Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maandishi ndiyo hayako sawa, lkn kwa majukumu wote ni wasoma magazeti tu.Mkuu With all Due Respects!
naomba Nikueleweshe tena..
mkuchika Ni waziri wa nchi ofisi ya Rais yaani "Ministry of State President office for special work."
Ila kwa Amiri alikuwa ni "Minister without Portfolio"
Unaona hayo maandishi na hizo kazi ziko sawa?.... Minister of state in president office for special work na "Minister without portfolio"
Wanalingana?
kama ukisema wanalingana bhasi kuna kitu kwako Hakiko sawa
Amir Habib Jamal hakuwa mzungu. Alikuwa ni mhindi alizaliwa Mwanza 1921 na kufarikia Vancouver Canada 21 March 1995.No.2 au Amiri Habib Jamal Alikuwa Mzungu na waziri na pia alikuwa Mbunge wa Morogoro kutoka mwaka 1960 mpaka 1985..
Sema nimesahau kuandika mwaka vizuri lakini nahisi kati ya mwaka 83 mpaka 85 alikuwa waziri asiye na wizara maalumu maana yake alikuwa waziri mkuu Na aliweza kufanya kazi wizara yoyote
alichukua Uwaziri mkuu kwa Mda mfupi sana..
Kabla hajaPewa uwaziri wa Fedha mpaka mwaka 1985 na bado alibaki kuwa Mwakilishi wa Tanzania UN mpaka anapofariki mwaka 1995
View attachment 2901062
View attachment 2901063
Waraka wa Utumishi no.3 wa mwaka 2002 Ukisomwa pamoja na Kanuni Za kudumu za utumushi wa Umma mwaka marekebisho ya mwaka 2009 (Standing order of Public servants 2009) pamoja na Kanuni za Utumishi wa umma zanzibar za mwaka 2014..Shukrani mkuu, kuna document yiyote tunaweza rejea?
Nimeshalijibu hili swali alikuwa Mhunndi jamii ya kigujaratAmir Habib Jamal hakuwa mzungu. Alikuwa ni mhindi alizaliwa Mwanza 1921 na kufarikia Vancouver Canada 21 March 1995.
Rejea katiba za miaka yao ya utawala utaelewa nachosemaMaandishi ndiyo hayako sawa, lkn kwa majukumu wote ni wasoma magazeti tu.
Ndo maana nimemuwekea Nyota nilijua lazma watu waje juu kumhusu..Kama nikutokuwa na wizara Maalumu mbona wapo wengine?Muondoe tu huyo muhindi hajawahi kuwa Waziri Mkuu
Sent from my SM-A107M using JamiiForums mobile app
1. Miaka zaidi ya 60 toka tupate Uhuru sijawahi kushuhudia Mazishi ya Waziri Mkuu (Mstaafu) Narudia WAZIRI MKUU (Mstaafu) usinitajie Sokoine.
2. Nimeshuhudia mazishi ya Rais, Rais Mstaafu na Makamu wa Rais (Mstaafu). Mwenye kujua taratibu zake zipoje?
3. Je Ile sheria ya Viongozi kuzikwa Dodoma ilipita Bungeni?
Vuta subira, muda si mrefu utajua kuhusu protokali.1. Miaka zaidi ya 60 toka tupate Uhuru sijawahi kushuhudia Mazishi ya Waziri Mkuu (Mstaafu) Narudia WAZIRI MKUU (Mstaafu) usinitajie Sokoine.
2. Nimeshuhudia mazishi ya Rais, Rais Mstaafu na Makamu wa Rais (Mstaafu). Mwenye kujua taratibu zake zipoje?
3. Je Ile sheria ya Viongozi kuzikwa Dodoma ilipita Bungeni?
Nadhani hujui nini maana ya Jamhuri, Tanganyika baada ya Dec 1961 haikuwa chini ya Uingereza otherwise utuambie mpaka leo kwa kuwa ni wanachama wa common wealth bado tuko chini ya Uingereza, nenda kasome upya forms of government..Sikuwa na haja ya kumuandika Nyerere kwa sababu kipindi anakuwa Waziri Mkuu Tanganyika haikuwa Jamhuri ilkuwa ni Jimbo la Uingerez
Zanzibar mbona hauletwi mwili. Masai tupo wengi huku
With all Due Respects Sir!Nadhani hujui nini maana ya Jamhuri, Tanganyika baada ya Dec 1961 haikuwa chini ya Uingereza otherwise utuambie mpaka leo kwa kuwa ni wanachama wa common wealth bado tuko chini ya Uingereza, nenda kasome upya forms of government..
5.Edward Moringe Sokoine (1983–1984)Hawa ndo mawaziri wakuu Wa Tanganyika na Tanzania tangu mwaka 1962 Tanganyika ilipokuwa Jamhuri
WAliofariki ni 1,2,3, na 10 kafa sasa..
- Rashidi Kawawa (1962–1967)
- Amir H. Jamal (1967–1972)**
- Edward Moringe Sokoine (1972–1980)
- Cleopa Msuya (1980–1983)
- Salim Ahmed Salim (1984–1985)
- Joseph Warioba (1985–1990)
- John Malecela (1990–1994)
- Cleopa Msuya (1994–1995)
- Frederick Sumaye (1995–2005)
- Edward Lowassa (2005–2008)
- Mizengo Pinda (2008–2015)
- Majaliwa Kassim Majaliwa (2015–mpaka sasa)..
Ina maana ina maana kwa wote hao hukuona mazishi yao?
Mbona hujamuweka Nyerere?Hawa ndo mawaziri wakuu Wa Tanganyika na Tanzania tangu mwaka 1962 Tanganyika ilipokuwa Jamhuri
WAliofariki ni 1,2,3, na 10 kafa sasa..
- Rashidi Kawawa (1962–1967)
- Amir H. Jamal (1967–1972)**
- Edward Moringe Sokoine (1972–1980)
- Cleopa Msuya (1980–1983)
- Salim Ahmed Salim (1984–1985)
- Joseph Warioba (1985–1990)
- John Malecela (1990–1994)
- Cleopa Msuya (1994–1995)
- Frederick Sumaye (1995–2005)
- Edward Lowassa (2005–2008)
- Mizengo Pinda (2008–2015)
- Majaliwa Kassim Majaliwa (2015–mpaka sasa)..
Ina maana ina maana kwa wote hao hukuona mazishi yao?
Nimetoa ufafanu,i zaidi ya Mara 100 pitia Post zote za kwangu humuMbona hujamuweka Nyerere?
What an Embicile!..Jiwe alizungushwa majiji yote ndipo akazikwa, walifupisha kwa kuwa aliua watu, alipora mali za watu, aliteka watu na kupiga watu risasi.
Sasa kwa huyu waziri mkuu mstaafu Edward Lowasa kwa kuwa alikuwa mtu wa watu atazungushwa mikoa yote na wilaya zote ndipo azikwe.
RIP Edo
Tulia na acha kukurupuka!1. Miaka zaidi ya 60 toka tupate Uhuru sijawahi kushuhudia Mazishi ya Waziri Mkuu (Mstaafu) Narudia WAZIRI MKUU (Mstaafu) usinitajie Sokoine.
2. Nimeshuhudia mazishi ya Rais, Rais Mstaafu na Makamu wa Rais (Mstaafu). Mwenye kujua taratibu zake zipoje?
3. Je Ile sheria ya Viongozi kuzikwa Dodoma ilipita Bungeni?
Mkuu, kuwa waziri asiye na Wizara maalumu haimufanyi awe Waziri Mkuu.Sema nimesahau kuandika mwaka vizuri lakini nahisi kati ya mwaka 83 mpaka 85 alikuwa waziri asiye na wizara maalumu maana yake alikuwa waziri mkuu Na aliweza kufanya kazi wizara yoyote
Ok sawaMkuu, kuwa waziri asiye na Wizara maalumu haimufanyi awe Waziri Mkuu.
Ukweli ni kuwa Jamal hakuwahi kuwa Waziri Mkuu. Hicho kipindi unachokitaja ya kati ya 83 na 85 Mawaziri Wakuu walikuwa ni Sokoine na Salim.
Sokoine hakuwa Waziri mkuu kuanzia mwaka 1972.Hawa ndo mawaziri wakuu Wa Tanganyika na Tanzania tangu mwaka 1962 Tanganyika ilipokuwa Jamhuri
WAliofariki ni 1,2,3, na 10 kafa sasa..
- Rashidi Kawawa (1962–1967)
- Amir H. Jamal (1967–1972)**
- Edward Moringe Sokoine (1972–1980)
- Cleopa Msuya (1980–1983)
- Salim Ahmed Salim (1984–1985)
- Joseph Warioba (1985–1990)
- John Malecela (1990–1994)
- Cleopa Msuya (1994–1995)
- Frederick Sumaye (1995–2005)
- Edward Lowassa (2005–2008)
- Mizengo Pinda (2008–2015)
- Majaliwa Kassim Majaliwa (2015–mpaka sasa)..
Ina maana ina maana kwa wote hao hukuona mazishi yao?