Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

Bila kuona noma mkuu ngozi nyeusi haiwezi na haina ubavu huo!
 

kabla cjaanza kueleza steps za cloning
naomba nitoe maana ya cloning kwanza in bios field

cloning ni kitendo chakutengeneza kopi ya chembe muhimu za kiumbe inaweza ikawa ni cell, DNA au organism kabisa ila sasa hapa tudeal na upande wa DNA

cloning zipo za aina mbili ambazo ni hizi

1.natural cloning
2. artificial cloning

1.natural cloning
hii inatokea naturally mara nyingi ni kwa wale single cell organism pamoja na mimea wankopi cell za mama zao na wanaunda organism ambaye ana genetic makeup sawa na mama

pia kwa mwanadamu kuna natural cloning inaweza kufanyika wakati wa fertilization wa yai
yai linapokuwa fertilized kwa mwanamke wakati mwingine huweza kujigawanya katika sehemu tofauti kuanzia mbili na kuendelea kila kipande kikawa na copy ya DNA inayofanana na ile iliyotokea tu wakati wa fertilization na kusababisha kuwepo kwa identical twins ambao genetic make up yao inafanana wao kwa wao lakin genetic makeup yao haiwezi ikafanana na wazazi wao

2. artificial cloning
hii ni aina ya cloning inayotokea kwa unyumbulishaji kutumia biotechnology
sasa hapa imeganyika pia
kuna type hizi hapa
1. gene cloning
hapa inahusisha issue za kukopi gene wanazohitaji kukopi

step zake ni hizi hapa
kwanza kabisa ni kuchagua gene of interest kwa kuextract DNA ya organism ukishapata hiyo gene unaikata kwa kutumia restriction enzymes ambazo zitakuwa zimetengenezwa kusoma mpangilio fulani wa nucleotide

pili unakata plasmid ya bacteria kwa kutumia restriction enzymes kama hiyo iliyotumika mwanzo
kwa wale wasiojua plasmid ni nini ngoja niwajuze kwa ufupi

plasmid ni DNA ndogo sana ambayo hupatikana kwa bacteria

tatu baada ya hapo gene of interest itawekwa pamoja na plasmid kwenye tube maalumu then zitawekewa enzyemes ili kuruhusu combination kati ya gene of interest na plasmid hapo ndipo DNA mpya itaundika sasa tunaita ni recombinant DNA

nne baada ya hapo recombinant DNA itaenda kuinjectiwa kwa bacteria kwa kutumia electroporation au kwa kutumia heat chock hizo njia zitawasaidia kutoboa shimo dogo kwenye wall ya bacteria ambalo litaruhusu recombinant DNA kuingizwa

tano bacteria atawekwa kwenye special dishes na baadae ataendelea kukua na kutengeneza multiple bacteria wenye same recombinant DNA

baada ya hapo kupitia genetic engineering sasa wanaweza kuchukua hizo recombinant DNA na kzipeleka sehemu wanazotaka au kuziweka kwa organism wanaemtaka

BADO NITAENDELEA NA AINA ZA ARTIFICIAL CLONING ZILIZOBAKI KUNA CELLULAR CLONING NA ORGANISM CLONING
KWAKWELI SIBISHANI KWA KITU NISICHOKIJUA TATIZO NI MUDA WA KUTYPE FACT NDIO MGUMU
 
Ngoja kwanza Invisible ushapewa hela yetu 1000000/= aliyoahidi lifecoded ?
 
sina kinyongo na wewe..nikianzisha uzi wa monoclonal bioengenering nitakutag uje hapa...make nataka tumakize huu ubishi wako .
 
kuna mtu anapinga juu ya complicated monoclonal genome na nimemwambia alete maelezo yake hapa ila anazunguka zunguka tu...
Monoclonal
kwenye biology linamaanisha ni kitu kilichojengwa, zalishwa, au kimebeba cell zilizo nyumbulishwa kutoka kwenye single cell
hapa kutaja neno monoclonal unatakiwa uishie kwenye cellular level na si kwenye molecular level (genome) kuwa makini

kiongozi hakuna kitu kinachoitwa monoclonal genome kwenye genetic
kilichopo ni monoclonal antibodies sikutaka kukubishia mwanzo sababu sikuwa na uhakika lakini sasa nina uhakika kama utabisha lete fact hapa na hapa huna fact
mkuu usiwe na tabia ya kudanganya watu jf utaumia tu pia hutopata raha ya kutumia jf
 
HEBU FUNGUKA VIZURI MAANA HII NI MPYA
 
Haya mambo ni adithi anaye adithia vizuri story inanoga...nadharia zimekuwa nyingi ukifatilia sana naweza kuwa chizi
Ukisoma huu UZI huku umevaa miwan ya din kamwe huwez ng'amua chochote. tatzo linaanzia pale mnapotumia vitabu vyenu vya dini kua kipmo cha maarifa mapya. wakristo bado wanaamin jua kuzunguka dunia{rejea kisa cha yoshua} lakn hujawai sema kua n hadithi..Wajaidina nao hawakua mbali,wakasema jua linazama kwenye TOPE lakn hamjawai sema n hadithi na bado mnaviamin hivyo vitabu.

SIO LADHIMA UAMIN ANACHOKISEMA JAMAA. kama mnapinga pingen kwa fact na sio viloja
 
Nimekusoma, Ila Ukisema Sababu Ni kukusanya Madini, Si Sababu Kubwa! Project Ya Kucreate Life hapa Duniani Ilikuwa Ni Kubwa na kuchukua Muda Mrefu Zaidi Kuliko wangetaka Kukusanya Mawe yao! Kukusanya Madini Ilikuwa Ni Jambo Dogo Mno! Ukumbuke Kuwa Mission Duniani haikuwa kuumba Binadamu Tu! Bali kila kitu kinachosupport uhai Hii Leo! Kama Vile Miti Na NK. So Kutandaza Miti Dunia Yote Ilikuwa ni kazi kubwa Mno kuliko Kupita maeneo hayohayo wakitafuta Madini! TUPO HAPA KWA MISSION MAALUM.
NI KWELI TUNATAZAMWA.
NA MISSION HIYO NI KUISHI ILI NASI TUJE KUUMBA KAMA TULIVYOUMBWA NA WAO!
MAANA NAO WALIUMBWA NA VIUMBE VINGINE AMBAVYO VILIUMBWA NA VINGINE!
 
bionadamu ana non coding genes ambazo hazicode kwa chochote mwilini mwake na kwanini ziwepo wakati hazina kazi..?

Kucode inategemeana na mahitaji (adaptation) ya kiumbe husika, mfano rangi ya ngozi, baadhi ya tabia na hata sura
kulingana na mahali (mazingira) kiumbe kilipo au kitapoenda mahali pengine...

Kwenye maelezo yako umesema walipocompare structual formation ya gene zetu na za aliens walikuta tofauti ndogo, hii ina maana kua kulingana na mazingira waliopo aliens coding imekua influenced na mazingira waliopo. Mfano, labda imekuwepo pairing mpya kutoka kwenye hiyo non coding gene inayoshawishi modifications ya ngozi kuweza kukabiliana either na joto kali au baridi kali...

Inawezekana tukipeleka Watanzania mahali wanapoishi hao aliens na wakweza kuadapt, basi, baada ya miaka kadhaa their genetic structures will resemble...

Kupitia article hii, nashawishika kuamini kuwa....kama kweli kuna aliens, we are of the same origin, the same source...ila mazingira tu ndo yanatutenganisha..

Wanasayansi hao hao walituaminisha kuwa ancestor wetu alikuwa na mkia (evolution), sijui homo erectus, mara homo habilis etc..lakini modern man hana mkia,hana manyoya hana ngozi ngumu sasa je? hizo gene kwa ajili ya hizo traits zimekwenda wapi? au ndo uncoding?

Kulingana na theory zao tunategemea uncoding nyengine kuhusiana na appendix miaka ijayo...


Labda siku moja tutakuja kwenda mahali ambapo ili tuweze kuishi milele tunatakiwa ifanyike coding kwenye bases zote including uncoding genes.

Aliens have nothing to do with our genes, labda wametuzidi ujanja tu..na tutakuja kuwafikia tu..kwani tulikuaga hivi?...

Wabeja Sana

Satan
 
, ohoo...saf mkuu...lakini kabla hujahitimisha kuwa ipo siku tutawafikia tu,basi jaribu kudadis source ya technlolojia yako kabla hujasema utakuja kuwazidi wakati wao wanakupa maarifa juu ya mambo hayo...

Au hapo pamekaaje mkuu.??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…