PSRS interview questions (written, pract & oral)

PSRS interview questions (written, pract & oral)

Aliefanya exam officer tengeru maswali yalikuaje?natka kupata mwanga kdg
 
Maswali ya tourism officer kuna mdogo wangu aliomba zile nafasi 9 naona mpaka leo kimya kila mara ananipigia sim nimwangalizie kama majina yametoka
Walishaitwa kazini mbona
 
Ulifanya pepa kada gani? Na wapi

Mkuu uliingia kwenye chumba cha mtihani ukakutana na haya maswali kweli? Mimi nilifanya hilo pepa ila sikukutana na hayo maswali lakini nakumbuka kuna mwamba alikamatwa na simu wakulungwa wakampatia pepa lingine na akafanya akiwa chini ya uangalizi maalum, au ndio wewe?
 
Back
Top Bottom