Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

Nairudisha Grand Bible uwanjani Mkuu, naamini haijamisi maarifa tuyatakayo. Katika kitabu cha AYUBU 82:6 "Mimi nimesema ndinyi miungu na wana wa aliye juu..."
Kwakusema hivi binadamu yuko installed na uungu wa kimungu, so teknolojia anaipata katika uwezo huo wa ki Mungu.
Lakini kwa wale waliosi na kuungana na jeshi asi la shetani ambae nae alitoka kwa Mungu akiwa na Teknolojia ya hali ya juu, wananufaika na maarifa ya kimungu pia, pitia KITABU CHA HENOKO SURA YA 8, imefafanua dhahiri binadamu alishushiwa maarifa makubwa ya kutisha na nani.
 
Kwa maslah ya watu wachache kwa manufaa yao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]on[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haupoooo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ili niamin kuwa hao alliens wapo nilitewe.mmoja hapa niongee nae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi kuhusu shetani [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wao wameumbwa na nani ebu,biambie ww wanakutumiaje kuwapelekea madini huko kwao

Sent using Jamii Forums mobile app
kuna several thousands civilization za Viumbe katika universe...kumbuka umiverse is huge with a lot of unknown discovered civilizations..

Aliens are among civilized race occupying some specific planes with specific range of galaxy...

kuna baadhi ya galaxy kuna aina yake ya viumbe....

unaposema Aliens kuoccupy the whole universe sio kweli...

Wapo katika level tofaut depending na galaxy waliopo...inawezekana kabsaa hao Aliens waliopo kwetu ni kwa sabubu wapo ndani ya Milky way galaxy tu ila ukienda galaxy zingine utakuta aina nyingine ya viumbe wenye rank flan ya knowlege

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umeshapeleka madin kiasi gani mkuu tungekuwa misukule tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hey niletee huyo allien mmoja jaamaa angu tutaenda sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bongoland nahisi ni kambi ya jeshi MZINGA[emoji41] [emoji41] [emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…