bigmind
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 12,457
- 12,689
Wengi wameshindikana mtaani kwaolol, wadada wa humu wana shida sana, lol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi wameshindikana mtaani kwaolol, wadada wa humu wana shida sana, lol
lolWengi wameshindikana mtaani kwao
Pamoja na hilo hatujali [emoji4]Hahaha hahah Nimekua nikianguaga kicheko sana nikiona kuwa **** mchizi umu anajitia ujaja akijiongeza kwa watoto wa kike ambao kimsingi huwa sanalinga sana humu kwakuwa tu atuna access ya kuwaona ...
Sasa ndugu zangu mnatakiwa kufahamu kwamba wachina wengi ambao mnawaona umu wakilinga na nyie mkidhini kuwa ni mapini ( wazuri wa kuvutia sura adi shape zao) kuwa Ni wabaya kinoma na pengine ukiwaona unaweza ata ukajichekaa kuwa ni mjinga kwa kuzania kitu ambaeho sio kweli ....
Takwimu zinaonesha 85% ya wasichana ambao wako humu ni WABAYA KICHIZI YANI [emoji12] [emoji15] [emoji15] [emoji16]
JIANGALIE KAMA UNATAFUTA MLEMBO HUMU HAHAH[emoji15] [emoji2]
Loooh!!!Hili ni chimbo la kupatia nondo ukitaka totozi zama badoo na IG hadi utawachoka mwenyewe.
Umeona eeh ..pamoja kiongozi[emoji106]Videmu vya jf vinavyojua kuringa nyuma ya kibodi/simu vinajidai vikali kwakuwa vinatumia Id feki na picha zao hazionekani.
Naunga mkono hoja 100%
Ukijiongoza utawaona tu kiongoz tena easy tuHivi huwa mna waona wapi? Mimi tu ndiye sijapata bahati ya kuwaona
Hili gundu hili mwee
Yap nimewaona nyote yan adi wewe nimeshakuona ...[emoji2]Je umewaona wote isije kua yao uliokutana nao ndo unasema wote
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Ila hapo kwenye takwimu umepunja izo asilimia mkuu.Tafiti zakimataifa zinasema ni asilimia 97% mkuu rekebusha hapo mkuu twende sawa.
[emoji2] huu ndio ule usemi usemao nyani haoni .......[emoji2] [emoji2] [emoji3]Mleta uzi mwenyewe hajui hata kuandika, sasa unampa kazi kubwa tena ya kukusasanya takwimu. Hata takwimu yawezekana hajui ni kitu gani!