Propaganda za uhasama wa Mbowe na Lissu ni za kijuha sana

Propaganda za uhasama wa Mbowe na Lissu ni za kijuha sana

Mbowe hajawahi kuwa ambitious katika Urais, uchaguzi ujao uwezekano mkubwa ni atagombea ubunge na akishaupata anaweza hata akaachia uenyekiti wa CHADEMA kwa Lissu ambaye anatakiwa awe anagombea Urais tu mpaka aupate.
Uchaguzi wa mwenyekiti wa cdm ni mwaka huu, ubunge ni mwakani. Hastahili kugombea uenyekiti safari hii, asuburi akagombee ubunge akiwa Hana cheo chochote.
 
Mbowe anaweza kutuondelea kuwa mwenyekiti lakini sio kwa kupinduliwa na Lissu kama walivyojaribu wakina Zitto na Kitila.
Mbowe kupewa ushindani vibaraka wake mnaita kupinduliwa?

Chadema ni kweli chama cha familia?

Msigwa katumika na wachaga sasa wanampora madaraka next ni Lissu.
 
Uchaguzi wa mwenyekiti wa cdm ni mwaka huu, ubunge ni mwakani. Hastahili kugombea uenyekiti safari hii, asuburi akagombee ubunge akiwa Hana cheo chochote.
Uchaguz wa mwenyekiti ni mwezi gani?
 
Mbowe hajawahi kuwa ambitious katika Urais, uchaguzi ujao uwezekano mkubwa ni atagombea ubunge na akishaupata anaweza hata akaachia uenyekiti wa CHADEMA kwa Lissu ambaye anatakiwa awe anagombea Urais tu mpaka aupate.
Mbowe aligombea uraisi 2005 alipambania na Kikwete.
Ukweli ni kwamba Mbowe anaoenswa Sana ndani ya CDM lakini hana mvuto mkubwa nje ya chama kumpita Lissu.
Mbowe alishalijua hilo 2010, 2015, 2020 hata Sasa aligombea itakuwa kwa lengo la kuharibu au kupunguza au kuzigawa kura za upinzani.

Ukweli lazima usemwe. Mbowe anafaa zaidi kuwa mwenyekiti wa chama na siyo mgombea uraisi.
 
Back
Top Bottom