Satan
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 1,482
- 2,260
, ohoo...saf mkuu...lakini kabla hujahitimisha kuwa ipo siku tutawafikia tu,basi jaribu kudadis source ya technlolojia yako kabla hujasema utakuja kuwazidi wakati wao wanakupa maarifa juu ya mambo hayo...
Au hapo pamekaaje mkuu.??
Ni kweli, lakini lakini sayansi yetu inakuwa sana na nina imani tutafika tu