Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Hili sawa,kuna mambo ukiapply saizi ni kuumiza wananchiTu encourage uwekezaji watu walete tech kama ilivyo kwa wachina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili sawa,kuna mambo ukiapply saizi ni kuumiza wananchiTu encourage uwekezaji watu walete tech kama ilivyo kwa wachina
We hujaelewa, kasema wenye viwanda wajiongeze na wao kuzalisha bidhaa kwa ufanisi. Maana sukari hiyo ya Brazil inalipiwa kodi kibao na gharama za usafiri lakini inakuwa bei rahisi kuliko ya hapa.Hakuna nchi duniani isiyolinda viwanda vyake. Wewe iite 'protectionism', lakini ukweli wenyewe ndio huo...
Una export Chadema au una export CCM.Ila importation inaumiza uchumi wetu zaidi! Mie nafikiri encouragement ndio approach nzuri zaidi
Bunge la mapunguani, wazee akili chakavu ukichanganya na madanga yao ya viti maalumu ni utopolo tuUna export Chadema au una export ccm
Au unaexport Kipigo cha mbwa koko....
Yeah tunatakiwa kuwekeza efforts kwenye uzalishaji tu masoko yapo sehemu mbali mbali ulimwenguni ni kuwa na right product of the right quality at the right time!Elezea vizuri mkuu. Ongeza ongeza nyama
Hii ni hoja inasimama peke yake kabisa mkuu.Yeah tunatakiwa kuwekeza efforts kwenye uzalishaji tu masoko yapo sehemu mbali mbali ulimwenguni ni kuwa na right product of the right quality at the right time!...
Protectionism kibongo bongo ni kukumbatia wenye uwezo wa kuzalisha kwa viwango hafifu na kuwanyima fursa watu wenye uwezo toka nje kuja kuwekeza!Hii ni hoja inasimama peke yake kabisa mkuu.
Nlitaka useme kidogo kuhusu protectionism. Maana jamaa anasema protectionism inaviangamiza viwanda vyetu na wewe ukaja na hoja tofauti kana kwamba unampinga, kwa madai ya kwamba importation inauwa viwanda vyetu (which I agree with you) lakini kwenye mantiki ya mtoa mada sikubaliani nawe.
Sijui unanielewa Bob????
Mfano hai ni hayo magari ya mwendokasi, wamebweteka tu kwa kuwa hawana mshindani.Tafakari kidogo sekta ya mawasiliano bila competition ,TTCL only service provider : matokeo non perfomance,poor service, huduma kufikia wachache, teknolgia duni..........
Competition is good for the consumer.
Una akili sana wewe!Protectionism kibongo bongo ni kukumbatia wenye uwezo wa kuzalisha kwa viwango hafifu na kuwanyima fursa watu wenye uwezo toka nje kuja kuwekeza...
Ni kweli kabisa, angalia mafuta ya Alizeti sasa yanaviwango gani hivyo hata label hayana ni mtu akijua kuchuja anapaki kwenye kidumu anauza imagine hata ingredients huoni na bidhaa nyingi ndo zinatengenezwa hivyo na tena hivyo tunavyoita viwanda vya ndani wala hata havipo, siku hizi mtu anajifungia ndani anasaga karanga au kutengeza mkate anapeleka dukani anauza hata watu wa TFDA hawafiki kutoa kibali baada ya kujihakikishia mazingira salama ya chakula sasa hivyo wiwanda tunavyolinda ni vipi? Na ndo maana ajira hazionekani.Lakini pia mkifanya protectionism na kuishia kuuziana vitu vibovu wenyewe kwa wenyewe mnakuwa mnapiga marktime. Na hakuna nchi inaweza kuendelea kwa kuuziana vitu wao kwa wao.
Hata kwa maendeleo pia. Leo tungesema TTCl wabaki peke yao ili kulinda makampuni yetu sijui hali ingekuwaje? sitaki kuwaza.Tafakari kidogo sekta ya mawasiliano bila competition ,TTCL only service provider : matokeo non perfomance,poor service, huduma kufikia wachache, teknolgia duni..........
Competition is good for the consumer.
Tatizo sisi wenyewe huo uwekezaji hatutaki, tunataka watu wa nje ndo waje kuwekeza na kuingia gharama za kutulipa mishahara na tipu kibao, imagine watu wameanza kwenda Dubai na China kuleta hivyo vitu kuuza ndani lakini kwenda kununua mashine na ujuzi hawakuta kabisa sasa hao watu ukiwa Kama Raisi utaletea nini zaidi ya kuwaletea vitu vya kuuza na kununua.Tu encourage uwekezaji watu walete tech kama ilivyo kwa wachina
Na hii ndio inatumaliza, watu wanatakiwa kununua viwanda na kuvileta tuzalishe na kuwauzia majirani zetu kwa kuanzia. Sababu bidhaa ikiwa nzuri tutauza tu no matter what! Bidhaa complex sio lazima utengeneze yote mwenyewe from scratch tunaweza tuka outsource inputs zingine tukawa tunapewa na viwanda vingine!Tatizo sisi wenyewe huo uwekezaji hatutaki, tunataka watu wa nje ndo waje kuwekeza na kuingia gharama za kutulipa mishahara na tipu kibao, imagine watu wameanza kwenda Dubai na China kuleta hivyo vitu kuuza ndani lakini kwenda kununua mashine na ujuzi hawakuta kabisa sasa hao watu ukiwa Kama Raisi utaletea nini zaidi ya kuwaletea vitu vya kuuza na kununua.
Wakati Ujerumani imegawanyika magharibi na mashariki, Ujerumani Mashariki ilishikilia sana hii sera ya protectionism(kulinda viwanda vya ndani). Bidhaa nyingi hazikuruhusiwa kuagizwa toka nje ya nchi hivyo watu wakalazimika kununua kutoka ndani na viwanda vikaweza kuendelea...
Wakati Ujerumani imegawanyika magharibi na mashariki, Ujerumani Mashariki ilishikilia sana hii sera ya protectionism(kulinda viwanda vya ndani). Bidhaa nyingi hazikuruhusiwa kuagizwa toka nje ya nchi hivyo watu wakalazimika kununua kutoka ndani na viwanda vikaweza kuendelea...
Tusikariri Extrovet. Dunia ya leo si ya 1960 wakati tunapata uhuru.Ila importation inaumiza uchumi wetu zaidi! Mie nafikiri encouragement ndio approach nzuri zaidi
Mtu akitazama hoja yako anaweza kuamini una hoja za msingi, ni ujinga kuzuia bidhaa za Kenya, huku za China zimejaa madukani, tena nyingi zikiwa na ubora duni. Hatukatai kulinda viwanda vya ndani, lakini isiwe sehemu ya kutupatia bidhaa duni.Mnakuja na mifano ya kijinga hapa kutetea uamuzi mbovu wa SSH, mpaka saivi mataifa makubwa yana sera za kulinda bidhaa zao dhidi ya ushindani usio sawa, si USA , Europe wala China hawa wote wanalinda bidhaa zao dhidi ya ushindani usio sawa...