Propaganda za uhasama wa Mbowe na Lissu ni za kijuha sana

Propaganda za uhasama wa Mbowe na Lissu ni za kijuha sana

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Nimeona maandiko mengi huku mitandaoni yakijaribu kuonyesha kuna uadui au kambi mbili kubwa zinazokinzana kati ya Mbowe na Lissu. Hizi propaganda zimefika mbali kiasi kwamba sasa hata chaguzi za ndani za CHADEMA zinahusishwa katika kihoja hiki cha propagandai! Kila mara ninapokutana na nyuzi hizi za kuonyesha Lissu na Mbowe wametifuana huwa napatwa na kichefuchefu kwa sababu ni propaganda za kibwege sana.

Sijajua chanzo cha propaganda hizi dhaifu ni nini ila itoshe kusema nchi ina watu wenye uwezo mdogo mno hata katika kufanya propaganda za kisiasa. Mtu yeyote mwenye akili hata ndogo za kuvukia barabara anaweza kusoma mazingira ya kisiasa ya ya CHADEMA akafahamu sio Mbowe au Lissu anayeweza kutaka kumuondoa mwenzake katika nafasi yake ya sasa kwa wakati huu kwa sababu hakuna mbadala wao sahihi katika kipindi hiki kifupi cha kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025.

Mbowe akimundoa au akimuhujumu Lissu katika nafasi yake nani mwingine anayeweza kushika nafasi ya Lissu na kuijaza ikamtosha hata kumkaribia Lissu ambaye kwa sasa unaweza kusema hawezi kukosekana katika listi ya wanasiasa watatu maarufu zaidi nchi hii? Kwa upande mwingine Mbowe ndiye msuka mipango yote ya CHADEMA kupata fedha za kujiendesha na oparesheni zake mbalimbali za kuwafikia wananchi, sasa Lissu atakuwa mpuuzi namna gani kutaka mtu aina hii aondoke katika nafasi yake katika kipindi hiki muhumu hivyo?

Jambo lingine ni kwamba hawa wawili hawana platforms nyingine wanayoweza kufanya siasa zao nje ya CHADEMA kwa sasa na wakaeleweka. Mbowe au Lissu hawewezi kukanyaga CCM au ACT kwa namna yoyote, hawawezi kuanzisha chama kipya cha siasa kwa sasa kwa hiyo hata kama hawapendani inawalazimu tu kukaa pamoja na ku-compromise hadi hapo watakapomaliza uchaguzi wa 2025.
 
Nimeona maandiko mengi huku mitandaoni yakijaribu kuonyesha kuna uadui au kambi mbili kubwa zinazokinzana kati ya Mbowe na Lissu. Hizi propaganda zimefika mbali kiasi kwamba sasa hata chaguzi za ndani za CHADEMA zinahusishwa katika kihoja hiki cha propagandai! Kila mara ninapokutana na nyuzi hizi za kuonyesha Lissu na Mbowe wametifuana huwa napatwa na kichefuchefu kwa sababu ni propaganda za kibwege sana.

Sijajua chanzo cha propaganda hizi dhaifu ni nini ila itoshe kusema nchi ina watu wenye uwezo mdogo mno hata katika kufanya propaganda za kisiasa. Mtu yeyote mwenye akili hata ndogo za kuvukia barabara anaweza kusoma mazingira ya kisiasa ya ya CHADEMA akafahamu sio Mbowe au Lissu anayeweza kutaka kumuondoa mwenzake katika nafasi yake ya sasa kwa wakati huu kwa sababu hakuna mbadala wao sahihi katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025.

Mbowe akimundoa au akimuhujumu Lissu katika nafasi yake nani mwingine anayeweza kushika nafasi ya Lissu na kuijaza ikamtosha hata kumkaribia Lissu ambaye kwa sasa unaweza kusema hawezi kukosekana katika listi ya wanasiasa watatu maarufu zaidi nchi hii? Kwa upande mwingine Mbowe ndiye msuka mipango yote ya CHADEMA kupata fedha za kujiendesha na oparesheni zake mbalimbali za kuwafikia wananchi, sasa Lissu atakuwa mpuuzi namna gani kutaka mtu aina hii aondoke katika nafasi yake katika kipindi hiki muhumu hivyo?

Jambo lingine ni kwamba hawa wawili hawana platforms nyingine wanayoweza kufanya siasa zao nje ya CHADEMA kwa sasa na wakaeleweka. Mbowe na Lissu hawewezi kukanyanga CCM au ACT kwa namna yoyote, hawawezi kuanzisha chama kipya cha siasa kwa sasa kwa hiyo hata kama hawapendani inawalazimu tu kukaa pamoja na ku compromise hadi hapo watakapomaliza uchaguzi wa 2025.
yaaani we jamaa unaonekana siasa unazivamia tu hujui kitu yaani mpaka sasa hujui kama kuna waka moto huko chamani?
 
yaaani we jamaa unaonekana siasa unazivamia tu hujui kitu yaani mpaka sasa hujui kama kuna waka moto huko chamani?
Hembu nijuze kunawakaje moto huko chamani? Nini kinachouwasha huo moto?
 
JamiiForums442997317_236x211.jpeg
 
Nimeona maandiko mengi huku mitandaoni yakijaribu kuonyesha kuna uadui au kambi mbili kubwa zinazokinzana kati ya Mbowe na Lissu. Hizi propaganda zimefika mbali kiasi kwamba sasa hata chaguzi za ndani za CHADEMA zinahusishwa katika kihoja hiki cha propagandai! Kila mara ninapokutana na nyuzi hizi za kuonyesha Lissu na Mbowe wametifuana huwa napatwa na kichefuchefu kwa sababu ni propaganda za kibwege sana.

Sijajua chanzo cha propaganda hizi dhaifu ni nini ila itoshe kusema nchi ina watu wenye uwezo mdogo mno hata katika kufanya propaganda za kisiasa. Mtu yeyote mwenye akili hata ndogo za kuvukia barabara anaweza kusoma mazingira ya kisiasa ya ya CHADEMA akafahamu sio Mbowe au Lissu anayeweza kutaka kumuondoa mwenzake katika nafasi yake ya sasa kwa wakati huu kwa sababu hakuna mbadala wao sahihi katika kipindi hiki kifupi cha kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025.

Mbowe akimundoa au akimuhujumu Lissu katika nafasi yake nani mwingine anayeweza kushika nafasi ya Lissu na kuijaza ikamtosha hata kumkaribia Lissu ambaye kwa sasa unaweza kusema hawezi kukosekana katika listi ya wanasiasa watatu maarufu zaidi nchi hii? Kwa upande mwingine Mbowe ndiye msuka mipango yote ya CHADEMA kupata fedha za kujiendesha na oparesheni zake mbalimbali za kuwafikia wananchi, sasa Lissu atakuwa mpuuzi namna gani kutaka mtu aina hii aondoke katika nafasi yake katika kipindi hiki muhumu hivyo?

Jambo lingine ni kwamba hawa wawili hawana platforms nyingine wanayoweza kufanya siasa zao nje ya CHADEMA kwa sasa na wakaeleweka. Mbowe au Lissu hawewezi kukanyaga CCM au ACT kwa namna yoyote, hawawezi kuanzisha chama kipya cha siasa kwa sasa kwa hiyo hata kama hawapendani inawalazimu tu kukaa pamoja na ku-compromise hadi hapo watakapomaliza uchaguzi wa 2025.
Hao watu wawili CCM na uzee wake inawaogopa kama COVID-19
 
yaaani we jamaa unaonekana siasa unazivamia tu hujui kitu yaani mpaka sasa hujui kama kuna waka moto huko chamani?
Upuuzi mtupu.

Mbowe na Lisu ndiyo engine ya CHADEMA. Na kila kitu kinachofanyika ni kwa maelewano makubwa na makubaliano kati ya hawa wawili. Na mtashuhudia hawa wawili wanavyoshirikiana nyakati za uchaguzi zikifika.

Kama kuna fisi wanaosubiria mnofu udondoke, watasubiri sana bila ya kuambulia chochote.
 
hawawezi kuanzisha chama kipya cha siasa kwa sasa kwa hiyo hata kama hawapendani inawalazimu tu kukaa pamoja na ku-compromise hadi hapo watakapomaliza uchaguzi wa 2025
Eti hawawezi!
It's not a dream or myth,it's over between lissu and mbowe.
There is two faction btn CDM,Lissu is coming with new political outfit ahead 2025 polls
Both of them eyeing for presidency and none of them is ready to let it.
I hate saying I told you so
 
Nimeona maandiko mengi huku mitandaoni yakijaribu kuonyesha kuna uadui au kambi mbili kubwa zinazokinzana kati ya Mbowe na Lissu. Hizi propaganda zimefika mbali kiasi kwamba sasa hata chaguzi za ndani za CHADEMA zinahusishwa katika kihoja hiki cha propagandai! Kila mara ninapokutana na nyuzi hizi za kuonyesha Lissu na Mbowe wametifuana huwa napatwa na kichefuchefu kwa sababu ni propaganda za kibwege sana.

Sijajua chanzo cha propaganda hizi dhaifu ni nini ila itoshe kusema nchi ina watu wenye uwezo mdogo mno hata katika kufanya propaganda za kisiasa. Mtu yeyote mwenye akili hata ndogo za kuvukia barabara anaweza kusoma mazingira ya kisiasa ya ya CHADEMA akafahamu sio Mbowe au Lissu anayeweza kutaka kumuondoa mwenzake katika nafasi yake ya sasa kwa wakati huu kwa sababu hakuna mbadala wao sahihi katika kipindi hiki kifupi cha kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025.

Mbowe akimundoa au akimuhujumu Lissu katika nafasi yake nani mwingine anayeweza kushika nafasi ya Lissu na kuijaza ikamtosha hata kumkaribia Lissu ambaye kwa sasa unaweza kusema hawezi kukosekana katika listi ya wanasiasa watatu maarufu zaidi nchi hii? Kwa upande mwingine Mbowe ndiye msuka mipango yote ya CHADEMA kupata fedha za kujiendesha na oparesheni zake mbalimbali za kuwafikia wananchi, sasa Lissu atakuwa mpuuzi namna gani kutaka mtu aina hii aondoke katika nafasi yake katika kipindi hiki muhumu hivyo?

Jambo lingine ni kwamba hawa wawili hawana platforms nyingine wanayoweza kufanya siasa zao nje ya CHADEMA kwa sasa na wakaeleweka. Mbowe au Lissu hawewezi kukanyaga CCM au ACT kwa namna yoyote, hawawezi kuanzisha chama kipya cha siasa kwa sasa kwa hiyo hata kama hawapendani inawalazimu tu kukaa pamoja na ku-compromise hadi hapo watakapomaliza uchaguzi wa 2025.
Waswahili wanasema lisemwalo lipo. Hata kama hakuna hiyo tofauti, lakini Mbowe hastahili tena kuwa mwenyekiti wa cdm. Kama cdm itakwama, basi sababu hasa itakuwa ni Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti. Hili sio jambo la kuongea kwa kificho, Wala woga. Enough is enough.
 
Eti hawawezi!
It's not a dream or myth,it's over between lissu and mbowe.
There is two faction btn CDM,Lissu is coming with new political outfit ahead 2025 polls
Both of them eyeing for presidency and none of them is ready to let it.
I hate saying I told you so
Sina uhakika wa hili usemalo, lakini hata kama Mbowe anataka kugombea urais dhidi ya Lisu, ni ukweli usioacha shaka kuwa Mbowe kwa sasa Hana mvuto wa kisiasa, na hata akigombea itakuwa sio kwa faida ya cdm, Bali kwa faida ya ccm zaidi. Mbowe amefikia mwisho, inatakiwa apewe ukweli huu hadharani.
 
Waswahili wanasema lisemwalo lipo. Hata kama hakuna hiyo tofauti, lakini Mbowe hastahili tena kuwa mwenyekiti wa cdm. Kama cdm itakwama, basi sababu hasa itakuwa ni Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti. Hili sio jambo la kuongea kwa kificho, Wala woga. Enough is enough.
Mbowe anaweza kutuondelea kuwa mwenyekiti lakini sio kwa kupinduliwa na Lissu kama walivyojaribu wakina Zitto na Kitila.
 
ukweli usioacha shaka kuwa Mbowe kwa sasa Hana mvuto wa kisiasa, na hata akigombea itakuwa sio kwa faida ya cdm, Bali kwa faida ya ccm zaidi. Mbowe amefikia mwisho, inatakiwa apewe ukweli huu hadharani.
Na ndio iko hivyo Abdul and co's are backing the bid.
 
Sina uhakika wa hili usemalo, lakini hata kama Mbowe anataka kugombea urais dhidi ya Lisu, ni ukweli usioacha shaka kuwa Mbowe kwa sasa Hana mvuto wa kisiasa, na hata akigombea itakuwa sio kwa faida ya cdm, Bali kwa faida ya ccm zaidi. Mbowe amefikia mwisho, inatakiwa apewe ukweli huu hadharani.
Mbowe hajawahi kuwa ambitious katika Urais, uchaguzi ujao uwezekano mkubwa ni atagombea ubunge na akishaupata anaweza hata akaachia uenyekiti wa CHADEMA kwa Lissu ambaye anatakiwa awe anagombea Urais tu mpaka aupate.
 
Back
Top Bottom