Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

jamaa pia hajachunguza kiongozi pitia huu uzi niliuandika zamani uniambie je bado watu weusi ni wakuzaraulika kama mkuu alivyozarau hapo
Wanasayansi wa kiafrika ndio wanaoikuza Amerika na Ulaya, kwanini wasiikuze Afrika yao? - JamiiForums
Nina ushahidi tosha juu ya watu waliopewa tuzo na Miradi mikubwa ya kutokomeza malaria pamoja Ukimwi ambapo ipo chini ya taasisi za kigeni ambazo zinakuja na kila kitu kisha zinawaingiza native au wenyeji kisha kuwapa semina mwisho wa siku wote mloopewa semina mnatunukiwa tuzo na hizo tuzo zinapambwa snaa kuwa hawa ndo mabingwa kutoka Africa waliotoa michango yao juu ya kutokemeza Malaria Tanzania na majina yao yanaingia World headline..

Au unafikiri sifahamu..nimekwambia nina experience na utoaji wa tuzo hizo labda kama hujawahi fanya kazi na wale watu ndo utaonekana kama una maana yoyote...

But the real actual facts ni kwamba hatujawahi kupinga kwa facts zenye level ya molecular hasa kwenye molecular ..

Usibishi kwa sifa ila tuelewane vizuri mkuu,wew mwenyewe ni mojawapo ya ushahidi juu ya hilo kama unapinga niambie...
 
Halafu unaposema kuwa nimejishusha sijui kwa kuzalau ngozi nyeusi kwamba haiwezi kuhoji alichofanya mzungu,ni kweli nina uhakika wa asilimia mia moja kuwa wew ngozi nyeusi huna kiwango cha kupinga analysis aliyoifanya mzungu..
pitia hapa uone je kuna list ya wanasayansi wangapi kutoka africa wanafanya kazi kwenye maabara kubwa ulaya na amerca pia wengine ni malecturer wa vyuo vikuuu maarufu duniani huku wngine ni maengeneer ndipo urudi hapa
Wanasayansi wa kiafrika ndio wanaoikuza Amerika na Ulaya, kwanini wasiikuze Afrika yao? - JamiiForums

Nipe list ya mtu mweusi aliyepinga Genetic analysis zilizotolewa na mzungu na akapublishi upingaji wake na ukapindua publishment za wale watu..
tatizo si mtu mweusi kupinga! jambo muhimu huo uchambuzi wa kigenetic eti mwanadamu ameumbwa na aliens umepingwa na wazungu wenzake

Tusibishane kwa sifa ,tangu lini sisi Africa tumepinga kwa actual facts ??

Nieleze hiyo experience ya kupinga facts za wale jamaaa ...!!.
kuna hawa wanasayansi wawili wa egypt wamefanya mapinduzi makubwa huo ni mfano tu ila wapo wengi

1. Euclid of Alexandria
huyu ni founder wa geometry ni mzaliwa wa egypt
amefanya kazi katika European Space Agency's (ESA) na ameunda euclid space craft


2. Sameera Moussa
huyu ni ni mwanafizikia aliyebobea kwenye maswala ya nyukilia na ni mzawa wa egypty ana doctorate ya atomic radiation na alifia huko California, united state

Wewe mwenyewe pamoja na kusoma soma kwako umeishia kusoma curriculum za wale jamaa kwanini hatujawahi kukuona unapinga kilichoandikwa halafu hapa JF ndo unajifanya kama unapinga kwa facts wakati huna historia ya kupinga...
hii si point
kupinga curriculum tz unatakiwa upate nafasi kwenye media pia kingine hata ukipinga hausikilizwi
hivi unafikiri malecturer huko vyuoni hawawambi waalimu wa tz kuwa curriculum ni overloaded ila wakubaliane na hali tu

Weka ushabiki pembeni tutembeee na actual analysis ambayo umewahi kuifanyia kazi au imewahi kufanyiwa kazi na ngozi nyeusi mpaka ikapita kwenye balaza la usahihi na kuivert postulates za wale jamaa..

muafirika wa morroco huyo
Rachid Yazami
huyi ni morocan alifanya research kuhusu lithium battery na graphite anode anafanya kazi katika French National Centre for Scientific Research (CNRS) ni wa kwaza kugundua intercalation ya lithium kwenye graphite katika electrochemical cell



napenda kuheshimu michango ya watubna kwa hili ninaheshimu pia but be to the side of truth tusijekuwa tunabishana ili hali tunashindwa kupeana elimu mpya au kuongezeana mambo..
sasa huu upande niliopo mimi ndio wenye ukweli ninavyoamini na wew upande wako ndio unaamini kuna ukweli dhibitisha
 
But the real actual facts ni kwamba hatujawahi kupinga kwa facts zenye level ya molecular hasa kwenye molecular ..

Usibishi kwa sifa ila tuelewane vizuri mkuu,wew mwenyewe ni mojawapo ya ushahidi juu ya hilo kama unapinga niambie...

sasa akili yako ndogo kwahiyo wataka kusema kila alichokiandika mtu mweupe kuhusu molecular biology yupo sawa?
 
unaelewa kitu nilichokuandikia pale juu mkuu kuwa kwanini hizo gunduzi zimefanyika wakiwa tayari kwenyr tasisi husika na sio mazingira ya nyumbani..??

Umeelewa juu ya utoaji wa tuzo kutoka kwa hao jamaa...??

Mfumo ambao wikipedia wanatoa CV za mtu..?? mara nyingi nimekueleza kuwa nina ushuhuda wa tuzo ambazo wanapewa waafrica wanapofanya kazi na wazungu..kwanini unakuwa mgumu kudhibitisha hilo. ??

ukishaaona tayari mtu yuko NASA unajua what do you expect? wanakupa tuzo ambayo msingi wake mkubwa na kukufanya ujisikia amani na uendelee kufanya nao kazi but mode ya operation wanaitoa wao..

mbona mkuu wa kitengo cha kupambana na magonjwa kama Malaria ni Mwafrica kwenye Taasis iliyopo Bagamoyo na wazungu wapo chini yake na anaenda kila week switzerlans kwenye presentation za kimataifa kuhusiano na mipango ya kutokmeza malaria akirudi anakuja na rundo la CV na vyeti kuwa katoa michango mikubwa kwenye baraza la utafiti...hivi unajua modalities ya wale watu kutoa toa vyeti??
Yani hata wanaopewa tuzo wanalitambua hilo kuwa wanapewa tu ila mode ya kuoperate au idea wanapewa na wale jamaaa...

Lengo ni Africa ikuone kama unakuwa superior idealy but its not..
 
naona unataka kuhama kwenye mada hiyo mada ilikuwa kwenye uzi wangu si huku hivyo tuiache

just tuendelee na hii je ni kweli aliens wamewaumba wanadamu? hapa ndipo umeshindwa kutoa fact
 
sasa akili yako ndogo kwahiyo wataka kusema kila alichokiandika mtu mweupe kuhusu molecular biology yupo sawa?
Leta taarifa zilizopingwa na mwafrica..si unajiona mjanja kwenda kupakua wikipedia list hizo..kapakue tens ulete list ya wao ndugu zako waliopinga molecular analysis...

Unategemea wikipedia kama source za information zako..unasahau kuwa only 4% za documents zote ndo zipo google unasahau kuwa kuna documents za siri almost 96% zinakuwa kwenye access za siri..

Unakimbilia wikipedia kupakua list ..real..??

Halafu nimekwambia tumalize mjadala huu nipe list ya wanasayansi wa kiafrica waliopinga kwa kufanya amendment zao ..usilete waliotoa michango..hiyo michango hata huku kila siku watu wnaatunukiwa...
 
naona unataka kuhama kwenye mada hiyo mada ilikuwa kwenye uzi wangu si huku hivyo tuiache

just tuendelee na hii je ni kweli aliens wamewaumba wanadamu? hapa ndipo umeshindwa kutoa fact
Aliens wamemprogram mwanadam and other speciea for a purpose...

Ni nimekutolea na ufafanuzi vizuri kwa kubase na molecular genetic za non coding Bases...

Bado na experiment zimefanywa na kundi la hao watu na wakatoa findings zao...

Je kwanini unakataaa kuwa ni waongo...nipe molecular evidence..
 
naona unataka kuhama kwenye mada hiyo mada ilikuwa kwenye uzi wangu si huku hivyo tuiache

just tuendelee na hii je ni kweli aliens wamewaumba wanadamu? hapa ndipo umeshindwa kutoa fact
Sijahama mada ila ninakujibu according to sitation unazoleta..umeleta evidence kwa kutumia hilo bandiko lako ndo mana nimekupinga kupitia bandiko lako au uliataka nikupinge kwa kutumia nini wakti umekuja na ushahid wako...ndo amna nimekupinga kwemye hilo swala la kupewa tuzo...kwani mara ngapi watu wnaashiriki semina kisha CV zinaandikwa kuwa wao ndo wabunifu!! mkuu na hilo unakataa tena..ukitaka kuamini kwanini mpaka leo hakuna lolote linaloendelea Africa if at ol we had geniuz people..??

think critically ndo utajua hizo tuzo walipewa kwa lengo gani..

Kama bado unaendelea kupinga badae tuendeleze..
 
ngoja nilete source yako uliyotumia ukafanya tanslation na kuja kupost huo ujinga hapa sasa sijui utasema nayo ni acces ya siri au vp
Findings zimewekwa google sijakataa but hilo la monoclonal genome halipo google nina uhakika na ukitaka documents nitakupa ila kuwa muwazi na ukiri kuwa hujui chochotr kuhusu molecular scientific findings kuhusiana na mambo ya cloning...

tafuta popotr google kama ukikutana na maelezo ya namna ya kufanya cloning mimi nitakupa milioni moja pesa taslim..,

kama maelezo ya kufanya cloning yangekuwa google nadhani kila nchi ingekuwa inapakuwa maelezo kisha inafanya..

ndo mana nimekwambia huo ndo utofauti wangu na wew..tafuta source ya maelezo ya monoclonal genome katika mambo ya cloning halafu utupe site mimi nitakupa pesa taslim milioni moja ..nimesema nikiwa namanisha na hutaweza nipa site ya maelezo hayo..

narudia tena huo ndo utofauti wangu na wewe..full stop
 
ngoja nilete source yako uliyotumia ukafanya tanslation na kuja kupost huo ujinga hapa sasa sijui utasema nayo ni acces ya siri au vp
wewe endelea kutumia wikipedia kuwa unatuletea hapa list zako ila mimi nitatumia specified document na kama unabisha nitakuwekea hapa..ila kabla sijaweka dhibitisha kuwa source yako ni wikipedia na sio kingine hapo tutaelewana
 
source za hii historia yako ni hapa ndio unajikuta mjanja eti umechimba kumbe ulichofanya ni kucopy na kutranslate basi
1.
Where Did Humans Originate?

2.
Did Extraterrestrials Genetically Engineer Humans?

wanajf pitieni hapo then mniambie kama huyu jamaa kuna research amefanya au ameamua kukopi na kupaste kutoka kwenye hiyo site
tena kupaste kwake kafanya translation kwanza kwa kutumia cjui google tanslator article ikaja ndio hiyo haina hata umbo

hata kufanya citation ya hiyo cite haujafanya then unasema ni akili yako eti umechimba just dz a plagiarism
 
wewe endelea kutumia wikipedia kuwa unatuletea hapa list zako ila mimi nitatumia specified document na kama unabisha nitakuwekea hapa..ila kabla sijaweka dhibitisha kuwa source yako ni wikipedia na sio kingine hapo tutaelewana
ndio ni wikipedia na site nyingine moja siikumbuki now ila kwanini nibishe kitu ambacho kipo wazi
 
Mkuu hapa swali la kati ya mzazi au mtoto anapozaliwa nani anakuwa ktk reflection of illusion hujanijibu. Au labda tumia lugha rahisi. Shukrani .
 
hiyo milion moja unayo sasa mpe invisible aishike hiyo pesa nitakupa majibu ya swali lako hakuna kitu kinachokosekana google kiongozi mpaka hapo ulipfikia wewe hujui kutumia google vizuri
 
mbona nimeweka sitation ya wahusika au hujaona jina la miongoni mwa waliofanya hiyo kazi na ukidouble click unapata maelezo hayo hayo...
 
hiyo milion moja unayo sasa mpe invisible aishike hiyo pesa nitakupa majibu ya swali lako hakuna kitu kinachokosekana google kiongozi mpaka hapo ulipfikia wewe hujui kutumia google vizuri
nikikulizwa swali juu monoclonal genomic kama unaifahamu na kama unaifahamu nambie tukate mzizi wa fitina hapa...
 
cjaona experiment yoyote uliyoelezea hapa zaidi ya history
 
hiyo milion moja unayo sasa mpe invisible aishike hiyo pesa nitakupa majibu ya swali lako hakuna kitu kinachokosekana google kiongozi mpaka hapo ulipfikia wewe hujui kutumia google vizuri
nimekwambia kuwa kama monoclonal facts zingekuwa zinawekwa google kama unavyoweza kupakua na kuleta nahsi kila nchi duniani ingekuwa na utaalamu wa kufanya complicated cloning...

Nina manisha ninachokiongea hapa..

nitafutie huko wikipedia hiyo monoclonal genetics namna ya kufanya hizo analysis za kucompare non coding Bases na bases za kawaida ,halafu ukiipata njoo upaste hapa tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…