PSRS interview questions (written, pract & oral)

Hahaha hamna mzee TRA,NAOT,VETA,ATC,ARIMO,NIT,TPDC,NELSON MANDELA hii mzee japo kuitwa ni jambo la kubahatisha nalo... mung ajlie walau mmoja uniweke kwenye mrija wa asali...
TPDC uliomba post Gani ?
 
Hahaha hamna mzee TRA,NAOT,VETA,ATC,ARIMO,NIT,TPDC,NELSON MANDELA hii mzee japo kuitwa ni jambo la kubahatisha nalo... mung ajlie walau mmoja uniweke kwenye mrija wa asali...
Mikeka ni mingi duuuh hapo mojawapo lazima ulambe asai
 
Nimeona watu wamekandwa sana, kada ya Research Fellow - Medicinal Chemistry haijapata watu wenye sifa kabisa. Waliopiga written wamekandwa haswa.
Imagine marks kubwa ni 23.
😂😂😂😂Medicinal chemistry Ilikua lazima wakandwe kwasababu waliita watu waliosoma chemistry ni heri hata wangeita watu wa phamacy wangetoboa lakini huwezi kumchukua mtu wa chemistry afundishe medicinal chemistry maana wanaisomaga kama optional
 
Watu wa Pharmacy walikuwepo kwenye shortlist ila wengi wao walikuwa na multiple shortlist, nina imani walikimbilia kozi(masomo) zingine penye unafuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…