Prove Me Wrong: Kwamba 85% ya wadada wanaopatikana humu JF ni Wabaya Wa Sura adi Maumbo

Prove Me Wrong: Kwamba 85% ya wadada wanaopatikana humu JF ni Wabaya Wa Sura adi Maumbo

fcff7371c044eae615846ade79aa2095.jpg
MUONGO
 
Hivi huwa mna waona wapi? Mimi tu ndiye sijapata bahati ya kuwaona

Hili gundu hili mwee
 
Hahaha hahah Nimekua nikianguaga kicheko sana nikiona kuwa **** mchizi umu anajitia ujaja akijiongeza kwa watoto wa kike ambao kimsingi huwa sanalinga sana humu kwakuwa tu atuna access ya kuwaona ...

Sasa ndugu zangu mnatakiwa kufahamu kwamba wachina wengi ambao mnawaona umu wakilinga na nyie mkidhini kuwa ni mapini ( wazuri wa kuvutia sura adi shape zao) kuwa Ni wabaya kinoma na pengine ukiwaona unaweza ata ukajichekaa kuwa ni mjinga kwa kuzania kitu ambaeho sio kweli ....

Takwimu zinaonesha 85% ya wasichana ambao wako humu ni WABAYA KICHIZI YANI [emoji12] [emoji15] [emoji15] [emoji16]

JIANGALIE KAMA UNATAFUTA MLEMBO HUMU HAHAH[emoji15] [emoji2]
Ila hapo kwenye takwimu umepunja izo asilimia mkuu.Tafiti zakimataifa zinasema ni asilimia 97% mkuu rekebusha hapo mkuu twende sawa.
 
Tena kama wale wa ccm sura kama anakula limao au ndimu

Swissme
we nae una matatizo makubwa sana ya kisaikolojia, kwa akili yako unajua ccm ni concrete matter unayoweza kuipima kwa vizio fulani,
ndugu, ccm, chadema, nccr mageuzi, act wazalendo, n.k ni imani zilizojijenga chini ya falsafa za kisiasa, ccm haiwezi ikawa na watu wake kwa misingi ya vinasaba, watu ni walewale, imani tofauti..
Don't hate too much others who differ with you in terms of political philosophies!! take it normal
 
mahondaw wangu...
She is beautiful words wont bring me down... She's got a new addiction for every day and night...
Though we live a crazy life but she takes away all the pain...

Her lips, her eyes, her heart, her attitude her, She took my heart... Once i had a taste of her i have never been the same she made me go insane about her... now am addicted to my mahondaw...



Cc: mahondaw
Hongera kwa kushika pembe wachinjaji wanakuchora tu.
 
Hizo takwimu za kuonyesha dada zetu ni ugly umezitoa wapi.

Ebu kuwa na adabu bas kwa dada zetu. Mwezi mpya ndio kwanza umeanza. Halafu unaanza kuwaletea dada zetu uchuro. Iwe mwanzo na mwisho kudhihaki dada zetu.



jje'
sakayo
paprika
Mahondaw
Shunie.
 
Back
Top Bottom