kushusha vitu nitagi iki tuje tujazie mambo ili watu wapate kuelewa....
Msiniache ktk kutag watu
 
Niliwahi kujiuliza maswali yafuatayo:-

Nani aliyegundua namba?

Kwanini kuwe na namba 1 hadi 9?

Je hizi namba zina maana ipi?

Nimerology ikajaribu kunipa mwanga
Numerology ni hatari sana...

The universal codes are asigned into numbers..

Numbers are the keys to synchronise everything with the universal pattern of reality..

symbols and numbers are the same in mode of operations but their presentation is different..

for we to understand how the universe works,we should understand how numbers and symbols represent ....
 
nimesomaaa naona navutwa na usingiziii nitarudiii kesho mkuuu nimependa ulivyo elezea vipande vya genes
 

Kweli kabisa ukifatilia utaligundua hilo mfano kupitia numerology utagundua mfano mimi life path namba yangu 11 yaan mule mule na maana ya 11 katka numerogy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…