Propaganda za kukuza uwezo wa Rwanda kijeshi zinahatarisha usalama wa nchi yetu hapo baadaye

Propaganda za kukuza uwezo wa Rwanda kijeshi zinahatarisha usalama wa nchi yetu hapo baadaye

A very poor hypothesis, as the matter of fact it's rubbish.
Theories zako ni za kitoto mno, jeshi imara linajengwa kuanzia kwenye recruiting(si hawa wetu wanaoingia kwa vimemo, siku hizi hata TISS mpaka uwe UVCCM) na training.
Back in the day things were different.
As long as things on the ground zinatuonyesha kuwa jeshi la PK liko vizuri haiwezekani watu wasiseme, kukwepa kusema yale yanayooneka ni hypocrisy na haiwezi kusaidia kulijenga jeshi letu. Jeshi halijengwi kwa kupigiwa upatu mitandaoni au wanajeshi hawawezi kujengea kwa sababu tu wanasifiwa mitandaoni, wapate mafunzo na wajengwe nidhamu ambayo pia iwaimarishe mental strength ila recruitment iwe ya maana.
Ni kihoja kusema comments za mitandaoni zitaathiri uwezo wa jeshi hata kama lipo vizuri kiuhalisia on the ground.
Hili la watu kuingizwa kwa vimemo na kadi za CCM ni real nimeshuhudia.
CCM inaharibu kila kitu
 
Upuuzi tu siwezi kupambana CCM ikiwa madarakani nitakuwa nimekufa kifo cha kipumbavu.

Na nakuhakikishia siku Tanzania ikiingia vitani itapigwa vibaya mno huwezi shinda vita ambayo serikali na wananchi sio kitu kimoja na ndicho kilichopo Tanzania.

Serikali iache kutengeneza classes hizo za kipuuzi, watakapo anzisha vita watapigana wao na wajomba zao hii ni 2025 sio 1978
Ukweli mchungu. Wakithubutu kwenda vitani hakika watachapika mno maana kwa sasa hakuna Mwananchi wa kujitoa kama ilivyokuwa kwenye vita vya Kagera.
 
Thubutu, watapigwa drones za kutosha hadi wapoteane.
Akili ya kawaida tu inatosha kukuwezesha kujua kuwa hata kama Rwanda wana drones, ni chache.
Kikubwa ni kwamba yaweza kusaidiwa na mabeberu kwa siri ikiwa ni hub ya kutorosha utajiri wa DRC.
 
Wewe ni wale aina ya watu wanajifanya wajuaji wa kila kitu hukubali kujifunza kutoka kwa wengine unajifanya much know sana🚮sipendi mtu mjuaji
Mkuu uliwahi kushika Binacular ya aina yoyote?
Mimi ninayo Moja ambayo matumizi yake inategemea unataka kuangalia wapi na kuna sehemu mbili za adjustments, Moja ya umbali au ukaribu, ya pili ukiigeuza unaweza kubadili lenzi za Binacular kwa kuadjust tuu. Yaani mbele kukawa nyuma nyuma kukawa mbele.

Hakuna anayemuonea Wivu Kagame Wala Warwanda Mkuu.

Wewe upo na Mkeo alafu kutwa Mkeo anamsifu Taikon Master huku akikudharau wewe unayemlinda. Hiyo kwako inamaanisha kitu gani?
 
Akili ya kawaida tu inatosha kukuwezesha kujua kuwa hata kama Rwanda wana drones, ni chache.
Kikubwa ni kwamba yaweza kusaidiwa na mabeberu kwa siri ikiwa ni hub ya kutorosha utajiri wa DRC.
Uimara wa jeshi ni katika matumizi ya teknolojia, na sio wingi wa watu.
 
Waendelee kuufyata tu, wakithubutu tutaaibika asubuhi kabisa. Kwa sasa Rwanda ametuzidi kwenye teknolojia, huo ndio ukweli mchungu.
Nenda shule ukadai ada yako,
hata mtoto mdogo anajua Rwanda ikigusa tz siku haitaisha kitakuwa kijiji kimojawapo cha vijiji vya tz na wao wenyewe wanajua

Silaha zao zinapita bandarini Africa mashariki wahusika wanaziona wanazijua , silaha za bongo unazijua wewe? Acha kusifia ujinga, yaani kijiji kishinde nchi ya watu 60m?
Punguza ujinga
 
Uwezo wa nchi unapimwa kwa mambo ya msingi.

Nchi ambayo bado inapewa misaada ya matundu ya vyoo na ambayo inapoteza watoto wadogo wenye damu ya kisiasa inayochemka kama akina Soka nakuhakikishia, nchi hiyo ni failure ktk anga zote.

Akili isiyoweza kusolve matatizo ya msingi kama vile maji, matundu ya vyoo, madawati usitegemee inaweza kuwa nzuri kwenye mambo complex kama ya ulinzi ktk geopolitics.
Nikajua ni missile wa kule kwenye pilau 😂😂
 
PROPAGANDA ZA KUKUZA UWEZO WA RWANDA KIJESHI ZINAHATARISHA USALAMA WA NCHI YETU HAPO BAADAYE.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Kuna tabia ambayo imekomaa miongoni mwa watu ya kuisifia, kuitukuza, kuipamba, kuipa uwezo hata usiofaa nchi ya Rwanda katika sekta mbalimbali. Na Leo nitajikita kwenye sekta ya Ulinzi na usalama na hapa tunazungumzia Jeshi na Mbinu za kimedani.

Kwa Sisi Watibeli, Jeshi sio kuwa na watu wengi.
Jeshi sio kuwa na vifaa vya kisasa na vya kiteknolojia.
Jeshi sio ukubwa wa Miili au maumbile.
Jeshi sio kuwa na uchumi Mkubwa.

Jeshi ni zaidi ya hayo. Hayo ni Mambo madogo Sana Jeshini na yanatokea Nje ya Mwanajeshi.
Uanajeshi ni lazima uanzie ndani ya mwanajeshi mwenyewe.

Jeshi ni Mtazamo
Jeshi ni Imani
Jeshi ni Nidhamu
Jeshi ni Moyo wa Ujasiri
Hayo yote yapo ndani ya mwanajeshi. Mwanajeshi ili awe Mwanajeshi lazima awe na hayo Kwanza ndipo mafunzo, silaha, Mbinu n.k. ndio apewe.

Kwa namna hiyo Basi, utagundua lengo kubwa la Propaganda ni kuangusha ujasiri, Imani, mtazamo wa Mwanajeshi husika au jeshi husika katika upambanaji.

Kwa Sisi Wasomi wa Bibilia, Moja ya mambo makubwa ambayo yanajitokeza tokeza katika visa vya Biblia ni Propaganda ya kuwapa Waisrael Ujasiri, Imani, na mtazamo Chanya kuwa wao ni Bora kuliko watu wote Duniani.
Kisha ndipo Sheria za Torati zinawekwa ili kuwafanya wawe na Nidhamu.

Zipo Makumi ya aya zinazoeleza kuwa Muisrael Mmoja atakimbiza watu Mia WA mataifa mengine. Hiyo ni propaganda

Kuna kisa kingine ambacho Musa aliagiza Wapelelezi Kumi na mbili Kwenda kuipeleleza Nchi ya Kanaani. Wapelelezi wale Kumi na mbili waliporudisha ripoti. Wapelelezi Kumi wakatoa ripoti Yao kuelezea Jinsi nchi Ile ilivyo na watu wake walivyo Wakubwa na wenye nguvu na hodari. Kwa jinsi walivyokuwa wanaoelezea ni Kwa namna ya kuwakatisha tamaa na kuwatisha waisrael Jambo ambalo ni Kweli Waisrael waliingiwa na Hofu.

Lakini kwa Bahati, wapelelezi Wawili ambao ni Joshua na Kalebu wao wakatoa ripoti Yao inayokinzana na ripoti ya wale wapelelezi kumi. Wao wakasema in a positive ways.
Kusifia nchi wanayoiendea(Lengo Lao), kusifia Jeshi lao na Waisrael kwa ujumla, na mwisho kueleza sifa za maumbile ya adui Zao in a negative ways.
Wakasema, ni kweli wale watu ni Wakubwa Sana, wanamiili Mikubwa Mno na nguvu za Kimwili, lakini mioyoni mwao wanahofu juu yetu. Mambo makubwa tuliyoyafanya kuanzia kwa Farao, bahari ya shamu na kupiga mataifa yote tuliyokutana nayo imewanyong'onyesha Sana.
Hivyo waisrael na Jeshi la Israel Halina Sababu ya kuogopa watu hao kwani ni ukubwa wa Pua tuu ambao haulingani na wingi wa makamasi.

Ari, ujasiri, imani kwa Waisrael na Jeshi lao ikarejea lakini Musa kama kiongozi wa kijeshi na mwenye hiyo Movement akatoa maamuzi wale wapelelezi kumi wauawe ili wasije waletea Hofu na kuambukiza Hofu hiyo watu wengine.

Muhtasari huo tunajifunza mambo mengi lakini kubwa zaidi linaloendana na Mada hii ni nguvu ya propaganda na maneno katika Ulinzi na usalama na wanajeshi wetu.

Jeshi imara linatokana na wananchi imara.

Hawa watu wanaendesha propaganda za kuishusha nchi yetu na kuidunisha hasa kijeshi(kiulinzi na KIUSALAMA), sio tuu wanatukosea Bali wanahatarisha usalama wa nchi kwa wakati ujao.

Kama ikiendelea hivi itajengeka dhana kwenye jamii yetu kuwa Warwanda ni watu hodari kuliko Sisi. Sisi ni Duni mbele ya Warwanda Jambo ambalo ni Uongo lakini likiendelea litafanya mitazamo ya Watanzania kuligeuza Jambo hilo ni KWELI.

Hawahawa wananchi ndio baadaye watajiunga na Jeshi. Yaani watu wenye kujiona Duni na hofu dhidi ya Warwanda ndio watakuwa wanajeshi hata ikitokea vita watakuwa waoga na kushindwa mbele za adui Zao Warwanda.

Nini chakufanya?

1. Kitengo cha Propaganda hasa za kijeshi kisilale. Kijiimarishe na kuweka mipango na mikakati kufanya Watanzania waliamini Jeshi Lao.
Kwa sababu Jeshi likianza kutiliwa Mashaka hata ufanisi wake utapungua.
Kwa USA na mataifa mengine tunaona wo vitengo vya propaganda viko kila idea, huko Hollywood kwenye Filamu, kwenye Masuala ya kisayansi, na mambo ya Waandishi wa riwaya na tamthilia.
Kwamba ati Mwanajeshi Mmoja wa kimarekani anaweza kushughulikia maadui Mia moja wa mataifa mengine

2. Kutokana na baadhi ya watu kutokuwa na Akili au kuwa na chuki na nchi. Iundwe Sheria za kuzuia watu kuzungumzia mambo ya kijeshi na kiusalama kwa namna ya kudhalilisha, kumshusha heshima ya jeshi, kukejeli, kushusha morali au kudunisha.
Hii itaepusha na kuzuia wale wapiga propaganda zenye maudhui ya kudunisha Jeshi la nchi.

3. Watu wapewe uwezo wa kutoa maoni Yao lakini yawe maoni ya kujenga sio yenye lengo la kutukuza taifa jingine kuliko taifa kwa namna ya kukejeli taifa letu.

4. Mafunzo ya JKT yaendelee kutolewa kwa wanaomaliza kidato cha sita na kwa wale Wa kidato cha nne ambao wataendelea na vyuo vya Kati.

Ninawahakikishia, Maneno haya yakiendelea hivihivi watu na jamii itayaamini. Na matokeo ya kuyaamini Maneno ya aina hii hayatakuwa mazuri.

Lazima Sisi kama taifa tujitambulishe sio tuu kwa upendo wetu, umoja wetu Bali pia tujitambulishe kama watu wenye AKILI kubwa, na watu wenye kufanya mambo magumu.

Nawatakia maandalizi Mema ya Sabato

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
Rwanda management team studied and wamekulia US,he was trained by them,usitegemee hata chembe na wale vijana wanaofanya kazi nje ya nchi ya US,pia akitaka msaada kuna subcontractors wengi sana wakijeshi US hawana kazi isifikirie hawezi wapata,hata yeye jeshi lake lipo imara sana.
Kule kila mitaa kuna polisi plus checkpoint and hua anatembea kufanya doria usku wa manane.
Usiongee Kwa kukaa chumbani kwako tembea uone wenzetu wanavyoishi then njoo uongee.
Plus jamaa he is very very smart kichwani
 
Rwanda management team studied and wamekulia US,he was trained by them,usitegemee hata chembe na wale vijana wanaofanya kazi nje ya nchi ya US,pia akitaka msaada kuna subcontractors wengi sana wakijeshi US hawana kazi isifikirie hawezi wapata,hata yeye jeshi lake lipo imara sana.
Kule kila mitaa kuna polisi plus checkpoint and hua anatembea kufanya doria usku wa manane.
Usiongee Kwa kukaa chumbani kwako tembea uone wenzetu wanavyoishi then njoo uongee.
Plus jamaa he is very very smart kichwani

Acha vituko Mkuu
 
Uimara wa jeshi ni katika matumizi ya teknolojia, na sio wingi wa watu.
Wingi wa watu, teknolojia na idadi ya vifaa inahusika sana. Hapo M23 wameiteka Goma kwa uwepo wao (idadi).
 
Kushinda vita vya kijeshi kunahitaji mchanganyiko wa mambo mengi, na hakuna formula moja rahisi. Hapa kuna baadhi ya mambo muhimu ambayo yanaweza kuchangia ushindi:

## 1. Nguvu ya Kijeshi

  • Wanajeshi: Kuwa na jeshi kubwa lenye askari wengi wenye mafunzo mazuri na vifaa vya kisasa.
  • Vifaa vya Kijeshi: Kumiliki silaha za kisasa, kama vile ndege za kivita, meli za kivita, magari ya kivita, na mifumo ya ulinzi.
  • Teknolojia: Kuwa na teknolojia ya kijeshi ya hali ya juu, kama vile mifumo ya ujasusi, mawasiliano, na silaha za kisasa.

## 2. Mkakati na Uongozi

  • Mkakati: Kuwa na mkakati mzuri wa kijeshi ambao unaeleza jinsi ya kufikia malengo ya vita.
  • Uongozi: Kuwa na viongozi wenye uwezo na uzoefu ambao wanaweza kuongoza jeshi kwa ufanisi.

## 3. Uchumi

  • Rasilimali: Kuwa na rasilimali za kutosha kugharimia vita, kama vile fedha, chakula, mafuta, na vifaa vingine.
  • Uzalishaji: Kuwa na uwezo wa kuzalisha silaha na vifaa vingine vya kijeshi.

## 4. Morali

  • Morali ya Wanajeshi: Wanajeshi kuwa na morali ya juu na imani katika ushindi.
  • Umoja wa Kitaifa: Wananchi kuwa na umoja na kuunga mkono vita.

## 5. Diplomasia

  • Washirika: Kuwa na washirika wa kimataifa ambao wanaweza kusaidia katika vita.
  • Mazungumzo: Kuwa tayari kufanya mazungumzo ya amani ili kumaliza vita.

## 6. Mambo Mengine

  • Hali ya Hewa: Hali ya hewa inaweza kuwa na jukumu katika vita.
  • Jiografia: Jiografia ya eneo la vita inaweza kuwa na jukumu.
  • Bahati: Wakati mwingine, bahati inaweza kuwa na jukumu katika vita.

Ni muhimu kuzingatia kwamba vita ni jambo ngumu na lisilotabirika. Hata kama una mambo yote hapo juu, bado kunaweza kuwa na sababu ambazo zinaweza kusababisha kushindwa.

## Mwisho

Kushinda vita kunahitaji mchanganyiko wa mambo mengi, na hakuna uhakika wa ushindi. Ni muhimu kuzingatia kwamba vita vina madhara makubwa na vinapaswa kuepukwa kwa gharama zote.


Gemini AI

PROPAGANDA ZA KUKUZA UWEZO WA RWANDA KIJESHI ZINAHATARISHA USALAMA WA NCHI YETU HAPO BAADAYE.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Kuna tabia ambayo imekomaa miongoni mwa watu ya kuisifia, kuitukuza, kuipamba, kuipa uwezo hata usiofaa nchi ya Rwanda katika sekta mbalimbali. Na Leo nitajikita kwenye sekta ya Ulinzi na usalama na hapa tunazungumzia Jeshi na Mbinu za kimedani.

Kwa Sisi Watibeli, Jeshi sio kuwa na watu wengi.
Jeshi sio kuwa na vifaa vya kisasa na vya kiteknolojia.
Jeshi sio ukubwa wa Miili au maumbile.
Jeshi sio kuwa na uchumi Mkubwa.

Jeshi ni zaidi ya hayo. Hayo ni Mambo madogo Sana Jeshini na yanatokea Nje ya Mwanajeshi.
Uanajeshi ni lazima uanzie ndani ya mwanajeshi mwenyewe.

Jeshi ni Mtazamo
Jeshi ni Imani
Jeshi ni Nidhamu
Jeshi ni Moyo wa Ujasiri
Hayo yote yapo ndani ya mwanajeshi. Mwanajeshi ili awe Mwanajeshi lazima awe na hayo Kwanza ndipo mafunzo, silaha, Mbinu n.k. ndio apewe.

Kwa namna hiyo Basi, utagundua lengo kubwa la Propaganda ni kuangusha ujasiri, Imani, mtazamo wa Mwanajeshi husika au jeshi husika katika upambanaji.

Kwa Sisi Wasomi wa Bibilia, Moja ya mambo makubwa ambayo yanajitokeza tokeza katika visa vya Biblia ni Propaganda ya kuwapa Waisrael Ujasiri, Imani, na mtazamo Chanya kuwa wao ni Bora kuliko watu wote Duniani.
Kisha ndipo Sheria za Torati zinawekwa ili kuwafanya wawe na Nidhamu.

Zipo Makumi ya aya zinazoeleza kuwa Muisrael Mmoja atakimbiza watu Mia WA mataifa mengine. Hiyo ni propaganda

Kuna kisa kingine ambacho Musa aliagiza Wapelelezi Kumi na mbili Kwenda kuipeleleza Nchi ya Kanaani. Wapelelezi wale Kumi na mbili waliporudisha ripoti. Wapelelezi Kumi wakatoa ripoti Yao kuelezea Jinsi nchi Ile ilivyo na watu wake walivyo Wakubwa na wenye nguvu na hodari. Kwa jinsi walivyokuwa wanaoelezea ni Kwa namna ya kuwakatisha tamaa na kuwatisha waisrael Jambo ambalo ni Kweli Waisrael waliingiwa na Hofu.

Lakini kwa Bahati, wapelelezi Wawili ambao ni Joshua na Kalebu wao wakatoa ripoti Yao inayokinzana na ripoti ya wale wapelelezi kumi. Wao wakasema in a positive ways.
Kusifia nchi wanayoiendea(Lengo Lao), kusifia Jeshi lao na Waisrael kwa ujumla, na mwisho kueleza sifa za maumbile ya adui Zao in a negative ways.
Wakasema, ni kweli wale watu ni Wakubwa Sana, wanamiili Mikubwa Mno na nguvu za Kimwili, lakini mioyoni mwao wanahofu juu yetu. Mambo makubwa tuliyoyafanya kuanzia kwa Farao, bahari ya shamu na kupiga mataifa yote tuliyokutana nayo imewanyong'onyesha Sana.
Hivyo waisrael na Jeshi la Israel Halina Sababu ya kuogopa watu hao kwani ni ukubwa wa Pua tuu ambao haulingani na wingi wa makamasi.

Ari, ujasiri, imani kwa Waisrael na Jeshi lao ikarejea lakini Musa kama kiongozi wa kijeshi na mwenye hiyo Movement akatoa maamuzi wale wapelelezi kumi wauawe ili wasije waletea Hofu na kuambukiza Hofu hiyo watu wengine.

Muhtasari huo tunajifunza mambo mengi lakini kubwa zaidi linaloendana na Mada hii ni nguvu ya propaganda na maneno katika Ulinzi na usalama na wanajeshi wetu.

Jeshi imara linatokana na wananchi imara.

Hawa watu wanaendesha propaganda za kuishusha nchi yetu na kuidunisha hasa kijeshi(kiulinzi na KIUSALAMA), sio tuu wanatukosea Bali wanahatarisha usalama wa nchi kwa wakati ujao.

Kama ikiendelea hivi itajengeka dhana kwenye jamii yetu kuwa Warwanda ni watu hodari kuliko Sisi. Sisi ni Duni mbele ya Warwanda Jambo ambalo ni Uongo lakini likiendelea litafanya mitazamo ya Watanzania kuligeuza Jambo hilo ni KWELI.

Hawahawa wananchi ndio baadaye watajiunga na Jeshi. Yaani watu wenye kujiona Duni na hofu dhidi ya Warwanda ndio watakuwa wanajeshi hata ikitokea vita watakuwa waoga na kushindwa mbele za adui Zao Warwanda.

Nini chakufanya?

1. Kitengo cha Propaganda hasa za kijeshi kisilale. Kijiimarishe na kuweka mipango na mikakati kufanya Watanzania waliamini Jeshi Lao.
Kwa sababu Jeshi likianza kutiliwa Mashaka hata ufanisi wake utapungua.
Kwa USA na mataifa mengine tunaona wo vitengo vya propaganda viko kila idea, huko Hollywood kwenye Filamu, kwenye Masuala ya kisayansi, na mambo ya Waandishi wa riwaya na tamthilia.
Kwamba ati Mwanajeshi Mmoja wa kimarekani anaweza kushughulikia maadui Mia moja wa mataifa mengine

2. Kutokana na baadhi ya watu kutokuwa na Akili au kuwa na chuki na nchi. Iundwe Sheria za kuzuia watu kuzungumzia mambo ya kijeshi na kiusalama kwa namna ya kudhalilisha, kumshusha heshima ya jeshi, kukejeli, kushusha morali au kudunisha.
Hii itaepusha na kuzuia wale wapiga propaganda zenye maudhui ya kudunisha Jeshi la nchi.

3. Watu wapewe uwezo wa kutoa maoni Yao lakini yawe maoni ya kujenga sio yenye lengo la kutukuza taifa jingine kuliko taifa kwa namna ya kukejeli taifa letu.

4. Mafunzo ya JKT yaendelee kutolewa kwa wanaomaliza kidato cha sita na kwa wale Wa kidato cha nne ambao wataendelea na vyuo vya Kati.

Ninawahakikishia, Maneno haya yakiendelea hivihivi watu na jamii itayaamini. Na matokeo ya kuyaamini Maneno ya aina hii hayatakuwa mazuri.

Lazima Sisi kama taifa tujitambulishe sio tuu kwa upendo wetu, umoja wetu Bali pia tujitambulishe kama watu wenye AKILI kubwa, na watu wenye kufanya mambo magumu.

Nawatakia maandalizi Mema ya Sabato

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
Waziri wa ulinzi mmama anaweza kweli kuamsha morali kwa wapiganaji wetu au atabaki kuumwa tumbo la uzazi akisikia drone za adui zinatatema cheche🤣
 
Rwanda haina chochote cha kweli.

Msumbiji kaenda kulinda makampuni ya Mfaransa na Ufaransa ndiyo imetoa hiyo tenda kwa Rwanda.

Congo anapigana na wanamgambo, Congo haina jeshi.

Vikosi ya Malawi, Afrika ya Kusini na Tanzania vimeenda kule kwa mission ya amani na wala si ya vita. Aliyekuwepo kwenye vita ni Rwanda.

Hata hivyo vikosi vya Sadc vinaingozwa na South Africa ambao nao wanapokea maelekezo kutoka UN na mfano wake ni juzi waliambiwa wasiendelee na mapambano.

Rwanda ni mwepesi hana nguvu ya namna yoyote. Nguvu pekee aliyokuwa nayo ni ya propaganda anayotumia kuwajaza watu hofu na kuwajaza wa-Rwanda ujinga kuwa nchi yao ni kubwa na ina uwezo wa kukabiliana na taifa lolote hapa Afrika. Huu ni ujinga! Na hii ni dunia, ni vizuri ukaifahamu nafasi yako.

Jwtz lipo Mtwara! Limefanya kazi kubwa sana kuleta amani na kuwafukuza magaidi wa Msumbiji.

Pauline wakazi wa Mtwara hali ya usalama awali ilikuwaje na sasa ipoje! Magaidi walikuwa wanataka kumege Mtwara na kisha kuelekea Lindi.

Nyinyi wa mikoa mengine huko isiyokuwa na kambi au hampo mipakani hamjui mambo yanayoendelea huko! Hivyo mnaandika chochote matakachojisikia.

Waulize wakazi wa Mtwara au lipia nauli nenda kajionee mwenyewe!
Acha propaganda za uvccm hizo.
 
Hakuna kitu kama hicho Mkuu.
Ingawaje Wachache wanaweza kuwapo lakini sio katika level ya chini hivyo.

Mtu aajiriwe kuchunga Ng'ombe au kulima vibarua kwa Watu binafsi atafanya upelelezi kwa minajili ipo. Kwa taarifa zipi hapo MKUU.

Moja ya viashiria vinavyoonyesha Rwanda bado Sana unaweza kutazama uhamiaji. Huwezi kukita Mtanzania anaenda Kutafuta maisha Rwanda lakini ni Jambo la kawaida kwa Rwanda kuja Tanzania.
Hizo sio sababu, angalia waisrael wanavyohamia kwenye nchi za watu lakini likija swala la vita hawakamatiki kiurahisi.
 
Back
Top Bottom