, ohoo...saf mkuu...lakini kabla hujahitimisha kuwa ipo siku tutawafikia tu,basi jaribu kudadis source ya technlolojia yako kabla hujasema utakuja kuwazidi wakati wao wanakupa maarifa juu ya mambo hayo...
Au hapo pamekaaje mkuu.??
inakuwaje mkuu,dadavua vizuri...Ni kweli, lakini lakini sayansi yetu inakuwa sana na nina imani tutafika tu
Uwezo wa Binadamu wa kufikiri unaongezeka maradufu mzee![emoji2] Watu wa zamani walikuwa wameganda kimawazo! Akili za binadamu zimeanza kuamka kwa kasi miaka ya 1800s. Hebu angalia hawa watoto wakifanya mambo! Sasa hawa wana tofauti gani na Calculator!?inakuwaje mkuu,dadavua vizuri...
unahisi uwezo wako wa kufikiri umeongezeka au umepungua...??
Statistical yako ndo itakayojumuisha watu waliopo na uwezo kama unaongezeka au laaah..
Unahisi uwezo wako wa kufikiri umeongezeka...??
Unahisi maarifa anayoyapata mwanadamu nyuma yake yupo alone...??
na kama kuna mtu unahis huyo mtu atakuja kuzidiwa maarifa na mwanadamu...??
episode ya ngapi vile...??Uwezo wa Binadamu wa kufikiri unaongezeka maradufu mzee![emoji2] Watu wa zamani walikuwa wameganda kimawazo! Akili za binadamu zimeanza kuamka kwa kasi miaka ya 1800s. Hebu angalia hawa watoto wakifanya mambo! Sasa hawa wana tofauti gani na Calculator!?
Maisha ni kama nyimbo, yaani tunaimba kwa kupokezana au kama mbio za vijiti, anaanza kukimbia yule halafu anamalizia mwengine...Unahisi uwezo wako wa kufikiri umeongezeka...??
Unahisi maarifa anayoyapata mwanadamu nyuma yake yupo alone...??
Umesoma na kuelewa uzi mkuuuu,au zmeingia na kutokaGenes zulitoka wapi? Asili yake ni ni nini?
Sema waafrika badala ya binaadamuNasomaga vitabu vya David Icke aisee! Kweli mkuu si binadam tunaishi Tu hatujui hata kinachoendelea
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo symbiotic intelligence (relationship) iliyopo baina ya mwanadamu( hasa watu weupe ) na Aliens ina maana kubwa sana na inawekwa siri kubwa sana kujua how wao wanakuwa watu wa kwanza kupata maarifa muhimu...Asilimia kubwa ya maelezo yako yamejikita kwenye mambo ya kufikirika.
Ila nakuhakikishia technologia uionayo ni matokeo ya watu kufanya tafiti nyingi sana na hakuna jipya zaidi ya mengi kujikita kwenye kuboresha kile kilichokuwepo tayari...
Fikiria simu hata miaka ya 60 zilikuwepo ila matokeo ya tafiti zinakuwa zinaboreshwa, hivyo hivyo ndege, magari, n.k. na kila kimojawapo kina historia ya wazo kutoka kwa binadamu.
Sasa cha kujiuliza na wewe je allien wanashirikiana na wazungu na wachina tu maana ndo technologia hizi huanzia huko?? na kwa nini isiwe kwa waafrika
Mkuu wanasayansi wanafanya kila wawezalo kuhakikisha wanalinda kile walichotuamisha ili tusijejua kua ni fiction . Kwa mfano dunia haina kitu kinachoitwa ncha ya kaskazini wala ya kusini ni propaganda zenye lengo la kusisitiza kuwa duania ni Duara ilhali ni tambarare!! So kwa mantiki hiyo hakuna tobo lolote na kama lipo halipo kwenye ncha bali ni pango kama mapango mengine tu. Lakini wazungu wana uhusiano mkubwa na fallen Angels ambazo kwasasa ni roho chafu zizagaazo duniani, hawa fallen angel ndio wazungu hutupotosha kuwa ni viumbe toka gallax nyingine(ambayo haipo pia) ili tuchukulie poa tu.Wale walioonwa na watoto kule zimbabwe nao ni hoax,halafu,mbona kule bermuda triangle hakuingiliki,na mwisho kwa nn wamarekani wanapalinda sana pale kwenye tobo lililo ncha ya kaskazini mwq dunia,kwa nn ikikatiza ndege yoyote au kitu chochote kitakachojaribu kulisogelea lile tobo lazima wamtungue,kuna nn pale????
Hamna kitu kama hicho mkuu, hao ni fallen angels si allien! Wazungu wanapenda tu kutumia tafsida kwa kuwaita aliens bt ni demonic spirit ukizishitukia popote hizo we kemea tu zisepe!according to the hidden source kuwa tunaishi nao kenye interaction zetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Unathibitishaje kama ni fallen angels mkuuHamna kitu kama hicho mkuu, hao ni fallen angels si allien! Wazungu wanapenda tu kutumia tafsida kwa kuwaita aliens bt ni demonic spirit ukizishitukia popote hizo we kemea tu zisepe!
ukiambiwa utoa hitimisho juu ya symbiotic life form ya watu weupe na hao fallen Angels ,utazungumziaje...??Mkuu wanasayansi wanafanya kila wawezalo kuhakikisha wanalinda kile walichotuamisha ili tusijejua kua ni fiction . Kwa mfano dunia haina kitu kinachoitwa ncha ya kaskazini wala ya kusini ni propaganda zenye lengo la kusisitiza kuwa duania ni Duara ilhali ni tambarare!! So kwa mantiki hiyo hakuna tobo lolote na kama lipo halipo kwenye ncha bali ni pango kama mapango mengine tu. Lakini wazungu wana uhusiano mkubwa na fallen Angels ambazo kwasasa ni roho chafu zizagaazo duniani, hawa fallen angel ndio wazungu hutupotosha kuwa ni viumbe toka gallax nyingine(ambayo haipo pia) ili tuchukulie poa tu.
duuuu huyu kilaza katokea wapi,,,,,,Back to schoool,,,,π³π³π³π³π³π³π³π³π³Daaah kweli sayansi ni hadithi za kitoto sana.
Anyamway,.
[emoji89] alien ni msamiati wa kipropaganda na fiction za kisayansi tu! Hakuna kitu halisi cha hivyo na hamna uthibitisho zaidi ya hadithi za kisayansi.
Hakuna kitu kinaitwa sayari za mbali, huu ni uongo mwingine mbaya sana wa wanasayansi unaotuvuruga vichwa. Huko juu kuna jua linalozunguka uso wa dunia , mwezi unaozunguka uso wa dunia, na nyota zote zinazozunguka uso wa dunia,
No kitu kinaitwa planet, hii ni pure fiction!!
Kwenye mwili wa mtu hakuna kitu kilicho kila kitu kuliko vitu vingine so DNA sio kila kitu kwenye miili yetu hizi ni biological fiction pia.