we need some proof on that...
tatizo ni hayo mapokeo tunayopewa na watu...open up your mind kuhus uwepo wa mungu...
dont afraid kuuliza uwepo wa mungu kwenye kichwa chako..
dont limit ever your mind to find more proof in that...
utakuwa mtumwa wa jambo lisiloonekana...
the proof ya kusema kuwa mungu yupo ni kwa sababu umezungumzwa na biblia ambayo aliyekuletea yeye kashaiacha miaka mingi...
Una habari kuwa tumebaki tu huku Africa tunaoamini juu ya bible..??
una habari ulaya habari za bible hazipo tena..?
unajua ulaya makanisa hayaoperate kivile..??
una habati ulaya wanaosali ni wachache sana..
Nitakupa mfano hai..
nenda ujeruman kuanzia Western part ,earst mpaka sehemu zingine,no churches,there are few churches na kuwa muumini wa dini yoyote Ujerumani ni gharama kubwa sana..
most makanisa ulaya waumini wake ni members from secret societies ,kwanini ???
waaulize wazungu kwanini kuwa muumini ni gharama kubwa...they will tell you kwanini wanadeviate from bible teachings...
Halfu kitu kingine naomba nikwambie kitu..kati ya mtu mweupe na wew nani kawahi kuwa civilized??
whites or you?
sio kwamba nawakubali waznungu,hapana nataka upate picha halisi..
huwezi ukakurupuka tu ukasema wazungu wameacha mafundisho ya bible ni wajinga??
sio kweli..kama wao walidesign bible wakakuletea ukapata kuamini through those writtings huoni kuwa wameshamove stage nyingine..??
If so,kati ya mtu mweusi na ngozi nyeupe ni yupi ambaye anaishi maisha mazuri in relation na life inavoenda..??
think more on that..
huwezi ukawaona wapumbavu wakti wanakuongoza kwa kila kitu...
Aliyekuzidi kakutangulia pia..
think more on that...
dont be stiff naked to know the reality how the truth dances with the original tunes...
Mkuu naomba kuuliza vipi na wale wanaoamini Qur'an na wao pia ni vile vile kama wanao iamini bible?
Na je mataifa yao ya kiislamu yame ignore dini yao na kufanya kama izo nchi zilizoleta Bible?
Sent using
Jamii Forums mobile app