au nadhani tunaelezea zile characteristic za research maana hata methodology ina characteristic zinafanana na zile za researchResearch is a systematic, so inamaana Kuna vitu ambavyo tunavifuata ili kukamilisha hiyo system so automatic tutaconsider research methodologies kama kukamilisha system hiyo, so majibu hapa ni ya research methodologies.
Quantitative and Qualitative.au nadhani tunaelezea zile characteristic za research maana hata methodology ina characteristic zinafanana na zile za research
Sio lazima ila mara nyingi linakuwemo so soma kama tahadhari tu ili ikitokea unawakanda na pia lisipotokea unakuwa kama umewakanda.Wakuu Hivi kwani swali la research ni lazima liwepo kila Pepa au inakuwaje ?
Poapoa mkuu, ngoja tujipange tutakapoishia ndo hapo hapo.Mungu awe nasi🙏Sio lazima ila mara nyingi linakuwemo so soma kama tahadhari tu ili ikitokea unawakanda na pia lisipotokea unakuwa kama umewakanda.
Ahsante mkuu kwa kuendelea kutupa muongozo, Mungu akatende miujiza kwa sisi sote tunaosaka mrija wa AsaliMwifwa mkuu ukiwa unajiandaa huko na mkando wa course yako, mimi nitakuwa nadondosha maswali fikirishi ya research, unajua nimekandwa hadi nimechocha.
Na mimi najua baada ya nyie kumaliza kukandwa na mimi nitafuata kwenye mkeka wa MDG's kada nyingine zilizobaki.
Swali
Research methodology is also research? Explain
wizy njoo huku utupe tips wewe ndiye angalau umefika oral...
tuko hapaWangapi jumanne tunaenda kukandwa
Kaka nakuona upo livetuko hapa
Sasa hizi si ugoogle tu jamani ,au unataka uelezeeweje?Pia anaeweza kuelezea kuhusu probability sampling and non probability sampling anielezee nipate mwanga nimeshachoka kusoma research haiishi
Mkuu usichoke, wewe komaa tu, pitia hiyo pdf, pia tafuta source nyingine...Pia anaeweza kuelezea kuhusu probability sampling and non probability sampling anielezee nipate mwanga nimeshachoka kusoma research haiishi
Sorry mkuu kuna hili swali.. How research can be used to solve the problem?Mkuu usichoke, wewe komaa tu, pitia hiyo pdf, pia tafuta source nyingine...
Namba mbili ni namna ya kuspread findings za research kwangu mimi nadhani naweza tumia issuing press release,presenting at national conference,publishing program or policy briefs,discussion on radio,tv presentation,publishing in local newspapers,publish on website, social media e.tc njia ziko nyingiWakuu nisaidieni kujibu haya maswali ya research
Qn 1. Sampling techniques
Qn2. Ways of disseminating research findings
Hili swali mimi nadhani unalifanya kwa how research is conducted to solve a particular problem, nadhani unatumia zile steps/process unazozitumia kufanya research Ili uweze kusolve tatizo yaani kuanzia mwanzo mpaka mwisho unapokuja kucommunicate research results/findingsSorry mkuu kuna hili swali.. How research can be used to solve the problem?