Mdogo ako au ni wewe mwenyeweMaswali ya tourism officer kuna mdogo wangu aliomba zile nafasi 9 naona mpaka leo kimya kila mara ananipigia sim nimwangalizie kama majina yametoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdogo ako au ni wewe mwenyeweMaswali ya tourism officer kuna mdogo wangu aliomba zile nafasi 9 naona mpaka leo kimya kila mara ananipigia sim nimwangalizie kama majina yametoka
Mdogo ako au ni wewe mwenyemmmm
Mdogo wako yeye hana smartphone mkuu?Maswali ya tourism officer kuna mdogo wangu aliomba zile nafasi 9 naona mpaka leo kimya kila mara ananipigia sim nimwangalizie kama majina yametoka
Hana bandoMdogo wako yeye hana smartphone mkuu?
AiseeHana bando
Walishaitwa kazini mbonaMaswali ya tourism officer kuna mdogo wangu aliomba zile nafasi 9 naona mpaka leo kimya kila mara ananipigia sim nimwangalizie kama majina yametoka
Sina hamu mkuu[emoji3][emoji3]Kimasikhara je?[emoji3][emoji3]
😂😂😂😂Mbona inawezekana tu hata kwenye interview unajibebea mtotoSina hamu mkuu[emoji3][emoji3]
Certified Jobless kabisaHana bando
Ana CPA ya ujobless😂😂😂😂Certified Jobless kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23]Certified Jobless kabisa
Hahahaha, noma sanaAna CPA ya ujobless[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu uliingia kwenye chumba cha mtihani ukakutana na haya maswali kweli? Mimi nilifanya hilo pepa ila sikukutana na hayo maswali lakini nakumbuka kuna mwamba alikamatwa na simu wakulungwa wakampatia pepa lingine na akafanya akiwa chini ya uangalizi maalum, au ndio wewe?