mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 938
- 1,540
BeberuHujaona kuwa ipo amazon inauzwa? Mnufaika ni nan? Hapo ndo utakuwa na jibu
Kabla ya kuanza majadiliano alitakiwa kuwa na mwanasheria mzoefu ajue haki na faida kwa pande zote mbili. Kwa CCM inawezekana wamekubaliana mgao wake atapewa akimaliza Urais. Tuliopigwa ni sisi, jamaa ametengeneza movie kwa pesa yetu.Sterling kaona hapewi mgao kaamua kususa kurudi nchini kwake.
πππππππππππππππππππππMfano ungetumia muda huu kutafuta pesa kuliko kuandika upupu huu huoni kuwa lingekuwa jambo jema mkuu
Amekwambia hana hela. Hangaikia ya kwako wengine humu huwawezi na kama unajidai unayemjibu hivyo ndiye peter wa kwenye Royal tour so hapo upon.Mfano ungetumia muda huu kutafuta pesa kuliko kuandika upupu huu huoni kuwa lingekuwa jambo jema mkuu
...Wale Wale!...Mfano ungetumia muda huu kutafuta pesa kuliko kuandika upupu huu huoni kuwa lingekuwa jambo jema mkuu
Wajinga tunashangilia hangaya kuupiga mwingi na Royal tour hata hatujui tunafaidika nini πππππ najihurumia mimi jamaniKabla ya kuanza majadiliano alitakiwa kuwa na mwanasheria mzoefu ajue haki na faida kwa pande zote mbili. Kwa CCM inawezekana wamekubaliana mgao wake atapewa akimaliza Urais. Tuliopigwa ni sisi, jamaa ametengeneza movie kwa pesa yetu.
Hivi mnafanyaje mnajua mtoa mada hana hela? Ama ni ile situation uliyonayo wewe unajaribu kuigawa kwa walimwengu woteMfano ungetumia muda huu kutafuta pesa kuliko kuandika upupu huu huoni kuwa lingekuwa jambo jema mkuu
Bado tunaendelea kuwa kichwa cha mwendawazimuWachaambuzi mbalimbali wa kutoka club house na diaspora kibao wamedai kuwa hizi propaganda zinazopigwa kuhusu royal tour ni za kuijaribu tu kuipamba serikali na mama kiujumla lakini ukweli ni kuwa.
1. Royal tour ni Mali ya huyo peter aliyetengeneza na haki miliki ya Tanzania royal tour, hatuwezi Tena kutumia usemi huo.
2. Lengo kuu la royal tour ni kutengeneza pesa na inauzwa kwahivo kigezo Cha kusema inaitangaza Tanzania ni uwongo, Yani Kama ndo hivo ingepatikana bure kwanini iuzwe Wakati inapaswa kuonekana na watu wote bure.
3. Mama ndo stering sijui watamlipa au lah.
4. Muvi itaachiwa Free baada ya mwenyenayo kurudisha faida