Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mtu mbaya duniani, uzuri wa mtu upo machoni kwa mtu, afu mimi ni man sio keWe nawe ndio wale wale tu [emoji2]
Prove yourself right!!!!Hahaha hahah Nimekua nikianguaga kicheko sana nikiona kuwa **** mchizi umu anajitia ujaja akijiongeza kwa watoto wa kike ambao kimsingi huwa sanalinga sana humu kwakuwa tu atuna access ya kuwaona ...
Sasa ndugu zangu mnatakiwa kufahamu kwamba wachina wengi ambao mnawaona umu wakilinga na nyie mkidhini kuwa ni mapini ( wazuri wa kuvutia sura adi shape zao) kuwa Ni wabaya kinoma na pengine ukiwaona unaweza ata ukajichekaa kuwa ni mjinga kwa kuzania kitu ambaeho sio kweli ....
Takwimu zinaonesha 85% ya wasichana ambao wako humu ni WABAYA KICHIZI YANI [emoji12] [emoji15] [emoji15] [emoji16]
JIANGALIE KAMA UNATAFUTA MLEMBO HUMU HAHAH[emoji15] [emoji2]
Tangu nimekua joined umu mbaka Leo nimekutana na wanawake 22 wa umu jf kati ya awo watatu tu ndio niliwaona wazuri na sio mimi tu maana ninapokutanaga na msicha mgeni uwa naenda na clue yangu ya mtu kama tatu ivi ili kumuua confidence kabisa mlegwa na kama anafaa ndipo tunaacha na clue yangu ile si tunaendelea na shughuri ambayo imetukutanisha ...Nini kinakuthibitishia?
Sio vyema kiongozi we kama unataka kuprove kutana naoWaweke picha zao hapa tuwaone.
Kakutana na mazimwi huko anakuja kutufananisha na sisi wengineSio kweli mkuu, sema wewe haujakutana nao aiseeeeee.......
Jf kuna visu vya hatari....[emoji39] [emoji39] [emoji39]
Yani umepiga mmoja alafu unahitimisha kwamba wote wako hvyo c ndio!!???Nilishawai kupiga binti wa humu ndani,kiukweli sio mzuri ila kwakuwa niliyavulia maji nguo ilinibidi kuyaoga,naunga mkonyo hoja
Mkuu juzi kuna hoja ya kuwapiga wanawake makofi ili wanyooke uliunga mkono asilimia 100,hii mbona unafyata mkia? au kwa sababu ya fulani yule ambae ID yake inaanza na e??[emoji30][emoji30][emoji30]umekuja kuuza sura humu ?
Kama chura ipo bado unalipa mwaya!wanaume 97%
humu watu wamejificha sana nyuma ya keyboard...
naweza kukubaliana na mleta uzi visura vyetu vichungu kama maganda ya limao
afu umri umeenda...
ila shusha mpaka 70% atleast
we acha tu humu napangiwa hadi cha kuandika siku hizi espy kaniwezaMkuu juzi kuna hoja ya kuwapiga wanawake makofi ili wanyooke uliunga mkono asilimia 100,hii mbona unafyata mkia? au kwa sababu ya fulani yule ambae ID yake inaanza na e??[emoji30][emoji30][emoji30]
[emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]we acha tu humu napangiwa hadi cha kuandika siku hizi espy kaniweza
Wala hajakosea!!! Sisi wabaya ila yeye kazidi ubaya!!! Kama anajiamini aweke picha [emoji6][emoji6][emoji6]Hizo takwimu za kuonyesha dada zetu ni ugly umezitoa wapi.
Ebu kuwa na adabu bas kwa dada zetu. Mwezi mpya ndio kwanza umeanza. Halafu unaanza kuwaletea dada zetu uchuro. Iwe mwanzo na mwisho kudhihaki dada zetu.
jje'
sakayo
paprika
Mahondaw
Shunie.