Propaganda za kukuza uwezo wa Rwanda kijeshi zinahatarisha usalama wa nchi yetu hapo baadaye

Propaganda za kukuza uwezo wa Rwanda kijeshi zinahatarisha usalama wa nchi yetu hapo baadaye

Hii ndiyo changamoto nyingine wapinzani Africa bado tunayo; tunadhani kazi ya serikali ni kufanya kila kitu kwa ajili ya wananchi huku wananchi wamelala.

This is why nchi nyingi upinzani ukichukua nchi, baada yq muda fulani mambo huwa worse na baadaye huondolewa madarakani; why? Kwa sababu wapinzani huoverpromise ama huchukilia mambo poa, running a country is never easy (Muulize Ruto, Mnangagwa, Chakwera, na wengine)

Wenzetu walifanikiwa kuwaambia wananchi ukweli; mfano JF Kennedy qliwaambia “Kabla hujajiuliza serikali imekufanyia nini, jiulize wewe umeifanyia nini serikali”. Unategema serikali inipe ajira???? No way ni kazi yangu kupambana kuishi.

Suala la ukosefu wa ajira siyo la wapinzani peke yake, hata wanaCCM wanaumia.
 
Kwa akiri yako unataka twende front na Rwanda,unauzoefu wowote wa kivita
 
A very poor hypothesis, as the matter of fact it's rubbish.
Theories zako ni za kitoto mno, jeshi imara linajengwa kuanzia kwenye recruiting(si hawa wetu wanaoingia kwa vimemo, siku hizi hata TISS mpaka uwe UVCCM) na training.
Back in the day things were different.
As long as things on the ground zinatuonyesha kuwa jeshi la PK liko vizuri haiwezekani watu wasiseme, kukwepa kusema yale yanayooneka ni hypocrisy na haiwezi kusaidia kulijenga jeshi letu. Jeshi halijengwi kwa kupigiwa upatu mitandaoni au wanajeshi hawawezi kujengea kwa sababu tu wanasifiwa mitandaoni, wapate mafunzo na wajengwe nidhamu ambayo pia iwaimarishe mental strength ila recruitment iwe ya maana.
Ni kihoja kusema comments za mitandaoni zitaathiri uwezo wa jeshi hata kama lipo vizuri kiuhalisia on the ground.
Umeandika utumbo kwa kiingereza cha kuunga unga uonekane msomi. Hadi sasa unatembea pasipo vitanya wenyewenkwa wenyewe wala ukanda na unadhani ni bahati wala hakuna jitihada inafanyika.
umeiona hiyo ni nadharia dhaifu ukijiacha matako wazi wewe mwenyewe. inshort hizo propaganda danganyeni nyie huko lkn anaejua hawezi kuthubutu kuonja sumu kwa kuilamba.
Kama Pk hana intel ataziamini halafu akanyage moto kwa miguu yake lkn najua ana akili nyingi hawezi kujaribu
 
Mkuu uliwahi kushika Binacular ya aina yoyote?
Mimi ninayo Moja ambayo matumizi yake inategemea unataka kuangalia wapi na kuna sehemu mbili za adjustments, Moja ya umbali au ukaribu, ya pili ukiigeuza unaweza kubadili lenzi za Binacular kwa kuadjust tuu. Yaani mbele kukawa nyuma nyuma kukawa mbele.

Hakuna anayemuonea Wivu Kagame Wala Warwanda Mkuu.

Wewe upo na Mkeo alafu kutwa Mkeo anamsifu Taikon Master huku akikudharau wewe unayemlinda. Hiyo kwako inamaanisha kitu gani?
Unamjibu mjinga au mnyarwanda au mamuluki ndani ya nchi
 
ila Rais Kagane msimchukulie wa kawaida!

Uwezi fahamu yuko na mataifa gani yenye nguvu kijeshi na kiuchumi.
Hata awe na mataifa ya dunia nzima hana cha kuifanya bongo, akijichanganya tutaigeuza nchi yake kuwa mkoa, kwani we unafahamu bongo iko na mataifa gani? Tupunguze kusifia kile kijiji
 
Kwani hujaiona video ya PK akimwambia JK I will hit you?. JK akaja kubutubia taifa huku anatetemeka, kinyongenyonge?
Kila mtu anafahamu kilichotokea baada ya PK kutoa hiyo kauli. Na wewe pia unafahamu vyema.

Na si busara kujadili kitu ambacho wewe mwenyewe ukweli wake unaujua.
 
Congo kubwa mara tatu kuliko Rwanda ila inachapwa na Rwanda.

Wingi wa pua si ukubwa wa makamasi.
Panya road husumbua mitaa ya jiji kwa sababu tu raia wana akili tegemezi ya kusaidiwa na vyombo vya dola mara zote.
Vivyo hivyo wakongo husubiri misaada ya nje na mamluki.
Rwanda ni nchi ambayo inaweza kuangushwa ndani ya masaa kwa sababu ya udogo wa eneo na idadi ya watu.
Pili ni land locked, ikizingirwa na kudhibitiwa aridhini na angani, kutokea Drc, Tanzania na Uganda, kazi imekwisha.
 
Panya road husumbua mitaa ya jiji kwa sababu tu raia wana akili tegemezi ya kusaidiwa na vyombo vya dola mara zote.
Vivyo hivyo wakongo husubiri misaada ya nje na mamluki.
Rwanda ni nchi ambayo inaweza kuangushwa ndani ya masaa kwa sababu ya udogo wa eneo na idadi ya watu.
Pili ni land locked, ikizingirwa na kudhibitiwa aridhini na angani, kutokea Drc, Tanzania na Uganda, kazi imekwisha.
Uingereza kalikuwa ni kakisiwa kadogo tu lakini kametawala dunia.
 
PROPAGANDA ZA KUKUZA UWEZO WA RWANDA KIJESHI ZINAHATARISHA USALAMA WA NCHI YETU HAPO BAADAYE.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Kuna tabia ambayo imekomaa miongoni mwa watu ya kuisifia, kuitukuza, kuipamba, kuipa uwezo hata usiofaa nchi ya Rwanda katika sekta mbalimbali. Na Leo nitajikita kwenye sekta ya Ulinzi na usalama na hapa tunazungumzia Jeshi na Mbinu za kimedani.

Kwa Sisi Watibeli, Jeshi sio kuwa na watu wengi.
Jeshi sio kuwa na vifaa vya kisasa na vya kiteknolojia.
Jeshi sio ukubwa wa Miili au maumbile.
Jeshi sio kuwa na uchumi Mkubwa.

Jeshi ni zaidi ya hayo. Hayo ni Mambo madogo Sana Jeshini na yanatokea Nje ya Mwanajeshi.
Uanajeshi ni lazima uanzie ndani ya mwanajeshi mwenyewe.

Jeshi ni Mtazamo
Jeshi ni Imani
Jeshi ni Nidhamu
Jeshi ni Moyo wa Ujasiri
Hayo yote yapo ndani ya mwanajeshi. Mwanajeshi ili awe Mwanajeshi lazima awe na hayo Kwanza ndipo mafunzo, silaha, Mbinu n.k. ndio apewe.

Kwa namna hiyo Basi, utagundua lengo kubwa la Propaganda ni kuangusha ujasiri, Imani, mtazamo wa Mwanajeshi husika au jeshi husika katika upambanaji.

Kwa Sisi Wasomi wa Bibilia, Moja ya mambo makubwa ambayo yanajitokeza tokeza katika visa vya Biblia ni Propaganda ya kuwapa Waisrael Ujasiri, Imani, na mtazamo Chanya kuwa wao ni Bora kuliko watu wote Duniani.
Kisha ndipo Sheria za Torati zinawekwa ili kuwafanya wawe na Nidhamu.

Zipo Makumi ya aya zinazoeleza kuwa Muisrael Mmoja atakimbiza watu Mia WA mataifa mengine. Hiyo ni propaganda

Kuna kisa kingine ambacho Musa aliagiza Wapelelezi Kumi na mbili Kwenda kuipeleleza Nchi ya Kanaani. Wapelelezi wale Kumi na mbili waliporudisha ripoti. Wapelelezi Kumi wakatoa ripoti Yao kuelezea Jinsi nchi Ile ilivyo na watu wake walivyo Wakubwa na wenye nguvu na hodari. Kwa jinsi walivyokuwa wanaoelezea ni Kwa namna ya kuwakatisha tamaa na kuwatisha waisrael Jambo ambalo ni Kweli Waisrael waliingiwa na Hofu.

Lakini kwa Bahati, wapelelezi Wawili ambao ni Joshua na Kalebu wao wakatoa ripoti Yao inayokinzana na ripoti ya wale wapelelezi kumi. Wao wakasema in a positive ways.
Kusifia nchi wanayoiendea(Lengo Lao), kusifia Jeshi lao na Waisrael kwa ujumla, na mwisho kueleza sifa za maumbile ya adui Zao in a negative ways.
Wakasema, ni kweli wale watu ni Wakubwa Sana, wanamiili Mikubwa Mno na nguvu za Kimwili, lakini mioyoni mwao wanahofu juu yetu. Mambo makubwa tuliyoyafanya kuanzia kwa Farao, bahari ya shamu na kupiga mataifa yote tuliyokutana nayo imewanyong'onyesha Sana.
Hivyo waisrael na Jeshi la Israel Halina Sababu ya kuogopa watu hao kwani ni ukubwa wa Pua tuu ambao haulingani na wingi wa makamasi.

Ari, ujasiri, imani kwa Waisrael na Jeshi lao ikarejea lakini Musa kama kiongozi wa kijeshi na mwenye hiyo Movement akatoa maamuzi wale wapelelezi kumi wauawe ili wasije waletea Hofu na kuambukiza Hofu hiyo watu wengine.

Muhtasari huo tunajifunza mambo mengi lakini kubwa zaidi linaloendana na Mada hii ni nguvu ya propaganda na maneno katika Ulinzi na usalama na wanajeshi wetu.

Jeshi imara linatokana na wananchi imara.

Hawa watu wanaendesha propaganda za kuishusha nchi yetu na kuidunisha hasa kijeshi(kiulinzi na KIUSALAMA), sio tuu wanatukosea Bali wanahatarisha usalama wa nchi kwa wakati ujao.

Kama ikiendelea hivi itajengeka dhana kwenye jamii yetu kuwa Warwanda ni watu hodari kuliko Sisi. Sisi ni Duni mbele ya Warwanda Jambo ambalo ni Uongo lakini likiendelea litafanya mitazamo ya Watanzania kuligeuza Jambo hilo ni KWELI.

Hawahawa wananchi ndio baadaye watajiunga na Jeshi. Yaani watu wenye kujiona Duni na hofu dhidi ya Warwanda ndio watakuwa wanajeshi hata ikitokea vita watakuwa waoga na kushindwa mbele za adui Zao Warwanda.

Nini chakufanya?

1. Kitengo cha Propaganda hasa za kijeshi kisilale. Kijiimarishe na kuweka mipango na mikakati kufanya Watanzania waliamini Jeshi Lao.
Kwa sababu Jeshi likianza kutiliwa Mashaka hata ufanisi wake utapungua.
Kwa USA na mataifa mengine tunaona wo vitengo vya propaganda viko kila idea, huko Hollywood kwenye Filamu, kwenye Masuala ya kisayansi, na mambo ya Waandishi wa riwaya na tamthilia.
Kwamba ati Mwanajeshi Mmoja wa kimarekani anaweza kushughulikia maadui Mia moja wa mataifa mengine

2. Kutokana na baadhi ya watu kutokuwa na Akili au kuwa na chuki na nchi. Iundwe Sheria za kuzuia watu kuzungumzia mambo ya kijeshi na kiusalama kwa namna ya kudhalilisha, kumshusha heshima ya jeshi, kukejeli, kushusha morali au kudunisha.
Hii itaepusha na kuzuia wale wapiga propaganda zenye maudhui ya kudunisha Jeshi la nchi.

3. Watu wapewe uwezo wa kutoa maoni Yao lakini yawe maoni ya kujenga sio yenye lengo la kutukuza taifa jingine kuliko taifa kwa namna ya kukejeli taifa letu.

4. Mafunzo ya JKT yaendelee kutolewa kwa wanaomaliza kidato cha sita na kwa wale Wa kidato cha nne ambao wataendelea na vyuo vya Kati.

Ninawahakikishia, Maneno haya yakiendelea hivihivi watu na jamii itayaamini. Na matokeo ya kuyaamini Maneno ya aina hii hayatakuwa mazuri.

Lazima Sisi kama taifa tujitambulishe sio tuu kwa upendo wetu, umoja wetu Bali pia tujitambulishe kama watu wenye AKILI kubwa, na watu wenye kufanya mambo magumu.

Nawatakia maandalizi Mema ya Sabato

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
Wasithubutu kwenda kwenye vita, watachapika kweli kweli.
 
Panya road husumbua mitaa ya jiji kwa sababu tu raia wana akili tegemezi ya kusaidiwa na vyombo vya dola mara zote.
Vivyo hivyo wakongo husubiri misaada ya nje na mamluki.
Rwanda ni nchi ambayo inaweza kuangushwa ndani ya masaa kwa sababu ya udogo wa eneo na idadi ya watu.
Pili ni land locked, ikizingirwa na kudhibitiwa aridhini na angani, kutokea Drc, Tanzania na Uganda, kazi imekwisha.
Thubutu, watapigwa drones za kutosha hadi wapoteane.
 
Hakuna elimu ya siasa, pamoja na kuwa na mitazamo tofauti linapokuja swala la utofauti na nchi nyingine inabidi tuwe kitu kimoja.
Wanaosifia Rwanda wengi ni watusi ambao wameishi Kama watanzania hivyo baada ya kujipenyeza Wana hofu Nini kitatokea kwa ndugu zao endapo vita itazuka.
 
PROPAGANDA ZA KUKUZA UWEZO WA RWANDA KIJESHI ZINAHATARISHA USALAMA WA NCHI YETU HAPO BAADAYE.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Kuna tabia ambayo imekomaa miongoni mwa watu ya kuisifia, kuitukuza, kuipamba, kuipa uwezo hata usiofaa nchi ya Rwanda katika sekta mbalimbali. Na Leo nitajikita kwenye sekta ya Ulinzi na usalama na hapa tunazungumzia Jeshi na Mbinu za kimedani.

Kwa Sisi Watibeli, Jeshi sio kuwa na watu wengi.
Jeshi sio kuwa na vifaa vya kisasa na vya kiteknolojia.
Jeshi sio ukubwa wa Miili au maumbile.
Jeshi sio kuwa na uchumi Mkubwa.

Jeshi ni zaidi ya hayo. Hayo ni Mambo madogo Sana Jeshini na yanatokea Nje ya Mwanajeshi.
Uanajeshi ni lazima uanzie ndani ya mwanajeshi mwenyewe.

Jeshi ni Mtazamo
Jeshi ni Imani
Jeshi ni Nidhamu
Jeshi ni Moyo wa Ujasiri
Hayo yote yapo ndani ya mwanajeshi. Mwanajeshi ili awe Mwanajeshi lazima awe na hayo Kwanza ndipo mafunzo, silaha, Mbinu n.k. ndio apewe.

Naunga mkono hoja.
 
PROPAGANDA ZA KUKUZA UWEZO WA RWANDA KIJESHI ZINAHATARISHA USALAMA WA NCHI YETU HAPO BAADAYE.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Kuna tabia ambayo imekomaa miongoni mwa watu ya kuisifia, kuitukuza, kuipamba, kuipa uwezo hata usiofaa nchi ya Rwanda katika sekta mbalimbali. Na Leo nitajikita kwenye sekta ya Ulinzi na usalama na hapa tunazungumzia Jeshi na Mbinu za kimedani.

Kwa Sisi Watibeli, Jeshi sio kuwa na watu wengi.
Jeshi sio kuwa na vifaa vya kisasa na vya kiteknolojia.
Jeshi sio ukubwa wa Miili au maumbile.
Jeshi sio kuwa na uchumi Mkubwa.

Jeshi ni zaidi ya hayo. Hayo ni Mambo madogo Sana Jeshini na yanatokea Nje ya Mwanajeshi.
Uanajeshi ni lazima uanzie ndani ya mwanajeshi mwenyewe.

Jeshi ni Mtazamo
Jeshi ni Imani
Jeshi ni Nidhamu
Jeshi ni Moyo wa Ujasiri
Hayo yote yapo ndani ya mwanajeshi. Mwanajeshi ili awe Mwanajeshi lazima awe na hayo Kwanza ndipo mafunzo, silaha, Mbinu n.k. ndio apewe.

Kwa namna hiyo Basi, utagundua lengo kubwa la Propaganda ni kuangusha ujasiri, Imani, mtazamo wa Mwanajeshi husika au jeshi husika katika upambanaji.

Kwa Sisi Wasomi wa Bibilia, Moja ya mambo makubwa ambayo yanajitokeza tokeza katika visa vya Biblia ni Propaganda ya kuwapa Waisrael Ujasiri, Imani, na mtazamo Chanya kuwa wao ni Bora kuliko watu wote Duniani.
Kisha ndipo Sheria za Torati zinawekwa ili kuwafanya wawe na Nidhamu.

Zipo Makumi ya aya zinazoeleza kuwa Muisrael Mmoja atakimbiza watu Mia WA mataifa mengine. Hiyo ni propaganda

Kuna kisa kingine ambacho Musa aliagiza Wapelelezi Kumi na mbili Kwenda kuipeleleza Nchi ya Kanaani. Wapelelezi wale Kumi na mbili waliporudisha ripoti. Wapelelezi Kumi wakatoa ripoti Yao kuelezea Jinsi nchi Ile ilivyo na watu wake walivyo Wakubwa na wenye nguvu na hodari. Kwa jinsi walivyokuwa wanaoelezea ni Kwa namna ya kuwakatisha tamaa na kuwatisha waisrael Jambo ambalo ni Kweli Waisrael waliingiwa na Hofu.

Lakini kwa Bahati, wapelelezi Wawili ambao ni Joshua na Kalebu wao wakatoa ripoti Yao inayokinzana na ripoti ya wale wapelelezi kumi. Wao wakasema in a positive ways.
Kusifia nchi wanayoiendea(Lengo Lao), kusifia Jeshi lao na Waisrael kwa ujumla, na mwisho kueleza sifa za maumbile ya adui Zao in a negative ways.
Wakasema, ni kweli wale watu ni Wakubwa Sana, wanamiili Mikubwa Mno na nguvu za Kimwili, lakini mioyoni mwao wanahofu juu yetu. Mambo makubwa tuliyoyafanya kuanzia kwa Farao, bahari ya shamu na kupiga mataifa yote tuliyokutana nayo imewanyong'onyesha Sana.
Hivyo waisrael na Jeshi la Israel Halina Sababu ya kuogopa watu hao kwani ni ukubwa wa Pua tuu ambao haulingani na wingi wa makamasi.

Ari, ujasiri, imani kwa Waisrael na Jeshi lao ikarejea lakini Musa kama kiongozi wa kijeshi na mwenye hiyo Movement akatoa maamuzi wale wapelelezi kumi wauawe ili wasije waletea Hofu na kuambukiza Hofu hiyo watu wengine.

Muhtasari huo tunajifunza mambo mengi lakini kubwa zaidi linaloendana na Mada hii ni nguvu ya propaganda na maneno katika Ulinzi na usalama na wanajeshi wetu.

Jeshi imara linatokana na wananchi imara.

Hawa watu wanaendesha propaganda za kuishusha nchi yetu na kuidunisha hasa kijeshi(kiulinzi na KIUSALAMA), sio tuu wanatukosea Bali wanahatarisha usalama wa nchi kwa wakati ujao.

Kama ikiendelea hivi itajengeka dhana kwenye jamii yetu kuwa Warwanda ni watu hodari kuliko Sisi. Sisi ni Duni mbele ya Warwanda Jambo ambalo ni Uongo lakini likiendelea litafanya mitazamo ya Watanzania kuligeuza Jambo hilo ni KWELI.

Hawahawa wananchi ndio baadaye watajiunga na Jeshi. Yaani watu wenye kujiona Duni na hofu dhidi ya Warwanda ndio watakuwa wanajeshi hata ikitokea vita watakuwa waoga na kushindwa mbele za adui Zao Warwanda.

Nini chakufanya?

1. Kitengo cha Propaganda hasa za kijeshi kisilale. Kijiimarishe na kuweka mipango na mikakati kufanya Watanzania waliamini Jeshi Lao.
Kwa sababu Jeshi likianza kutiliwa Mashaka hata ufanisi wake utapungua.
Kwa USA na mataifa mengine tunaona wo vitengo vya propaganda viko kila idea, huko Hollywood kwenye Filamu, kwenye Masuala ya kisayansi, na mambo ya Waandishi wa riwaya na tamthilia.
Kwamba ati Mwanajeshi Mmoja wa kimarekani anaweza kushughulikia maadui Mia moja wa mataifa mengine

2. Kutokana na baadhi ya watu kutokuwa na Akili au kuwa na chuki na nchi. Iundwe Sheria za kuzuia watu kuzungumzia mambo ya kijeshi na kiusalama kwa namna ya kudhalilisha, kumshusha heshima ya jeshi, kukejeli, kushusha morali au kudunisha.
Hii itaepusha na kuzuia wale wapiga propaganda zenye maudhui ya kudunisha Jeshi la nchi.

3. Watu wapewe uwezo wa kutoa maoni Yao lakini yawe maoni ya kujenga sio yenye lengo la kutukuza taifa jingine kuliko taifa kwa namna ya kukejeli taifa letu.

4. Mafunzo ya JKT yaendelee kutolewa kwa wanaomaliza kidato cha sita na kwa wale Wa kidato cha nne ambao wataendelea na vyuo vya Kati.

Ninawahakikishia, Maneno haya yakiendelea hivihivi watu na jamii itayaamini. Na matokeo ya kuyaamini Maneno ya aina hii hayatakuwa mazuri.

Lazima Sisi kama taifa tujitambulishe sio tuu kwa upendo wetu, umoja wetu Bali pia tujitambulishe kama watu wenye AKILI kubwa, na watu wenye kufanya mambo magumu.

Nawatakia maandalizi Mema ya Sabato

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
Nchi ambayo wanajeshi wanapelekwa kufagia na Makonda unadhani kuna jeshi tena hapo?
 
Msichanganye siasa na usalama wa nchi, ukiona watu wamekaa kimya basi jua wamepima na wameona hakuna shida,

vyombo vya ulinzi vikiamua lake hata ujifiche wap na kikundi chako mtadakwa tu.

Siasa zisiwadanganye mkaona nchi ipo ipo tu ki-hasara hasara,

Kuna watu baadhi nawafahamu ambao nyumbani kwenye familia yake anaonekana kwa mwaka mara 1.

Ikitokea umesikia story za hawa jamaa ndio utajua haujui.
Waendelee kuufyata tu, wakithubutu tutaaibika asubuhi kabisa. Kwa sasa Rwanda ametuzidi kwenye teknolojia, huo ndio ukweli mchungu.
 
Back
Top Bottom