The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Sasa wewe nae ni kajinga,naomba niishie hapa.Wachaambuzi mbalimbali wa kutoka club house na diaspora kibao wamedai kuwa hizi propaganda zinazopigwa kuhusu royal tour ni za kuijaribu tu kuipamba serikali na mama kiujumla lakini ukweli ni kuwa.
1. Royal tour ni Mali ya huyo peter aliyetengeneza na haki miliki ya Tanzania royal tour, hatuwezi Tena kutumia usemi huo.
2. Lengo kuu la royal tour ni kutengeneza pesa na inauzwa kwahivo kigezo Cha kusema inaitangaza Tanzania ni uwongo, Yani Kama ndo hivo ingepatikana bure kwanini iuzwe Wakati inapaswa kuonekana na watu wote bure.
3. Mama ndo stering sijui watamlipa au lah.
4. Muvi itaachiwa Free baada ya mwenyenayo kurudisha faida
Hakuna mzungu ambaye anafanya kazi kwa hasaraWachaambuzi mbalimbali wa kutoka club house na diaspora kibao wamedai kuwa hizi propaganda zinazopigwa kuhusu royal tour ni za kuijaribu tu kuipamba serikali na mama kiujumla lakini ukweli ni kuwa.
1. Royal tour ni Mali ya huyo peter aliyetengeneza na haki miliki ya Tanzania royal tour, hatuwezi Tena kutumia usemi huo.
2. Lengo kuu la royal tour ni kutengeneza pesa na inauzwa kwahivo kigezo Cha kusema inaitangaza Tanzania ni uwongo, Yani Kama ndo hivo ingepatikana bure kwanini iuzwe Wakati inapaswa kuonekana na watu wote bure.
3. Mama ndo stering sijui watamlipa au lah.
4. Muvi itaachiwa Free baada ya mwenyenayo kurudisha faida
Ameshakutana na baba yake Rihana kwa hiyo ni mwendo wa bandika bandua. Hivi bado tuko uchumi wa kati?Inawezekana huko USA anasaini kazi zengine za Hollywood.
Uchumi wa kuupiga mwingiAmeshakutana na baba yake Rihana kwa hiyo ni mwendo wa bandika bandua. Hivi bado tuko uchumi wa kati?
Takwimu za watalii wanaotembelea vivutio vyetu zitaanza kupikwa ili kumfurahisha starring
Tumerogwa
Kwahiyo tunatumika , obviouslyWachaambuzi mbalimbali wa kutoka club house na diaspora kibao wamedai kuwa hizi propaganda zinazopigwa kuhusu royal tour ni za kuijaribu tu kuipamba serikali na mama kiujumla lakini ukweli ni kuwa.
1. Royal tour ni Mali ya huyo Peter aliyetengeneza na haki miliki ya Tanzania royal tour, hatuwezi Tena kutumia usemi huo.
2. Lengo kuu la royal tour ni kutengeneza pesa na inauzwa kwahivo kigezo cha kusema inaitangaza Tanzania ni uongo, Yani Kama ndo hivyo ingepatikana bure kwanini iuzwe Wakati inapaswa kuonekana na watu wote bure.
3. Mama ndo sterling sijui watamlipa au lah.
4. Muvi itaachiwa Free baada ya mwenyenayo kurudisha faida
Sterling huyu ni Fala kwelikweliSterling kaona hapewi mgao kaamua kususa kurudi nchini kwake.
Mfano ungetumia muda huu kutafuta pesa kuliko kuandika upupu huu huoni kuwa lingekuwa jambo jema mkuu
Amekwambia hana hela. Hangaikia ya kwako wengine humu huwawezi na kama unajidai unayemjibu hivyo ndiye peter wa kwenye Royal tour so hapo upon.
Kuna majitu hushindwa kabisa kuzuia kuonesha kwamba wao ni popoma mmoja wapo ni huyo shoga anaedai mwamba kaandika upupu...Wale Wale!...
Kiukweli umeongea kitu ambacho watz hawatakuelewa ... Kiukweli marekani wamejitosheleza kiutalii .Hujaona kuwa ipo amazon inauzwa? Mnufaika ni nan? Hapo ndo utakuwa na jibu. Amerca na utalii wapi na wapi? Watalii wanatoka Europe kwa sana