Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Wakati Ujerumani imegawanyika magharibi na mashariki, Ujerumani Mashariki ilishikilia sana hii sera ya protectionism(kulinda viwanda vya ndani). Bidhaa nyingi hazikuruhusiwa kuagizwa toka nje ya nchi hivyo watu wakalazimika kununua kutoka ndani na viwanda vikaweza kuendelea.
Siku ukuta wa Berlin ulivyovunjwa Ujerumani Mashariki ikakuta bidhaa imazozalisha ni kama takataka ukilinganisha na zile za Ujerumani magharibi. Walijikuta wana magari ya teknolojia ya miaka zaidi ya 30 nyuma. Viwanda vyao vingi vikajifia.
Inasemwa kuwa sukari inaweza kutoka Brazil na ikawa bei rahisi hapa kwetu kuliko tunayotengeneza. Chanzo ni kuwa Wabrazili wamewekeza kwenye mitambo, kuanzia shambani nk. Hata cement inaweza kutoka Pakistani ikawa bei rahisi kuliko inayotengenezwa hapa. Lakini protectionism inafanya viwanda vya ndani viendelee kuzembea na kutojiupgrade na wananchi waendelee kupata bidhaa mbovu
Kwa maoni yangu ptrotectionism haina faida ya maana sana. Sanasana inafaidisha wenye viwanda wachache sana huku ikiumiza wananchi na kudumaza maendeleo. Mi nafurahi san kuona mama Samia akiua hiyo kitu, ni adui wa maendeleo na tumekuwa naye kwa miaka 60 bila faida yoyote ya maana.
Siku ukuta wa Berlin ulivyovunjwa Ujerumani Mashariki ikakuta bidhaa imazozalisha ni kama takataka ukilinganisha na zile za Ujerumani magharibi. Walijikuta wana magari ya teknolojia ya miaka zaidi ya 30 nyuma. Viwanda vyao vingi vikajifia.
Inasemwa kuwa sukari inaweza kutoka Brazil na ikawa bei rahisi hapa kwetu kuliko tunayotengeneza. Chanzo ni kuwa Wabrazili wamewekeza kwenye mitambo, kuanzia shambani nk. Hata cement inaweza kutoka Pakistani ikawa bei rahisi kuliko inayotengenezwa hapa. Lakini protectionism inafanya viwanda vya ndani viendelee kuzembea na kutojiupgrade na wananchi waendelee kupata bidhaa mbovu
Kwa maoni yangu ptrotectionism haina faida ya maana sana. Sanasana inafaidisha wenye viwanda wachache sana huku ikiumiza wananchi na kudumaza maendeleo. Mi nafurahi san kuona mama Samia akiua hiyo kitu, ni adui wa maendeleo na tumekuwa naye kwa miaka 60 bila faida yoyote ya maana.