Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 3,230
- 6,742
Wana mapungufu kweli ni kama haya lakini unaonaje kama wakirekebisha haya ili kuwe recruitment process nzuri na bora mana sasa wengi walokuwa hata shortlist hawaitwi sasa huitwa na wanapata ajira.Utumishi wapumzike, kwanza wana dharau, hawako considerate. Urasimu uko pale pale. Acha mashirika yaendelee kuajiri kama kawaida
Kuna mdogo wangu aliwahi kupangiwa interview branch ya mwanza tena wao ndo walikosea kwenye ku sort adress na tarehe ya interview inatangazwa alikua hospitalini Dar hoi, akapata nafuu siku moja kabla ya interview. kaenda pale DUCE na cannula mkononi alitoka hospitali kwa kujikaza anajaribu kuwaelezea situation anaomba afanyie interview pale walimkatalia. Nikasema kweli ni kazi yao. Ila ubinadamu sifuri
Ni kweli kbsa watu hawakumuelwa vzr mamaIla Kuna kitu naona watanzania wengi sio waelewa ndo maana hata mitihani tunafeli.
Nilivyomuelewa mm ni kwamba zile ajira za mda za haraka haraka..
Nimemuelewa vizuri sana.Hujaelewa alichoongelewa aliongea miradi ambayo ni ya muda mfupi ajira zake sio lazima utumishi ili kuendana na muda wa miradi
Wapumzike Ili uingie jop kirahisiUtumishi wapumzike, kwanza wana dharau, hawako considerate. Urasimu uko pale pale. Acha mashirika yaendelee kuajiri kama kawaida
Kuna mdogo wangu aliwahi kupangiwa interview branch ya mwanza tena wao ndo walikosea kwenye ku sort adress na tarehe ya interview inatangazwa alikua hospitalini Dar hoi, akapata nafuu siku moja kabla ya interview. kaenda pale DUCE na cannula mkononi alitoka hospitali kwa kujikaza anajaribu kuwaelezea situation anaomba afanyie interview pale walimkatalia. Nikasema kweli ni kazi yao. Ila ubinadamu sifuri