Prove Me Wrong: Kwamba 85% ya wadada wanaopatikana humu JF ni Wabaya Wa Sura adi Maumbo

Acheni kuwafananisha wanawake wa jf na vitu vya kijinga
Mbna hatujawafananisha na kitu chochote kiongozi tumeeleza tu baadhi ya sifa za wanawake wa Jf hahahaha mashauzi yao na sura zao za ajabu na maumboo yao ya muhindi choma [emoji87] [emoji86]
 
Hivi nyie vidume wa jf sura zenu zikoje kwani? Na mifuko yenu ikoje, hamna hata pesa hlf mnataka mademu wazuri, Nendeni fb kuna mademu wakali....hebu mtuache na vijuso vyetu.
 
Dussu sitaki kujua umetumia kigezo gani kwenye huo utafiti but I can prove you totally wrong.....
Mimi sijui umekutana na wangapi ila mimi nimekutana nao wengi...nikuambie tu kwamba ni MIPINI ya nguvu na wanajitambua mno
 
Lakini hawajamzidi dada yako na mama yako kwa ubaya
 
Lakini hawajamzidi dada yako na mama yako kwa ubaya
Duh,[emoji15] kiongozi umefikia uko sasa mama yangu ameusikaje apo na kwangu mi nimemzungumzia mzazi wa mtu umu mimi?, kwanini ukulupuke kumuusisha mzazi wangu? Hivi wewe ndio umekeleshwa sana? Maana apo ni kukeuka mahadili ya Jf na kinikosea pia? Hata kama umechukizwa kweli sio kumuusisha mzazi wangu Na UKIANGALIA VIZURI HII TREAD IMEPOSTIWA KWENYE JUKWAA LA UTANANI NK. WEWE NDUGU UMENIKOSEA KUMUUSISHA MAMA YANGU NAOMBA UNITAKE RADHI
 
mimi ni mbaya ndio ila sio kama mama yako na dada yako yule ambae hajui hata bikra nani alimtoa.sijui leo anakitembezea wapi
 
Utani gani huo? Watu wanacomment seriously.
 
Dussu sitaki kujua umetumia kigezo gani kwenye huo utafiti but I can prove you totally wrong.....
Mimi sijui umekutana na wangapi ila mimi nimekutana nao wengi...nikuambie tu kwamba ni MIPINI ya nguvu na wanajitambua mno
Kiongoz mshana Jr yaweza ikawa ivo kwakuwa wewe ni mkongwe humu Jf na labda ulio kwisha kutana nao tangu pindi uko umu kipindi iko wengi wao walikua ivo kama ulivyoseama na natumai hawapo humu tena sasahiv ila kwa takwimu za kuanzia niliokutana nao mimi since February 2016 mbaka nikaandika iyo makala ni shida na ndio maana nkagawanya kwa asilimia izo kutokana na sample ambayo nilichukua

Apa nilitumia :Observation method ambayo nishasahau sijui ni type ya qualitative au quantative research
Shule kitambo jaman ....
 
You may be wrong or correct mpaka tuonane nao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…