Prove Me Wrong: Kwamba 85% ya wadada wanaopatikana humu JF ni Wabaya Wa Sura adi Maumbo

Prove Me Wrong: Kwamba 85% ya wadada wanaopatikana humu JF ni Wabaya Wa Sura adi Maumbo

DSC_0216.jpg.cf.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ao wote umewaona wapi? Ukajua 85% ni wabaya,...na leta picha,
 
mkuu huo utafiti ni kama ni kweli, kwa wale wadukuzi na esp wale wanaofanya kazi za kusaidia kwenye dep za IT, kwa vile wana access ya ku run logs... wanawajua karibia user wote wa ofisini wanaotumia jf, kazi yao ni kufuatilia pm na dashboard... n smtimes attitudes zao...

mtoa mada pokea like ya maandishi

ingawa kuna ambao wapo decent.. wazuri.. sio waropokaji... wasikilizaji shape na sura zao ni tulivu hata wakicheka wanacheka kwa aibu... hao ni asilimia 15 tu
 
mkuu huo utafiti ni kama ni kweli, kwa wale wadukuzi na esp wale wanaofanya kazi za kusaidia kwenye dep za IT, kwa vile wana access ya ku run logs... wanawajua karibia user wote wa ofisini wanaotumia jf, kazi yao ni kufuatilia pm na dashboard... n smtimes attitudes zao...

mtoa mada pokea like ya maandishi

ingawa kuna ambao wapo decent.. wazuri.. sio waropokaji... wasikilizaji shape na sura zao ni tulivu hata wakicheka wanacheka kwa aibu... hao ni asilimia 15 tu
Mkuu inaonekana umenielewa vizur sana_,___________________
,,[emoji106] [emoji106] [emoji106]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha hahah Nimekua nikianguaga kicheko sana nikiona kuwa **** mchizi umu anajitia ujaja akijiongeza kwa watoto wa kike ambao kimsingi huwa sanalinga sana humu kwakuwa tu atuna access ya kuwaona ...

Sasa ndugu zangu mnatakiwa kufahamu kwamba wachina wengi ambao mnawaona umu wakilinga na nyie mkidhini kuwa ni mapini ( wazuri wa kuvutia sura adi shape zao) kuwa Ni wabaya kinoma na pengine ukiwaona unaweza ata ukajichekaa kuwa ni mjinga kwa kuzania kitu ambaeho sio kweli ....

Takwimu zinaonesha 85% ya wasichana ambao wako humu ni WABAYA KICHIZI YANI [emoji12] [emoji15] [emoji15] [emoji16]

JIANGALIE KAMA UNATAFUTA MLEMBO HUMU HAHAH[emoji15] [emoji2]
Sio kweli.........mie nilipatana na mrembo humu....yuko poa....portable....kwa mie mhaya nilishangaa.......maana yuko dar ila kitu wet kidogo nipige katerero......nampenda mpaka leo. Najua atapita hapa. My dear N nakupendaga tu hadi leo we hujui ila utakuwa unajua.
 
Siwezi kusema au kuchangia chochote. Sijawahi hata cku moja kukutana na dem yoyote wa humu ndani(jforum). Wadada mnitafute tuonane ili niweze kuwatetea.

sent from using iphone 7+ mobile app
 
Hahaha hahah Nimekua nikianguaga kicheko sana nikiona kuwa **** mchizi umu anajitia ujaja akijiongeza kwa watoto wa kike ambao kimsingi huwa sanalinga sana humu kwakuwa tu atuna access ya kuwaona ...

Sasa ndugu zangu mnatakiwa kufahamu kwamba wachina wengi ambao mnawaona umu wakilinga na nyie mkidhini kuwa ni mapini ( wazuri wa kuvutia sura adi shape zao) kuwa Ni wabaya kinoma na pengine ukiwaona unaweza ata ukajichekaa kuwa ni mjinga kwa kuzania kitu ambaeho sio kweli ....

Takwimu zinaonesha 85% ya wasichana ambao wako humu ni WABAYA KICHIZI YANI [emoji12] [emoji15] [emoji15] [emoji16]

JIANGALIE KAMA UNATAFUTA MLEMBO HUMU HAHAH[emoji15] [emoji2]
Prove you are right first, before u ask us to prove u wrong.
 
Mkuu futa kauli,humu kuna visuuuu ohooo!!!

Niliwahi onana na mmoja aisee ni beautiful yule dada, ilibidi nimwambie sijiwezi kwako nifanye chochote.
Halafu alikufanyaje?
 
Back
Top Bottom