Protokali ya Mazishi ya Waziri Mkuu Mstaafu ipoje?

Shukrani sana mkuu
 
Nyerere pia alikua waziri mkuu na Rais wa kwanza wa Tanganyika.
 
CHADEMA na ACT wazalendo hatimae wamekumbukwa
 
Amir Jamal hajawahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania labda kama ni nchi nyingine.
Waziri Mkuu wa kwanza ni Julius Nyerere sema uwaziri mkuu wake ulikuwa wa ukuu wa nchi yaani Waziri mkuu mtendaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…