Mwanakatwe2020
Member
- Sep 23, 2022
- 28
- 63
mmmmmh!Ulifanya pepa kada gani? Na wapi
Duuuhh, kumbe wanakuwaga na mitihani ya dharura ambayo inaweza kubadilishwa kama endapo case kama hiyo ikitokea au pepa kuvuja..Mkuu uliingia kwenye chumba cha mtihani ukakutana na haya maswali kweli? Mimi nilifanya hilo pepa ila sikukutana na hayo maswali lakini nakumbuka kuna mwamba alikamatwa na simu wakulungwa wakampatia pepa lingine na akafanya akiwa chini ya uangalizi maalum, au ndio wewe?
Tipe maswali uliyofanya mkuu kama hayo aliyetoa huyo jamaa sio yenyewemmmmmh!
Sasa hapa ndiyo umejibu nini?mmmmmh!
HatariISW INTERVIEW - TUTORIAL ASSISTANT (08-09-2022)
Q1. What are x-ristics of effective teams? O2. Ways to improve workforce diversity. Q3. What are factors influencing span of control.
Q4. Ways to improve effective organization change.
Pepa ya kada gn hii jiwe hivi duhISW INTERVIEW - TUTORIAL ASSISTANT (08-09-2022)
Q1. What are x-ristics of effective teams? O2. Ways to improve workforce diversity. Q3. What are factors influencing span of control.
Q4. Ways to improve effective organization change.
TUTORIAL ASSISTANCE HUMAN RESOURCESPepa ya kada gn hii jiwe hivi duh
Wiki ya kesho Kuna balaa zinakuja zito sanaWeekend tulivu kabisa hii, ni dalili ya kesho kuwa na habari moto moto!?
Placememnt?au mkeka wa interview?Wiki ya kesho Kuna balaa zinakuja zito sana
Sanasana ni MIKEKA ambayo inawaachia watu maumivu ya moyo Hadi Sasa hvi.. kana kwamba watu hawaelewi hatuna yaoPlacememnt?au mkeka wa interview?
Kah!ISW INTERVIEW - TUTORIAL ASSISTANT (08-09-2022)
Q1. What are x-ristics of effective teams? O2. Ways to improve workforce diversity. Q3. What are factors influencing span of control.
Q4. Ways to improve effective organization change.
vipi mkuu?Kah!
Hapo unaanza highest education qualification to the lowest qualification Ila usitaje primary school unaishia sekondariMsaada wadau.
Tell me about your education background.
Kwanini usitaje primary?? Kwani hyo sio elimu??Na kwanini uanzie higher level??Hapo unaanza highest education qualification to the lowest qualification Ila usitaje primary school unaishia sekondari
Umeomba kazi junior au senior level??Msaada wadau.
Tell me about your education background.
Na iwe hivyo ili tupate kitu cha kuzungumza.Wiki ya kesho Kuna balaa zinakuja zito sana
😂😂😂😂HahhhhNa iwe hivyo ili tupate kitu cha kuzungumza.