Propaganda za Serikali kuhusu filamu ya Royal Tour

Propaganda za Serikali kuhusu filamu ya Royal Tour

Kile chuma ukipeleke mbugani kikae kichukuliwe videos au apigwe picha sio kwa yule sema ndugu zangu unafiki umetuzidi huyu si ndo mlisema anaupiga mwingi leo mnamkataa tena.
 
Matunda murua ya Royal tour yazidi kuonekana 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220607-215132.png
    Screenshot_20220607-215132.png
    214.2 KB · Views: 11
  • Screenshot_20220606-184120.png
    Screenshot_20220606-184120.png
    67.1 KB · Views: 11
  • Screenshot_20220605-153300.png
    Screenshot_20220605-153300.png
    192.9 KB · Views: 11
  • Screenshot_20220605-144718.png
    Screenshot_20220605-144718.png
    69 KB · Views: 11
  • Screenshot_20220605-144549.png
    Screenshot_20220605-144549.png
    85 KB · Views: 9
Mfano ungetumia muda huu kutafuta pesa kuliko kuandika upupu huu huoni kuwa lingekuwa jambo jema mkuu
Mkuu mbona mwamba kaandika madini kabisa akiwa kama mzalendo hayo ni maoni yake kwa hivyo usimkashifu yupo na haki ya kusema lolote ila asivunje sheria
 
Wachaambuzi mbalimbali wa kutoka club house na diaspora kibao wamedai kuwa hizi propaganda zinazopigwa kuhusu royal tour ni za kuijaribu tu kuipamba serikali na mama kiujumla lakini ukweli ni kuwa.

1. Royal tour ni Mali ya huyo Peter aliyetengeneza na haki miliki ya Tanzania royal tour, hatuwezi Tena kutumia usemi huo.

2. Lengo kuu la royal tour ni kutengeneza pesa na inauzwa kwahivo kigezo cha kusema inaitangaza Tanzania ni uongo, Yani Kama ndo hivyo ingepatikana bure kwanini iuzwe Wakati inapaswa kuonekana na watu wote bure.

3. Mama ndo sterling sijui watamlipa au lah.

4. Muvi itaachiwa Free baada ya mwenyenayo kurudisha faida
Wazungu hawakurupuki safari zao za kitalii, wao hujipanga mwka hadi miaka kwamba atasafiri kwa utalii wakati gani kwani wako bize sana, hawawezi kukurupuka kuanza likizo sababu ya Royal Tour. Angalia alivyosema balozi wa Ujerumani walipo pokea ndege kubwa toka Ujerumani pale KIA, aliulzwa kama ujio wa ndege hiyo ni matokeo ya Royal Tour, na alijibu ni juhudi iliyoanza miaka mitatu iliyopita kushawishi Wajerumani kuja Tanzania (Milad Ayo TV). Pia unaweza uliza Tour Operators inquiries zilianaza kabla ya Royal Tour na hata wengine walifika mbali na kufanya bookings kabla.
 
Mkuu mbona mwamba kaandika madini kabisa akiwa kama mzalendo hayo ni maoni yake kwa hivyo usimkashifu yupo na haki ya kusema lolote ila asivunje sheria
Unapigia Gita mbuzi,hao ni Sukuma gang wenye chuki kwa SSH kwa sababu anafunika legacy na kwenda opp na upuuzi wa Mwendazake
 
Wazungu hawakurupuki safari zao za kitalii, wao hujipanga mwka hadi miaka kwamba atasafiri kwa utalii wakati gani kwani wako bize sana, hawawezi kukurupuka kuanza likizo sababu ya Royal Tour. Angalia alivyosema balozi wa Ujerumani walipo pokea ndege kubwa toka Ujerumani pale KIA, aliulzwa kama ujio wa ndege hiyo ni matokeo ya Royal Tour, na alijibu ni juhudi iliyoanza miaka mitatu iliyopita kushawishi Wajerumani kuja Tanzania (Milad Ayo TV). Pia unaweza uliza Tour Operators inquiries zilianaza kabla ya Royal Tour na hata wengine walifika mbali na kufanya bookings kabla.
Mtajisemesha Sana..

Matokeo chanya ya Royal tour, safari za ndege Kati ya Tzn na Marekani inanukia 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220609-220720.png
    Screenshot_20220609-220720.png
    155 KB · Views: 7
  • Screenshot_20220609-220709.png
    Screenshot_20220609-220709.png
    164.9 KB · Views: 7
  • Screenshot_20220603-131727.png
    Screenshot_20220603-131727.png
    160.7 KB · Views: 7
Back
Top Bottom