Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Protokali ni ile ile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ease! Ease! Sukuma gang.What an Embicile!..
Shukrani sana mkuuWaraka wa Utumishi no.3 wa mwaka 2002 Ukisomwa pamoja na Kanuni Za kudumu za utumushi wa Umma mwaka marekebisho ya mwaka 2009 (Standing order of Public servants 2009) pamoja na Kanuni za Utumishi wa umma zanzibar za mwaka 2014..
Sheria ya Mfuko wa jamii kwa watumishi wa Umma (Wastaafu) sheria namba 2 ya mwaka 2018 na zingine pia
Lakini ndipo historian inapoanzia huwezi kumtoa kwenye orodha ya mawaziri wakuu wa nchi yetuSikuwa na haja ya kumuandika Nyerere kwa sababu kipindi anakuwa Waziri Mkuu Tanganyika haikuwa Jamhuri ilkuwa ni Jimbo la Uingerez
Mpaka afe mzanzibarZanzibar tumesahaulika kwenye kuuaga mwili
Nyerere pia alikua waziri mkuu na Rais wa kwanza wa Tanganyika.Hawa ndo mawaziri wakuu Wa Tanganyika na Tanzania tangu mwaka 1962 Tanganyika ilipokuwa Jamhuri
WAliofariki ni 1,2,3, na 10 kafa sasa..
- Rashidi Kawawa
- Amir H. Jamal **
- Edward Moringe Sokoine
- Cleopa Msuya
- Salim Ahmed Salim
- Joseph Warioba
- John Malecela
- Cleopa Msuya
- Frederick Sumaye
- Edward Lowassa
- Mizengo Pinda
- Majaliwa Kassim Majaliwa (2015–mpaka sasa)..
Ina maana ina maana kwa wote hao hukuona mazishi yao?
Amir Jamal hajawahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania labda kama ni nchi nyingine.Hawa ndo mawaziri wakuu Wa Tanganyika na Tanzania tangu mwaka 1962 Tanganyika ilipokuwa Jamhuri
WAliofariki ni 1,2,3, na 10 kafa sasa..
- Rashidi Kawawa
- Amir H. Jamal **
- Edward Moringe Sokoine
- Cleopa Msuya
- Salim Ahmed Salim
- Joseph Warioba
- John Malecela
- Cleopa Msuya
- Frederick Sumaye
- Edward Lowassa
- Mizengo Pinda
- Majaliwa Kassim Majaliwa (2015–mpaka sasa)..
Ina maana ina maana kwa wote hao hukuona mazishi yao?