Protokali ya Mazishi ya Waziri Mkuu Mstaafu ipoje?

Protokali ya Mazishi ya Waziri Mkuu Mstaafu ipoje?

Hawa ndo mawaziri wakuu Wa Tanganyika na Tanzania tangu mwaka 1962 Tanganyika ilipokuwa Jamhuri
  1. Rashidi Kawawa (1962–1967)
  2. Amir H. Jamal (1967–1972)
  3. Edward Moringe Sokoine (1972–1980)
  4. Cleopa Msuya (1980–1983)
  5. Salim Ahmed Salim (1984–1985)
  6. Joseph Warioba (1985–1990)
  7. John Malecela (1990–1994)
  8. Cleopa Msuya (1994–1995)
  9. Frederick Sumaye (1995–2005)
  10. Edward Lowassa (2005–2008)
  11. Mizengo Pinda (2008–2015)
  12. Majaliwa Kassim Majaliwa (2015–mpaka sasa)..
WAliofariki ni 1,2,3, na 10 kafa sasa..
Ina maana ina maana kwa wote hao hukuona mazishi yao?
Waziri Mkuu wa kwanza alikua Nyerere kuanzia 9 Decemba 1961 hadi alipojiuzulu 22 Januari 1962 na kumwachia Kawawa ili yeye aende kuimarisha TANU mikoani
 
Waziri Mkuu wa kwanza alikua Nyerere kuanzia 9 Decemba 1961 hadi alipojiuzulu 22 Januari 1962 na kumwachia Kawawa ili yeye aende kuimarisha TANU mikoani
Nyerere Hakujiuzuru Mkuu!
Tanganyika ilipokuwa Jamhuri..
Ilipaswa iwe na kiongozi..

Kipindi inapata uhuru mwaka 1961 ilikuwa chini ya utawala wa Kikoloni..kama Nchi huru iliyochini ya malkia..
NChi zote zilizochini ya malkia kiongozi mkuu wa nchi hizo huwa ni Waziri Mkuu..

Baada ya Tanganyika kuwa Jamhuri kiongozi wake akapanda cheo na kuwa Rais mwaka 1962..
Umenielewa mkuu..
Kwahyo.na yeye aliteua Jopo lake la mawaziri jipya na kuondoa lile liliokuwa la kikoloni na akamteua Kawawa kuwa waziri mkuu
 
 
1. Miaka zaidi ya 60 toka tupate Uhuru sijawahi kushuhudia Mazishi ya Waziri Mkuu (Mstaafu) Narudia WAZIRI MKUU (Mstaafu) usinitajie Sokoine.

2. Nimeshuhudia mazishi ya Rais, Rais Mstaafu na Makamu wa Rais (Mstaafu). Mwenye kujua taratibu zake zipoje?

3. Je Ile sheria ya Viongozi kuzikwa Dodoma ilipita Bungeni?
Kifo hakina protocol, msiba wowote ni wa familia husika, wengine kazi yao ni michango tu.
 
1. Miaka zaidi ya 60 toka tupate Uhuru sijawahi kushuhudia Mazishi ya Waziri Mkuu (Mstaafu) Narudia WAZIRI MKUU (Mstaafu) usinitajie Sokoine.

2. Nimeshuhudia mazishi ya Rais, Rais Mstaafu na Makamu wa Rais (Mstaafu). Mwenye kujua taratibu zake zipoje?

3. Je Ile sheria ya Viongozi kuzikwa Dodoma ilipita Bungeni?
Anza kufuatilia tar 13 nimesikia kwenye taarifa ya habari ndo kutakuwa na hizo Taratibu kiserikali!
Tar 14 tutakuwa pale Azania front kwenye ibada ya mazishi kanisa kuu kkkt!
 
Hawa ndo mawaziri wakuu Wa Tanganyika na Tanzania tangu mwaka 1962 Tanganyika ilipokuwa Jamhuri
  1. Rashidi Kawawa (1962–1967)
  2. Amir H. Jamal (1967–1972)
  3. Edward Moringe Sokoine (1972–1980)
  4. Cleopa Msuya (1980–1983)
  5. Salim Ahmed Salim (1984–1985)
  6. Joseph Warioba (1985–1990)
  7. John Malecela (1990–1994)
  8. Cleopa Msuya (1994–1995)
  9. Frederick Sumaye (1995–2005)
  10. Edward Lowassa (2005–2008)
  11. Mizengo Pinda (2008–2015)
  12. Majaliwa Kassim Majaliwa (2015–mpaka sasa)..
WAliofariki ni 1,2,3, na 10 kafa sasa..
Ina maana ina maana kwa wote hao hukuona mazishi yao?
No. 1 uko sahihi. No. 2 hakuwahi kuwa waziri mkuu. No.3, rejea mleta mada anazungumzia mstaafu Sokoine alifariki akiwa kazini, hakuwa amestaafu.
 
No. 1 uko sahihi. No. 2 hakuwahi kuwa waziri mkuu. No.3, rejea mleta mada anazungumzia mstaafu Sokoine alifariki akiwa kazini, hakuwa amestaafu.
No.2 au Amiri Habib Jamal Alikuwa Mgujarat na waziri na pia alikuwa Mbunge wa Morogoro kutoka mwaka 1960 mpaka 1985..

Sema nimesahau kuandika mwaka vizuri lakini nahisi kati ya mwaka 83 mpaka 85 alikuwa waziri asiye na wizara maalumu maana yake alikuwa waziri mkuu Na aliweza kufanya kazi wizara yoyote

alichukua Uwaziri mkuu kwa Mda mfupi sana..

Kabla hajaPewa uwaziri wa Fedha mpaka mwaka 1985 na bado alibaki kuwa Mwakilishi wa Tanzania UN mpaka anapofariki mwaka 1995
images (5).jpeg

images (4).jpeg
 
No.2 au Amiri Habib Jamal Alikuwa Mzungu na waziri na pia alikuwa Mbunge wa Morogoro kutoka mwaka 1960 mpaka 1985..

Sema nimesahau kuandika mwaka vizuri lakini nahisi kati ya mwaka 83 mpaka 85 alikuwa waziri asiye na wizara maalumu maana yake alikuwa waziri mkuu Na aliweza kufanya kazi wizara yoyote

alichukua Uwaziri mkuu kwa Mda mfupi sana..

Kabla hajaPewa uwaziri wa Fedha mpaka mwaka 1985 na bado alibaki kuwa Mwakilishi wa Tanzania UN mpaka anapofariki mwaka 1995
View attachment 2901062
View attachment 2901063
Ahsante kwa ufafanuzi Mkuu...
 
Hawa ndo mawaziri wakuu Wa Tanganyika na Tanzania tangu mwaka 1962 Tanganyika ilipokuwa Jamhuri
  1. Rashidi Kawawa (1962–1967)
  2. Amir H. Jamal (1967–1972)
  3. Edward Moringe Sokoine (1972–1980)
  4. Cleopa Msuya (1980–1983)
  5. Salim Ahmed Salim (1984–1985)
  6. Joseph Warioba (1985–1990)
  7. John Malecela (1990–1994)
  8. Cleopa Msuya (1994–1995)
  9. Frederick Sumaye (1995–2005)
  10. Edward Lowassa (2005–2008)
  11. Mizengo Pinda (2008–2015)
  12. Majaliwa Kassim Majaliwa (2015–mpaka sasa)..
WAliofariki ni 1,2,3, na 10 kafa sasa..
Ina maana ina maana kwa wote hao hukuona mazishi yao?
Kabla ya Salim Ahmed Salim,...yaani 1984 waziri mkuu alikuwa tena Moringe Sokoine. Sokoine alikuwa waziri mkuu vipindi viwili
 
1. Miaka zaidi ya 60 toka tupate Uhuru sijawahi kushuhudia Mazishi ya Waziri Mkuu (Mstaafu) Narudia WAZIRI MKUU (Mstaafu) usinitajie Sokoine.

2. Nimeshuhudia mazishi ya Rais, Rais Mstaafu na Makamu wa Rais (Mstaafu). Mwenye kujua taratibu zake zipoje?

3. Je Ile sheria ya Viongozi kuzikwa Dodoma ilipita Bungeni?
atazikwa kama viongozi wa juu wa serikali hata kama alikuwa mstaafu;
Kwa mujibu wa Sheria Na.1 ya mwaka 2006, Viongozi ambao
wanapofariki misiba yao ni ya kitaifa ni wafuatao:-
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
 Makamu wa Rais
 Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
 Waziri Mkuu
 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi
ya Zanzibar
 Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya
Zanzibar
 Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
 Jaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
 Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar
 Viongozi wote waliotajwa hapo juu wastaafu.
 Waziri Kiongozi Mstaafu
 
No.2 au Amiri Habib Jamal Alikuwa Mzungu na waziri na pia alikuwa Mbunge wa Morogoro kutoka mwaka 1960 mpaka 1985..

Sema nimesahau kuandika mwaka vizuri lakini nahisi kati ya mwaka 83 mpaka 85 alikuwa waziri asiye na wizara maalumu maana yake alikuwa waziri mkuu Na aliweza kufanya kazi wizara yoyote

alichukua Uwaziri mkuu kwa Mda mfupi sana..

Kabla hajaPewa uwaziri wa Fedha mpaka mwaka 1985 na bado alibaki kuwa Mwakilishi wa Tanzania UN mpaka anapofariki mwaka 1995
View attachment 2901062
View attachment 2901063
Amir Jamal hakuwahi kuwa Waziri Mkuu...Rejea tena rekodi zako za kihistoria...Vile vile hakuwa "mzungu"....alikua ni mtanzania mwenye asili ya Asia.....
 
Hawa ndo mawaziri wakuu Wa Tanganyika na Tanzania tangu mwaka 1962 Tanganyika ilipokuwa Jamhuri
  1. Rashidi Kawawa (1962–1967)
  2. Amir H. Jamal (1967–1972)
  3. Edward Moringe Sokoine (1972–1980)
  4. Cleopa Msuya (1980–1983)
  5. Salim Ahmed Salim (1984–1985)
  6. Joseph Warioba (1985–1990)
  7. John Malecela (1990–1994)
  8. Cleopa Msuya (1994–1995)
  9. Frederick Sumaye (1995–2005)
  10. Edward Lowassa (2005–2008)
  11. Mizengo Pinda (2008–2015)
  12. Majaliwa Kassim Majaliwa (2015–mpaka sasa)..
WAliofariki ni 1,2,3, na 10 kafa sasa..
Ina maana ina maana kwa wote hao hukuona mazishi yao?
Wakwanza kabisa alikuwa ni Mwalimi Julius Kambarage Nyerere, ambaye alishika wadhifa huo kwa muda wa siku 45 tuu, kaisome histsoria vyema ndiyo uje kuandika tena hapa mkuu
 
Hawa ndo mawaziri wakuu Wa Tanganyika na Tanzania tangu mwaka 1962 Tanganyika ilipokuwa Jamhuri
  1. Rashidi Kawawa (1962–1967)
  2. Amir H. Jamal (1967–1972)
  3. Edward Moringe Sokoine (1972–1980)
  4. Cleopa Msuya (1980–1983)
  5. Salim Ahmed Salim (1984–1985)
  6. Joseph Warioba (1985–1990)
  7. John Malecela (1990–1994)
  8. Cleopa Msuya (1994–1995)
  9. Frederick Sumaye (1995–2005)
  10. Edward Lowassa (2005–2008)
  11. Mizengo Pinda (2008–2015)
  12. Majaliwa Kassim Majaliwa (2015–mpaka sasa)..
WAliofariki ni 1,2,3, na 10 kafa sasa..
Ina maana ina maana kwa wote hao hukuona mazishi yao?
Amir Habib Jamal sidhani kama aliwahi kuwa waziri mkuu
 
Amir Jamal hakuwahi kuwa Waziri Mkuu...Rejea tena rekodi zako za kihistoria...Vile vile hakuwa "mzungu"....alikua ni mtanzania mwenye asili ya Asia.....
Amiri Jamal alizaliwa na wazazi wa Ki Gujarati au unaweza ukasema Wahindi wa Asili au wahindi mama yake aliitwa Kulsum Thawer na baba yake Habib Jamal, ambaye ndo mwanzilishi wa Asian Association..

Sasa kuhusu Yeye kuwa Waziri Mkuu nimetoa ufafanuzi Rudia kusoma Taratibu hiyo Post nimesema miaka kadhaa alikuwa waziri Mchangia au waziri asiye na wizara maalumu Hicho cheo kilikuwa ni sawa na waziri Mkuu..

Sijui hata unajua Neno Mtanzania ni kina nani?
Amiri Jamal hakuwa Mtanzania alikuwa i Muhindi hata alipofariki hakufanyiwa huduma hapa hana ndugu hata mmoja hapa..
 
Wakwanza kabisa alikuwa ni Mwalimi Julius Kambarage Nyerere, ambaye alishika wadhifa huo kwa muda wa siku 45 tuu, kaisome histsoria vyema ndiyo uje kuandika tena hapa mkuu
Sikuwa na haja ya kumuandika Nyerere kwa sababu kipindi anakuwa Waziri Mkuu Tanganyika haikuwa Jamhuri ilkuwa ni Jimbo la Uingerez
 
Back
Top Bottom