hapo research inasaidia kuHili swali mimi nadhani unalifanya kwa how research is conducted to solve a particular problem, nadhani unatumia zile steps/process unazozitumia kufanya research Ili uweze kusolve tatizo yaani kuanzia mwanzo mpaka mwisho unapokuja kucommunicate research results/findings
Mimi nadhani ni hivyo kama Kuna mwenye mawazo tofauti ataelezea.
Poa poa mkuu👊hapo research inasaidia ku
1.identify tatizo
2.inatuonesha source ya tatizo
3.inatupa methods za kusolve tatizo
4.inatupa njia zakupu guza athari ya tatizo na mengineyo
Je hao wanaojitolea nao inawahitaji kufanya usaili, au mkate unaliwa juu kwa juu bila ya hata kufanya huo mchakato wa usaili?Dah! Niliitwa ktk usahili huo ila sikwenda kwa kuwa nilikuwa mbali na hivyo nilijiweka pembeni.lakini pia kukatishwa tamaa baada ya kujua kuna watu wanne wanajitolea na wanasomeshwa na chuo na kipaumbele ktk nafasi hizo ilikuwa kwao, na taasisi yoyote ya serikali ukiona kuna mtu anajitolea kada husika,basi jua wanakamilisha mchakato tu japo kuwa neema yaweza kukuanguka kwa kudra za Mola tu.
Kwa usahili huo,hakika mapema tu ningesubili round ya pili, ambapo nilijipa matumaini ya mahali nilipopita chuoni hapo japo kikubwa uwezo.
Nakutakia kila lakheri msahiliwa,bila shaka ulitoboa
mwenye kitabu cha Kothari cha Research Methodology aweke,hicho kitabu ndo mzizi wa fitina hakuna swali lililoulizwa ,litakaloulizwa na Utumishi likakosa mule,hao maprof,dr nk hicho ndo kitabu chao cha kufundishia mavyuoni.Huu ni uzi maalumu kwa ajiri ya kushare Maswali ambayo ulishawahi kukutana nayo katika Interview za UTUMISHI (PSRS) kwenye kada tofauti tofauti iwe ni Oral,pract au written....
Acha swali ulilokutana nalo ujibiwe hapa
Unapokuwa unatoa maswali jitahidi kutaja kada husika.
Wameshakituma huko post za juu kile kitabu kizuri sana kwa research hawatokagi njemwenye kitabu cha Kothari cha Research Methodology aweke,hicho kitabu ndo mzizi wa fitina hakuna swali lililoulizwa ,litakaloulizwa na Utumishi likakosa mule,hao maprof,dr nk hicho ndo kitabu chao cha kufundishia mavyuoni.
😂😂😂😂kwa mliofanya interview ya NIT ingieni kwenye accounts zenu. kukandwa kunaendelea
Unaweza kileta mkuu kama umekionaWameshakituma huko post za juu kile kitabu kizuri sana kwa research hawatokagi nje
Nimekutag kwenye hiyo postUnaweza kileta mkuu kama umekiona
Usahili wao ni gelesha kukamilisha mchakato tuJe hao wanaojitolea nao inawahitaji kufanya usaili, au mkate unaliwa juu kwa juu bila ya hata kufanya huo mchakato wa usaili?
TRA wameshaingiza intern kwa mujibu wa utafiti niliofanya ni kama wanataka wale intern waje wawe permanent.Huenda(makisio) zile nafasi za TRA zisiwepo tena.Za ndani kabisa, Zile INTERVIEW za TRA na LGs&MDs ni mwezi huu wa kumi ila haijulikani ni lini lakini pia inasemekana watatoa majina kikanda yaani interview itafanyika kikanda watatumia Address kupanga kanda utakayoenda kufanya interview.... Utaratibu huo umekamilika na mpaka mwajiri wameshapiga sahihi kukubaliana na utaratibu kwaio kaeni mkao wa kula kwa mliomba zile post
Sio kweli, tra kila mwaka inachukua interns na inapofikia wakati wa kuajiri hao interns huwa wanaambiwa wakapambanie bahati zao utumishi.TRA wameshaingiza intern kwa mujibu wa utafiti niliofanya ni kama wanataka wale intern waje wawe permanent.Huenda(makisio) zile nafasi za TRA zisiwepo tena.
Kweli kibsaSio kweli, tra kila mwaka inachukua interns na inapofikia wakati wa kuajiri hao interns huwa wanaambiwa wakapambanie bahati zao utumishi.
Ajira zote kwa sasa zinpitia utumishi huezi pata ajira kienyejiTRA wameshaingiza intern kwa mujibu wa utafiti niliofanya ni kama wanataka wale intern waje wawe permanent.Huenda(makisio) zile nafasi za TRA zisiwepo tena.
Ukiona tangazo limepelekwa utumishi lazima interview ifanyike hata intern watafanya interview labda useme watapewa madesa yakupitia ili wakatusue kwenye pepaTRA wameshaingiza intern kwa mujibu wa utafiti niliofanya ni kama wanataka wale intern waje wawe permanent.Huenda(makisio) zile nafasi za TRA zisiwepo tena.
Hawa wa loan officer VIP jmn Hali zao vpUkiona tangazo limepelekwa utumishi lazima interview ifanyike hata intern watafanya interview labda useme watapewa madesa yakupitia ili wakatusue kwenye pepa
Kygata unaenda hii ya loan officer au naotShusheni na nyanga za upande wa accounts na auditing wakuu.