Prove Me Wrong: Kwamba 85% ya wadada wanaopatikana humu JF ni Wabaya Wa Sura adi Maumbo

inasemekana wazuri hawapendi kujificha kwa ID feki.
huwaga wana-prefer ku-flaunt uzuri wao kule Instagram, Facebook, etc.
 
Then wanawake wote wabaya kwa sura obviously hupendelea kuweka avatar ya Maua, Midori ,au kaurembo flani,
Then hupenda kuweka avatar za mastaa, jamani msiwe na hofu ya kutopendwa kila mtu ameshaandaliwa mtu wake muache Cu kopy lifee
 
Then wanawake wote wabaya kwa sura obviously hupendelea kuweka avatar ya Maua, Midori ,au kaurembo flani,
Then hupenda kuweka avatar za mastaa, jamani msiwe na hofu ya kutopendwa kila mtu ameshaandaliwa mtu wake muache Cu kopy lifee
Na mtuacheee!
 
huo muandiko tu unaonyesha we ni wa namna gani
 
Humu wema, jokate, Nancy,jaq mengi, faraja kota wote wamo humu....hata millian Hassan nusu mbongo nusu msomali nae yumo.
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] Tuanze na wewe mtoa mada...... Picha yako tafadhali.... [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ watu na mitoso yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…