Sokoine alikua Waziri Mkuu wa nchi gani...!!?1. Miaka zaidi ya 60 toka tupate Uhuru sijawahi kushuhudia Mazishi ye Waziri Mkuu (Mstaafu).
2. Nimeshuhudia mazishi ya Rais, Rais Mstaafu na Makamu wa Rais (Mstaafu). Mwenye kujua taratibu zake zipoje?
3. Je Ile sheria ya Viongozi kuzikwa Dodoma ilipita Bungeni?
Amesema mstaafu....yule alikuwa kaziniSokoine alikua Waziri Mkuu wa nchi gani...!!?
1. Miaka zaidi ya 60 toka tupate Uhuru sijawahi kushuhudia Mazishi ye Waziri Mkuu (Mstaafu).
2. Nimeshuhudia mazishi ya Rais, Rais Mstaafu na Makamu wa Rais (Mstaafu). Mwenye kujua taratibu zake zipoje?
3. Je Ile sheria ya Viongozi kuzikwa Dodoma ilipita Bungeni?
Nani akubali kuzikwa sehemu ambayo hakuzaliwa na ana kwao?1. Miaka zaidi ya 60 toka tupate Uhuru sijawahi kushuhudia Mazishi ya Waziri Mkuu (Mstaafu) Narudia WAZIRI MKUU (Mstaafu) usinitajie Sokoine.
2. Nimeshuhudia mazishi ya Rais, Rais Mstaafu na Makamu wa Rais (Mstaafu). Mwenye kujua taratibu zake zipoje?
3. Je Ile sheria ya Viongozi kuzikwa Dodoma ilipita Bungeni?
Rashidi Mfaume Kawawa alikua waziri wa elimu sio na sio waziri Mkuu wa Tanganyika na baadae JMT kama hutaki kumskia Moringe Sokoine 🐒1. Miaka zaidi ya 60 toka tupate Uhuru sijawahi kushuhudia Mazishi ya Waziri Mkuu (Mstaafu) Narudia WAZIRI MKUU (Mstaafu) usinitajie Sokoine.
2. Nimeshuhudia mazishi ya Rais, Rais Mstaafu na Makamu wa Rais (Mstaafu). Mwenye kujua taratibu zake zipoje?
3. Je Ile sheria ya Viongozi kuzikwa Dodoma ilipita Bungeni?
Hawa ndo mawaziri wakuu Wa Tanganyika na Tanzania tangu mwaka 1962 Tanganyika ilipokuwa Jamhuri1. Miaka zaidi ya 60 toka tupate Uhuru sijawahi kushuhudia Mazishi ya Waziri Mkuu (Mstaafu) Narudia WAZIRI MKUU (Mstaafu) usinitajie Sokoine.
2. Nimeshuhudia mazishi ya Rais, Rais Mstaafu na Makamu wa Rais (Mstaafu). Mwenye kujua taratibu zake zipoje?
3. Je Ile sheria ya Viongozi kuzikwa Dodoma ilipita Bungeni?
Aisee una maana Salim Ahmed Salim kashafariki?. RIPHawa ndo mawaziri wakuu Wa Tanganyika na Tanzania tangu mwaka 1962 Tanganyika ilipokuwa Jamhuri
WAliofariki ni 1,2,3,57 na 10 kafa sasa..
- Rashidi Kawawa (1962–1967)
- Amir H. Jamal (1967–1972)
- Edward Moringe Sokoine (1972–1980)
- Cleopa Msuya (1980–1983)
- Salim Ahmed Salim (1984–1985)
- Joseph Warioba (1985–1990)
- John Malecela (1990–1994)
- Cleopa Msuya (1994–1995)
- Frederick Sumaye (1995–2005)
- Edward Lowassa (2005–2008)
- Mizengo Pinda (2008–2015)
- Majaliwa Kassim Majaliwa (2015–mpaka sasa)..
Ina maana ina maana kwa wote hao hukuona mazishi yao?
Aisee una maana Salim Ahmed Salim kashafariki?. RIP
😅😅😅🤣Aisee una maana Salim Ahmed Salim kashafariki?. RIP
HahahaNaona kammaliza hadi mzee Malecela.