PSRS interview questions (written, pract & oral)

PSRS interview questions (written, pract & oral)

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahhhh
Yaani kati ya miezi iliyokimbia kwa upande wangu mwaka huu ni mwezi wa 9.

Nilikandwa tarehe 6, sijakaa sawa nikakandwa tarehe 10. Nikapumua kidogo.

Nikarudi tarehe 24 nikapigwa hat-trick[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Niliporudi kijiweni baada ya tarehe 24, nikawa naulizwa hadi naona aibu jinsi nilivyochakazwa.
 
Yaani kati ya miezi iliyokimbia kwa upande wangu mwaka huu ni mwezi wa 9.

Nilikandwa tarehe 6, sijakaa sawa nikakandwa tarehe 10. Nikapumua kidogo.

Nikarudi tarehe 24 nikapigwa hat-trick[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Niliporudi kijiweni baada ya tarehe 24, nikawa naulizwa hadi naona aibu jinsi nilivyochakazwa.
Pole Sana ndugu yangu, Mimi nimeenda mwezi wa Tisa katikati nikapiga written 2 kwa siku moja na zote nikaingia oral Ila bado Sina uhakika wa kutoboa kwenye mrija wa asali maana oral zote naona Kama nilikandwa vibaya sana [emoji23][emoji23]
 
Yaani kati ya miezi iliyokimbia kwa upande wangu mwaka huu ni mwezi wa 9.

Nilikandwa tarehe 6, sijakaa sawa nikakandwa tarehe 10. Nikapumua kidogo.

Nikarudi tarehe 24 nikapigwa hat-trick[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Niliporudi kijiweni baada ya tarehe 24, nikawa naulizwa hadi naona aibu jinsi nilivyochakazwa.
😂😂😂😂Hahhhhh daaah hawa utumishi wauwawe
 
Pole Sana ndugu yangu, Mimi nimeenda mwezi wa Tisa katikati nikapiga written 2 kwa siku moja na zote nikaingia oral Ila bado Sina uhakika wa kutoboa kwenye mrija wa asali maana oral zote naona Kama nilikandwa vibaya sana [emoji23][emoji23]
Pole Sana ndugu yangu, Mimi nimeenda mwezi wa Tisa katikati nikapiga written 2 kwa siku moja na zote nikaingia oral Ila bado Sina uhakika wa kutoboa kwenye mrija wa asali maana oral zote naona Kama nilikandwa vibaya sana [emoji23][emoji23]
Uliwezaje kupiga zote siku moja,walipanga muda tofauti??
 
Yaani kati ya miezi iliyokimbia kwa upande wangu mwaka huu ni mwezi wa 9.

Nilikandwa tarehe 6, sijakaa sawa nikakandwa tarehe 10. Nikapumua kidogo.

Nikarudi tarehe 24 nikapigwa hat-trick[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Niliporudi kijiweni baada ya tarehe 24, nikawa naulizwa hadi naona aibu jinsi nilivyochakazwa.
Mimi huwa namwambie father ukiona sijakupa feedback ujue nimeudhalilisha ukoo tayari😂😂😂😂
 
Duuuuh ... Yaan huu mwez Hadi Leo tarehe 2 hakuna hata pdf ya Usaili.. hawa viongozi vipi jamani..?
Za ndani kabisa, Zile INTERVIEW za TRA na LGs&MDs ni mwezi huu wa kumi ila haijulikani ni lini lakini pia inasemekana watatoa majina kikanda yaani interview itafanyika kikanda watatumia Address kupanga kanda utakayoenda kufanya interview.... Utaratibu huo umekamilika na mpaka mwajiri wameshapiga sahihi kukubaliana na utaratibu kwaio kaeni mkao wa kula kwa mliomba zile post
 
Pole Sana ndugu yangu, Mimi nimeenda mwezi wa Tisa katikati nikapiga written 2 kwa siku moja na zote nikaingia oral Ila bado Sina uhakika wa kutoboa kwenye mrija wa asali maana oral zote naona Kama nilikandwa vibaya sana [emoji23][emoji23]
Hizo written hazikupangwa muda mmoja ee?.

Hongera sana kwa kufika oral kwa battle hiyo yote ya siku moja
 
Mimi huwa namwambie father ukiona sijakupa feedback ujue nimeudhalilisha ukoo tayari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unampanga mapema kabisa[emoji3][emoji3]
 
Za ndani kabisa, Zile INTERVIEW za TRA na LGs&MDs ni mwezi huu wa kumi ila haijulikani ni lini lakini pia inasemekana watatoa majina kikanda yaani interview itafanyika kikanda watatumia Address kupanga kanda utakayoenda kufanya interview.... Utaratibu huo umekamilika na mpaka mwajiri wameshapiga sahihi kukubaliana na utaratibu kwaio kaeni mkao wa kula kwa mliomba zile post
Huna nyepesi nyepesi za NAOT pia?
 
Unampanga mapema kabisa[emoji3][emoji3]
😂😂😂😂😂Sitaka stress za maswali sijui imekuaje aaah namwambia tu ukiona sijakwambia chochote ujue tayari huko jina la ukoo limedhalilika kwahiyo niendelee na mishe zingine tu za private kumnyenyekea kila anaepita mbele yako
 
Pole Sana ndugu yangu, Mimi nimeenda mwezi wa Tisa katikati nikapiga written 2 kwa siku moja na zote nikaingia oral Ila bado Sina uhakika wa kutoboa kwenye mrija wa asali maana oral zote naona Kama nilikandwa vibaya sana [emoji23][emoji23]
Zilikuwa za taasisi 1 zote au? Na zilipostiwa siku 1 as job advert?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom